battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,714
- 2,582
Kama swali linavyo jieleza,mwenge huu wa uhuru wa Tanganyika unavuuka bahari kila mwaka na kukimbizwa mikoa na wilaya zote za Unguja na Pemba huku ukiitwa mwenge wa uhuru.
Kwa ninachojuwa ,Historia ya mwenge huu ni alama ya uhuru wa Tanganyika 1961 uliowekwa juu ya mlima K/njaro ili kuangaza mipaka dhidi ya maadui wa uhuru na maaduiI wa amani na umoja..
Muungano wetu ulikuwa na mkataba maalum ulioanisha maeneo tuliyoungana na kuacha yote yasoyokuwemo kwenye makubaliano ya muungano kwa washirika wa muungano wenyewe bila ya kuathiri mkataba huu.
Ule mwenge uliingiaje kuwa wa muungano?
Pamoja na mambo ya muungano kuongezwa,mwenge haukuwemog
Kwa ninachojuwa ,Historia ya mwenge huu ni alama ya uhuru wa Tanganyika 1961 uliowekwa juu ya mlima K/njaro ili kuangaza mipaka dhidi ya maadui wa uhuru na maaduiI wa amani na umoja..
Muungano wetu ulikuwa na mkataba maalum ulioanisha maeneo tuliyoungana na kuacha yote yasoyokuwemo kwenye makubaliano ya muungano kwa washirika wa muungano wenyewe bila ya kuathiri mkataba huu.
Ule mwenge uliingiaje kuwa wa muungano?
Pamoja na mambo ya muungano kuongezwa,mwenge haukuwemog