Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 3,968
- 6,018
Kivipi?? Wewe una Leseni ya Biashara na namba ya mlipa kodi?? Iwapo unafanya official Delivery with all documentation unadhurumiwaje?? Yes kama unapeleka kuku kienyeji kwenye maohotel wajanja lazima wakulize.... lakini kama unapeleka with delivery notes why udhurumiwe?? Inaonekana Unafanya biashara kienyeji mno. Na ndo maana unahangaika na kutafuta Masoko. Hivi kutoka mjini mpaka kule daraja la Shein kuna migahawa na vibanda vya Chips vingapi??njiani pamoja na Masoko? Je hao wote uwezi wauzia hao kuku wako??Tatizo nini?? Niajiri nije niwe meneja masoko wako Shekhe😁Mahotelini watu washalizwa sana huko si kwa kukuamini kabisaaa