johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,779
- 145,706
Mwenge wa uhuru umeingia mkoani Morogoro na kupokelewa na RC Shigella akiwa ameambatana na watendaji wa mkoa.
Mwenge utakimbizwa katika wilaya zote za Morogoro na jumla ya miradi ya maendeleo 44 itazinduliwa.
Tahadhari zote za kupambana na Corona zinachukuliwa.
Chanzo: Channel ten!
Mwenge utakimbizwa katika wilaya zote za Morogoro na jumla ya miradi ya maendeleo 44 itazinduliwa.
Tahadhari zote za kupambana na Corona zinachukuliwa.
Chanzo: Channel ten!