sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,281
- 7,953
- Thread starter
- #61
Achana na akili za usiku mkuuKuna alama ya kuzidisha mkuu, jibu ni 15 ukitumia BODMAS, ila nimetumia akili za usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na akili za usiku mkuuKuna alama ya kuzidisha mkuu, jibu ni 15 ukitumia BODMAS, ila nimetumia akili za usiku
😀 😀 😀 😀 😀Ma+ga+zi+ju+to
Ma=mabano
Ga=gawanya
Zi=zidisha
Ju=jumlisha
To=toa
Halafu mtu bado unakosa
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia jibu langu
Nimeshafanya marekebishoMchizi kabeba hiyo uliyoiita mbili, that means mchizi ni 9
Fanya tena mchizi kapiga rabaNimeshafanya marekebisho
So jibu linatakiwa kuwa lipi ?Fanya tena mchizi kapiga raba
43 mkuuSo jibu linatakiwa kuwa lipi ?
Nilipata hio hio43 mkuu
thanks
🤣🤣🤣🤣🤪Nilipata hio hio
Niliposema nimerekebisha
Kumbe kamtu kamevaa viatu daahViatu 6 vimeleta jumla ya 30 so kila kiatu kina thamani ya 5
Tu mtu 2 na viatu viwili vimeleta jumla ya 20 so kila kamtu kana 5 ×2=10 + viatu 2 vya 5 each ni 20
Ice cream 4 na kamtu vinakuwa 13 so kwa kuwa kamtu tayari kana thamani ya 5 so tu ice cream 4 tunaleta 8 which means kila kamoja kana thamani ya 2
So kiatu kimoja(5) + ka mtu kamevaa viatu viwili (15) na kamebeba ice cream 2(4) +ice cream(2) = 26
Jibu ni 26




hebu nijichekee mie kama nakuona vilesio poa ticha