Mwenye jibu anipe hapa

Mwenye jibu anipe hapa

ukiangalia hii hesabu kwa mara ya kwanza unaona ni simple unasolve kwa kukurupuka then ukija kufanya comparison ya manibu unajikuta upo tofauti kabisa...unaangalia nature ya swali lenyewe ndo unakuta kumbe viatu sio viwili ni kimoja unarud tena kusolve kuja kucheki kajamaa kameshikilia corne mbiliunasolve tena kucheki bado majibu yanatofautiana mbali sana...kuangalia vizuri kajamaa kamevaa zile raba tena zenye thamani ya 10....unakaa unatulia unaanza upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viatu 6 vimeleta jumla ya 30 so kila kiatu kina thamani ya 5



Tu mtu 2 na viatu viwili vimeleta jumla ya 20 so kila kamtu kana 5 ×2=10 + viatu 2 vya 5 each ni 20



Ice cream 4 na kamtu vinakuwa 13 so kwa kuwa kamtu tayari kana thamani ya 5 so tu ice cream 4 tunaleta 8 which means kila kamoja kana thamani ya 2



So kiatu kimoja(5) + ka mtu kamevaa viatu viwili (15) na kamebeba ice cream 2(4) +ice cream(2) = 26



Jibu ni 26
 
Back
Top Bottom