Dah.. Kuna watu munawaza kama muko kaburini.. Sasa Mwenge umeziduma miradi ya watu kama mashule na motelihadi leo yapo yanatengeneza hela. Eti miezi sita. Acheni kutujazia saver la JF bure.Hakuna mradi wowote uliozinduliwa na Mbio za mwenge uliodumu hata miezi 6 , hiyo bar ijiangalie
Una uhakika na ulichoandika? au unataka matatizo weweSiku ya tarehe 12-07-2018 majira ya asubuhi nilikutana na adha kubwa ya usafiri maeneo ya mbezi goba. Nilipouliza nini sababu ya hiyo adha, nikajibiwa kwamba mwenge wa uhuru unaweka jiwe la msingi kwenye baa iliyopo karibu sana na barabara hivyo wamelazimika kuiblock barabara. Je ni halali mwenge uzindue hadi baa!!??
Acha upumbavu wa kutetea kila kitu,mnaudhi sana nyie.MWENGE UMEZINDUA BAR KWELI HAPA GOBA BAR YENYEWE INAITWA TRIPLE B IPO HAPA GOBA OYSTERBAY.....Mwenge umezindua bar ya mtu tena mtu binafsi.Taarifa yako haina ukweli, tarehe 12 Julai 2018, MWENGE uliamkia MBAGALA Zackeem ambako ulikesha pia asubuhi hiyohiyo MWENGE ulikabidhiwa kwa uongozi WA mkoa WA Pwani eneo LA Kongowe mpakani Temeke na Mkuranga. Mkianza kudanganya ujaribu kuwa makini katika kuweka kumbukumbu
Kwani Katiba inasema Mwenge umepangiwa kuzindua nini?Siku ya tarehe 12-07-2018 majira ya asubuhi nilikutana na adha kubwa ya usafiri maeneo ya mbezi goba. Nilipouliza nini sababu ya hiyo adha, nikajibiwa kwamba mwenge wa uhuru unaweka jiwe la msingi kwenye baa iliyopo karibu sana na barabara hivyo wamelazimika kuiblock barabara. Je ni halali mwenge uzindue hadi baa!!??
nipe ushahidi wa shule iliyofunguliwa na Mwenge wa uhuru na ikaendelea mpaka leoDah.. Kuna watu munawaza kama muko kaburini.. Sasa Mwenge umeziduma miradi ya watu kama mashule na motelihadi leo yapo yanatengeneza hela. Eti miezi sita. Acheni kutujazia saver la JF bure.
Taarifa yako haina ukweli, tarehe 12 Julai 2018, MWENGE uliamkia MBAGALA Zackeem ambako ulikesha pia asubuhi hiyohiyo MWENGE ulikabidhiwa kwa uongozi WA mkoa WA Pwani eneo LA Kongowe mpakani Temeke na Mkuranga. Mkianza kudanganya ujaribu kuwa makini katika kuweka kumbukumbu
Siyo kweli,ni poroja tu hiyo.
mwenge wa uhuru huwa unaweka mawe ya msingi kwenye miradi ya maendeleo ya taifa tu
Taarifa yako haina ukweli, tarehe 12 Julai 2018, MWENGE uliamkia MBAGALA Zackeem ambako ulikesha pia asubuhi hiyohiyo MWENGE ulikabidhiwa kwa uongozi WA mkoa WA Pwani eneo LA Kongowe mpakani Temeke na Mkuranga. Mkianza kudanganya ujaribu kuwa makini katika kuweka kumbukumbu
Kwaiyo hiyo bar niya umma au ya fisadi mkuu...so long as those bar contribute towards national income improvement, sioni ajabu ya mwenge wa uhuru kuwepo pale
KIM JONG UN-LUMUMBA (Ila kwa sasa nipo Tazara hapa kwa MFUGARE FLY OVER)
Bar Zina Imarisha Viwanda Vya Bia NchiniNini bar hata guest house unatakiwa uzindue kwasababu ni biashara halali na inaliingizia taifa pato kupitia kodi, ajira na huduma kwa raia. Kwa taarifa yako wanywaji ndio wanachangia kiasi kikubwa sana pato la taifa kupitia unywaji wao. Wasipokunywa viwanda vitafungwa hivyo kupoteza ajira nyingi sana, kodi na viwanda kufa. Ukiona mtu katoka bar anayumba yumba msaidie kwani ametoka kuchangia pato la taifa tena kwa kutumia bidhaa zinazozaliwa na viwanda vyetu vya ndani. Hapa ni suala la mind set change tu.
Maana hamna chochote alichoambatanisha itakuwa hearsay tu mkuu.Mkuu.. Ulipata Nafasi Ya Kwenda Kushuhudia/Kujiridhisha Ulichoambiwa Au Uliridhika Na Hearsay..
Hahaha atakuwa katumwa sio bureTaarifa yako haina ukweli, tarehe 12 Julai 2018, MWENGE uliamkia MBAGALA Zackeem ambako ulikesha pia asubuhi hiyohiyo MWENGE ulikabidhiwa kwa uongozi WA mkoa WA Pwani eneo LA Kongowe mpakani Temeke na Mkuranga. Mkianza kudanganya ujaribu kuwa makini katika kuweka kumbukumbu
Siku ya tarehe 12-07-2018 majira ya asubuhi nilikutana na adha kubwa ya usafiri maeneo ya mbezi goba. Nilipouliza nini sababu ya hiyo adha, nikajibiwa kwamba mwenge wa uhuru unaweka jiwe la msingi kwenye baa iliyopo karibu sana na barabara hivyo wamelazimika kuiblock barabara. Je ni halali mwenge uzindue hadi baa!!??
hasa pALE unapokesha mwengeKuzindua Bar na Guest House mbona kawaida siku hizi??
Labda wakimbiza mwenge walienda kukata kiu kidogo!😀😀Siku ya tarehe 12-07-2018 majira ya asubuhi nilikutana na adha kubwa ya usafiri maeneo ya mbezi goba. Nilipouliza nini sababu ya hiyo adha, nikajibiwa kwamba mwenge wa uhuru unaweka jiwe la msingi kwenye baa iliyopo karibu sana na barabara hivyo wamelazimika kuiblock barabara. Je ni halali mwenge uzindue hadi baa!!??