Mwendokasi katika Mtandao wa Yahoo

kabla ya vita shilingi haikupitwa sana na dola zilikuwa karibu sawa, baada ya vita shilingi ilishuka sana ikawa inflated kwa kiwango cha 5sh kwa dola moja. kitendo hicho ndio moja ya sababu ya kuua uchumi na viwanda kwa kipindi hicho.
Huo ni mwaka gani? Ninavyokumbuka mimi dollar ilikuwa shillingi tano kabla ya vita na sio baada ya vita.
 
Huo ni mwaka gani? Ninavyokumbuka mimi dollar ilikuwa shillingi tano kabla ya vita na sio baada ya vita.
mkuu watanzania tunaongea siasa muda wote usichukulie vinavyoandikwa humu kwa umakini wengi waliomo wamezaliwa 2000+,
1976 dola moja ilishavuka tsh 8 ya bongo.
 
This is very wrong information: "Dala Dala" does not mean "Dollar" DALA DALA lilitokana na nauli iliyokuwa inatozwa miaka ile ikiwa na shilingi 5 ya pembe tatu, watanzania walikuwa wakiita jina dala. Baada ya mfumo wa mabasi madogo kuanza nauli ikiwa ni dala, yaani shilingi 5. wapige debe wakawa wanaita wateja kwa kuwaambia nauli ni dala tu, yaani kariakoo ni dala tu, dala dala post, dala dala kariakoo na nk. kumbuka kipindi kile kulikuwa na mabasi ya ikarus ambayo nauli ilkuwa ni zaidi ya sh. 5. Baada ya hapo mabasi madogo yakaitwa dala dala kwa sababu nauli yake ilikuwa ni dala. ikumbukwe kuwa baadae magari aina ya chai maharage yalikuja. nayo yakaitwa CHAI MAHGARAGE, mpaka sana ufafiri km huu popote unapotumika unaitwa chai maharage, hata kule zanzibar miaka miwili iliyopita yalikuwa yakiitwa chai maharage.

Waandishi wavivu waache kupotosha umma.
 
mkuu watanzania tunaongea siasa muda wote usichukulie vinavyoandikwa humu kwa umakini wengi waliomo wamezaliwa 2000+,
1976 dola moja ilishavuka tsh 8 ya bongo.
Naelewa kuna watoto wengi sana humu (watoto wetu). Lakini ndio hivyo wanatuchangamsha akili na sio vibaya kulumbana. Mwaka 1974 tayari nilikuwa mfanyakazi pale kitega uchumi gorofa ya nne (National Insurance, Motor Underwriting Dept. chini ya bosi Mwabulambo). Kwa hiyo niongeacho sio cha kusimuliwa na mjomba bali nimekiishi nikiwa na akili timamu.
 
Shiny new buses challenge chaotic old ways in Tanzania

a0b28c717af2e903a429a4a84f195aa83d9ddd1e.jpg


A Dar Rapid Transit (DART) bus travels down a street in Dar es Salaam

Dar es Salaam (AFP) - Sweaty passengers crammed into battered buses and stuck in traffic jams look on enviously as Tanzania's shiny new commuter buses fly by on the pristine asphalt of dedicated highway lanes.

In Dar es Salaam, the East African country's biggest city of five million people, rush hour has always meant chaos, until now.

The first phase of a new bus rapid transit system opened earlier this year offering a swift, clean alternative to the traditional "dala dala" buses, a twist on the English word "dollar" coined in the 1970s when the system started as an answer to inadequate public transport.(Hivi Dala dala imetokana na neno Dollar kwa Kizungu?)

The new route cuts through 20 kilometres (12 miles) of the seaside city with two lanes of tarmac running down the middle of the existing highway.

When completed the route will extend for 130 kilometres, separated from the traffic by a crash barrier that prevents motorists from taking advantage of its free-flowing smoothness.

- 'Unique in East Africa' -

"Every day, hundreds of thousands of people lose time, and therefore money, in traffic jams, which have become a very big problem in Dar es Salaam," says Robert Lwakatare, head of the government agency responsible for overseeing the Dar Rapid Transit (DART) project.

