evan rwiza
Member
- Nov 9, 2015
- 22
- 17
Naomba mtu mwenye kampuni ya ku supply office stationaries kwenye ma taasisi kwa mfumo wa tendering, nahitaji kupata ufahamu wa wapi anachukua kwa gharama nafuu (kwa hapa hapa Tanzania) na profit margin yake inakuaje kuaje, naomba kuwasilisha.