Ncherry1
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 2,181
- 2,256
Kuna alama ya kuzidisha mkuu, jibu ni 15 ukitumia BODMAS, ila nimetumia akili za usiku
Kweli mkuu
Mchizi kabeba hiyo uliyoiita mbili, that means mchizi ni 95 + 5 × 2 = 15
Nne umeitoa wapi mkuu? Kumbuka koni mbili ndio nne na hapo koni ipo moja pia mchizi kabeba koni mbili, kwenye swali kuna koni tatu10 + 5 * 4 = 30
Ushafeli mkuu10+10+10=30
5+5+10=20
4+4+5=13
10+(5x4)
10+20 = 30
Hapo ulipoandika wewe ni 43 sasa hiyo 48 ni typing error?5+19×2=48
unarud tena kusolve kuja kucheki kajamaa kameshikilia corne mbili
unasolve tena kucheki bado majibu yanatofautiana mbali sana...kuangalia vizuri kajamaa kamevaa zile raba tena zenye thamani ya 10
....unakaa unatulia unaanza upyaExactly mkuu, hapo nimechemka😊😊😊😊😊Kuna alama ya kuzidisha mkuu, jibu ni 15 ukitumia BODMAS, ila nimetumia akili za usiku
Ma+ga+zi+ju+to5+19×2=48



