mshahara wao upoje kaka ata Mimi wiki mbili zilizopita nilifanya interview ya oralMnaanza written then inafuatia oral,written inakua ni general knowledge,oral wanaulza kuhusu organization yao na majukumu ya kazi uloiomba.mshahara wao sasa,unaweza kuzimia.
Mshahara 400 gross
Ndio lakini kila mwaka unapanda kwa 7000
Nashukuru sana wanajamii,mungu awapiganie.Ngoja nisubiri hiyo tar 24/07
Duuuu !Wanaua jmn mhuu
Unataka kazi au mshahara? Chezea mshahara usichezee kazi. Juzi juzi Kuna graduate aliomba kazi inayostahili kufanywa na form four. Nenda kafanye usaili upate kazi. Mtaani sio rafiki kabisa. Mungu akusaidie upate kazi Posta ujenge heshima mtaani.
Ni kweli nimekubali ni kheri upate kidogo kuliko kukosa hata hicho kidogo !NASHUKURU WANA JAMII
Amieni ukawa.tumalize hizi shdaa