Kuna ukumbi unaitwa mwenge social hall upo mwenge nyuma ya tra karibia na gorofa za jeshi,huu ukumbi una vituko vya ajabu,utapeli,uongo,utaratibu mbovu na huduma mbaya kuliko ubaya unaojua,ili mpambaji atoke nje ya ukumbi itamlazimu atoe laki tatu ikiwa ni kibali cha kuingiza mapambo kutoka nje na kukupa baadhi ya vifaa ambavyo hakwambii,kama haitoshi utaambiwa ulipie seat cover,viti vya wageni kwa sh500 kila kimoja pamoja na taa zinazozidi 20 kwa sh 5000 vitu hivi ni lazima uchuke hapohapo,pia utakutana na majibu yasiyo eleweka,matusi na dharau kutoka kwenye office yao ya booking,chakula wanapika hapo hapo lakini ni kibovu,kwa yeyote anayetaka kufany sherehe hapo awe makini,na kwa utaratibu wao hakuna haja ya kufanya shughuli kwenye ukumbi wao,kwani kumbi zipo nyingi dar,wahusika badilisheni utaratibu wenu na watoeni wanaokaa hapo booking,huyo anayeitwa dada GRACE na huyo mzee ambaye simjui