teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 136
Aliye na app tajwa hapo juu ajitokeze tufanye kazi, angalizo, sitaki app ya kufanya kazi online, lkn pia app itumie kifurushi cha kwenye simu sio kununua sms moja moja.
Namimi nasubiliAliye na app tajwa hapo juu ajitokeze tufanye kazi, angalizo, sitaki app ya kufanya kazi online, lkn pia app itumie kifurushi cha kwenye simu sio kununua sms moja moja.
Bro kama unadhani uko sahihi subiri watakuja otherwise endelea kutumia sms app kisha weka contact zako kwenye group ndani ya simu watumie jumbe watu wako.Aliye na app tajwa hapo juu ajitokeze tufanye kazi, angalizo, sitaki app ya kufanya kazi online, lkn pia app itumie kifurushi cha kwenye simu sio kununua sms moja moja.
Offline ipo kuna niliyopata sehemu changamoto yake haijaboreshwa vizuri, ukituma sms huoni progress yoyoteBro kama unadhani uko sahihi subiri watakuja otherwise endelea kutumia sms app kisha weka contact zako kwenye group ndani ya simu watumie jumbe watu wako.
Ila kama uko siliazi nenda kanunue bulk SMS kwa provider wa bulk sms kama beem na wengine wana web app ambayo humo unaweza tuma sms kwenye list ya watu wako. Kama hutaki hiyo unaweza intergrate na app ULIYO unda mwentewe kwa ui uipendayo wewe.
Labda kama sijakuelewa ila kama ni hivyo ulibyoandiia, hakuna offline bulk SMS siujui labda waje hapa kutuambia ikoje
Bro hivi unaelewa mechanusm ya bulk SMS au unaongelea kitu kingine tofauti hiyo unafanyaje kazi mkuu mlolongo wa kusajili sender name umo?Offline ipo kuna niliyopata sehemu changamoto yake haijaboreshwa vizuri, ukituma sms huoni progress yoyote
Kama ndio hivi hamko serious full stopHii ipo mkuu nakutumi Link PM inaitwa uhuru bulk sms unangia kwenye website unajisajiri then kuna apk unaidownload kwenye simu. Ukisha install una login then unaanza kutuma sms kwa kutumia bulk sms bando ya SIM card yako.
Wateja wanaweza kukujibu na mkachat vizuri, SMS zinakuwa za kawaida na receiver ataona namba yako ambayo ndio unatumia kutuma sms.
Mfumo huu kwa mwaka unalipia 100000 TZS na SMS ni unlimited.
Tuwasiliane: 0688 284 736
Kwann mkuu?Kama ndio hivi hamko serious full stop
Google uhuru bulk smsKama ndio hivi hamko serious full stop
Eleza mechanism ya hiyo appGoogle uhuru bulk smsView attachment 2066192
nmetuma sms kupitia gateway yenu toka sa 10 jioni, ila mpaka sasa bila bila. Sms zinaonekana zimetumwa ila hazija deliver.Hii ipo mkuu nakutumi Link PM inaitwa uhuru bulk sms unangia kwenye website unajisajiri then kuna apk unaidownload kwenye simu. Ukisha install una login then unaanza kutuma sms kwa kutumia bulk sms bando ya SIM card yako.
Wateja wanaweza kukujibu na mkachat vizuri, SMS zinakuwa za kawaida na receiver ataona namba yako ambayo ndio unatumia kutuma sms.
Mfumo huu kwa mwaka unalipia 100000 TZS na SMS ni unlimited.
Tuwasiliane: 0688 284 736
iyo ni group smsHii ipo mkuu nakutumi Link PM inaitwa uhuru bulk sms unangia kwenye website unajisajiri then kuna apk unaidownload kwenye simu. Ukisha install una login then unaanza kutuma sms kwa kutumia bulk sms bando ya SIM card yako.
Wateja wanaweza kukujibu na mkachat vizuri, SMS zinakuwa za kawaida na receiver ataona namba yako ambayo ndio unatumia kutuma sms.
Mfumo huu kwa mwaka unalipia 100000 TZS na SMS ni unlimited.
Tuwasiliane: 0688 284 736