A recent study estimated that traffic jams cost the Tanzanian economy $188 million (167 million euros) a year.

"It's amazing," says one young passenger who gave just her first name Judy, as a Chinese-made bus with bright blue-tinted windows pulls up to the platform.

There are 140 buses and 27 new stations in the transit system, enough to meet demand for the time being.

"Before I took two to two and a half hours to go into the centre of Dar es Salaam, and now it takes me 30 minutes," Judy said after scanning her ticket at an automated gate.

"This might seem normal in Europe, but it's not in our countries," says Lwakatare. "All this is unique in East Africa."

The clean vehicles themselves are a far cry from the dilapidated dala dalas, of which there are 7,000 registered in Dar es Salaam today, according to African Development Bank figures.(Huyu Mwandishi hafahamu magari yanasajiliwa wapi mpaka apate taarifa ADB)

The drivers on the new buses wear short-sleeved shirts, ties and neatly pressed trousers and politely ask passengers to sit before starting off. Aboard the dala dalas, passengers find any space they can, while drivers shout and conductors hang precariously from open doors.

- 'People still need us' -

The first phase of construction cost $290 million (260 million euros), mostly funded by a World Bank loan, and Tanzania is relying on the African Development Bank to fund the remainder of the project.

Lwakatare says that around 100,000 people already use the new buses every day, a figure predicted to rise to 300,000 in the months ahead.

Costing 400-800 Tanzanian shillings ($0.18-0.37, 16-32 euro centimes) the ticket price is a little more expensive than on the dala dalas, which are destined to be phased out as the new system comes online.

Part of the budget is earmarked for compensating dala dala owners, who have also been included in a private sector consortium to operate the network in partnership with the government DART agency.

A dala dala tout named Justin, in faded jeans and an old green and grey jumper, views the new buses and what they mean for his future with equanimity.

"For the moment, people still need us because the blue bus does not go everywhere and are a bit more expensive."

"Later, we'll see," he says with a shrug, "but I think there will always be a need for a cheaper service."

Source: yahoo.com
Wow So nice, Tanzania hiyo ya mabadiliko safi sana Magufuli Go. Ndio Daladala inatokana na Dollar- Wakati huo Nauli ilikuwa Ths 5. Ambayo ilikuwa equivalent to 1USD.
 
Shikula wewe ndiyo upo wrong,
  1. Hatujawahi kuwa na Shs 5 yenye pembe tatu
  2. Dala dala ilitokana na equivalence ya 1 Us$ to 5 TShs wakati huo, ndipo fedha hiyo ikawa nicknamed dala :) /ˈdɒlə/), hivyo basi katika kutangaza nauli bus conductors wakawa wanasema dala dala repeatedly ndipo ikazoeleka na kuwa jina la usafiri huo, kama ilivyokuwa kwa fedha zingine mf. sha 20 wakati huo iliitwa paundi, ikiwa ni equivalence ya Shs 20 = 1 Pound ya UK
Yaani waliozaliwa 1980s onwards huwa wabishi mnooooo! Ukweli ni kuwa TSH 5 ilikuwa sawasawa na 1 USD ndio maana ya kuita Daladala. Yaani Vijana ukiwaambia Zamzni magari yalikuwa yanarudi nyuma bila kupiga honi watakubishia mpaka kukesha!
 
kabla ya vita shilingi haikupitwa sana na dola zilikuwa karibu sawa, baada ya vita shilingi ilishuka sana ikawa inflated kwa kiwango cha 5sh kwa dola moja. kitendo hicho ndio moja ya sababu ya kuua uchumi na viwanda kwa kipindi hicho.
Hebu acha ubishi usio na tija. Hao wanaosema walikuwepo wakati huo sasa ubishi ni wa nini?!?!?!?
 
