Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,700
- 26,216
Huo ni mwaka gani? Ninavyokumbuka mimi dollar ilikuwa shillingi tano kabla ya vita na sio baada ya vita.kabla ya vita shilingi haikupitwa sana na dola zilikuwa karibu sawa, baada ya vita shilingi ilishuka sana ikawa inflated kwa kiwango cha 5sh kwa dola moja. kitendo hicho ndio moja ya sababu ya kuua uchumi na viwanda kwa kipindi hicho.