This is very wrong information: "Dala Dala" does not mean "Dollar" DALA DALA lilitokana na nauli iliyokuwa inatozwa miaka ile ikiwa na shilingi 5 ya pembe tatu, watanzania walikuwa wakiita jina dala. Baada ya mfumo wa mabasi madogo kuanza nauli ikiwa ni dala, yaani shilingi 5. wapige debe wakawa wanaita wateja kwa kuwaambia nauli ni dala tu, yaani kariakoo ni dala tu, dala dala post, dala dala kariakoo na nk. kumbuka kipindi kile kulikuwa na mabasi ya ikarus ambayo nauli ilkuwa ni zaidi ya sh. 5. Baada ya hapo mabasi madogo yakaitwa dala dala kwa sababu nauli yake ilikuwa ni dala. ikumbukwe kuwa baadae magari aina ya chai maharage yalikuja. nayo yakaitwa CHAI MAHGARAGE, mpaka sana ufafiri km huu popote unapotumika unaitwa chai maharage, hata kule zanzibar miaka miwili iliyopita yalikuwa yakiitwa chai maharage.

Waandishi wavivu waache kupotosha umma.
....sawa,lakini tuambie kwanini shiling tano iliitwa dala, w ndo umemuelewa vibaya,
 
Dollar kipindi hicho thamani yake ni shillings tano yaani dola thamani yake ikaitwa dala dala kwa mnasaba Wa shilingi tano kwa roti moja
 
Yaani waliozaliwa 1980s onwards huwa wabishi mnooooo! Ukweli ni kuwa TSH 5 ilikuwa sawasawa na 1 USD ndio maana ya kuita Daladala. Yaani Vijana ukiwaambia Zamzni magari yalikuwa yanarudi nyuma bila kupiga honi watakubishia mpaka kukesha!


Nadhani ndiyo maana hata walimu wanapata taabu sana mashuleni,
 
Haya maisha sijui tulikosea wapi sisi.. Dollar 1 sawa na sh 5 ya kibongo.. Sasa imepanda maradafu.. Sio maradufu tena.

Ni kweli kabisa ukizingatia ni nchi yenye kila kitu - Ee Mungu tunusuru, wahenga walisema kosa mali pata akili:D
 
Hakuna kitu kinachozuka tu, bila kuwa na chanzo au sababu. Jambo la msingi ni kukubali kukosolewa unapokuwa umekosea. Hutapungukiwa na kitu, badala yake utaonekana muungwana. Wakati mwingine tunajifunza kutokana na makosa.


Umenena!! barikiwa
 
Najaribu kuunganisha dots kwa uelewa wangu dala lala ilimaanisha hiyo shilingi tano ambacho ndicho kiwango cha nauli kipindi hicho kama ilivyokuwa nchini kenya wakilipa shilingi tatu nauli wakaita matatuu ila hili la shilingi tano kuwa ilioriginate kutoka neno dollar hakuna ukweli watu tusipotoshane bure!! kama kitu hujui bora uulize upate ufafanuzi.
 
Safi, ndo kuumitangaza bongo huko, TTB waongee na hao jamaa vzr wawe wanarusha news za serengeti/zanzibar pia ili tuvute mkwanja
 
kabla ya vita shilingi haikupitwa sana na dola zilikuwa karibu sawa, baada ya vita shilingi ilishuka sana ikawa inflated kwa kiwango cha 5sh kwa dola moja. kitendo hicho ndio moja ya sababu ya kuua uchumi na viwanda kwa kipindi hicho.
Haijawahi kuwa hivyo. Kabla ya matatizo ya kiuchumi kwenye.miaka ya 1980 kulikuwa na sera ya fixed exchange rate. Dollar Karibu Sawa na Sh. 5 na Pound Sawa na Shillingi 20. Ikiwa na maana kuwa viwango vya kubadilisha fedha za kigeni vilibaki vile vile bila kujali hali ya uchumi/soko. Baada ya kuingia IMF na nduguye World Bank sera ikabadilishwa na kuwa floating exchange rate pamoja na Shillingi kushushwa thamani (devaluation). Huo ukawa mwanzo wa Shilingi kuporomoka Kila kukicha.
 
Back
Top Bottom