Mwenda tezi na omo, marejeo ni ngamani

Tukio la Yoga Hour: Nilipo shuka kupiga simu, ile nafika tuu mwisho wa ngazi, hawa hapa!! Machizi wangu mapacha! Dah! Macho yao hapo hapo kwenyewe yakatulia!! Nauliza, hawajalala. Ila dada yao kalala...!

Tamko mkato: Naumwa - joto - bafu huku - mama yupo bafuni - nyie kalaleni...!

Dah! Kama baraka nimezitafuta kwa mzee, ila na alicho nitakia sasa ndo hiki!😞. Aibu... Nilipanda haraka nisikuti mengine huko, au na mungine asiamki akanikuta!😂

Mjomba wangu huko arabuni alinipigia simu hiyo hiyo siku, basi nikamwambia kuhusu watoto kutokuwepo. Alikataa: hata tukifa lazima wataziona maiti.

Ilinibidi niwatimizie vyao vyote halafu niwaingize kwa uficho kwenye chumba cha chini, na sijasema lolote.
 
MY LITTLE TOKEN TO MY DEAR READERS: ALWAYS KEEP IN MIND THAT LIFE IS FULL OF SURPRISES - ONE IS NEVER SAFE FROM OBSTACLES.


We all know that sickness or any types of trouble cannot be cured by a majic wand or a finger snap. That was just the beginning of a great ordeal! A rollercoaster! We took the bull by the horns!

SELFISHNESS AWERENESS ON MY PART

As far as I'm concerned, I was addicted to the PERFECTION. The women thoughts I surrounded me with in that segment of my lifetime, should be the Top Notch THANGS!

Those were either self made Beauties or made beautiful, likable by other gentlemen out there. And I cared less for other people's feelings.

I even forgot my own roots for that matter. The only valuable thing I deemed right was throwing a little cash or clothings at them once in a while and that, when I get a chance to know who's going home!

Yeah! HOME! A phone call was very expensive during our times, 3.00 Dollars a minute until the time we started getting cheaper facilities; a 20.00 Dollar card that gave 12 minutes! What an argument that is! Wait till you get someone who's gonna run your phone bill like crazy calling her people then you'll understand!

Then the real good deals until these days came along! Still, no time to call home...

We have come a long way!!

Morality: A little sacrifice in one's life allows others to ease theirs... it has to be from something I hold dearly: My well being. Giving and not expecting anything in return. No steal.


SELFISHNESS AWERENESS ON HERS

My partner was a wrecked being from childhood. Then she saw herself so victorious in all the steps she took. That got into her head to the point that she realized, nothing could stop her from getting what she wanted in her own terms. I became her first target!

Then she planned to take Justice in her own hands so that her familly could be vindicated in a way. She became fearless, ambitious and daring! Why not? She was smart! She was so blind to the point of not seeing the other side of this LIFE COIN: People spotted her big times.

Morality: One cannot stomp on people's heads like they were grapes for the quest of high rises. Therefore, one should mend their heart from the aches and stand for the right thing. That should suffice as a healing outcome.

Hence my sayings: F-Up young man + F-Up young lady merged into one huge F-Up couple, trying to raise a family and shape their own Island! What a dream!!!

PROCESS OBJECTIVES:

Me: I love sex. Oh yes I do! I somewhat mastered the Art, so I thought. I know how to plan a spectacular Party for Two and I have a great taste in music and I brought my set to the table: I GOT IT!

Her: A Wonderwoman! A Tarzan Girl, an A,B, ...Z Girl: Okay.

Then they put us as fierce opponents, one to each other! So I am the MC, then I should deliver...

I have to deal with a set of things:

  • Keeping up with the timers
  • 2 sixty-minute tapes or cassettes in continious reading and I should abide by the dead air and the tracks: One track, or a set of two tracks for each action they should suffice to accomplish the exercice!
  • A bloc-note and a pencil so I could give them any checked result at the window
  • Me.
  • My partner
  • Drinks and snacks
  • ....

Once you realize how much of a task you'd have to juggle with, you ask a question: What happens if she desists?

Nobody answers... Puzzling, ain't that?

From 19:30 to 22:00!
 
THIS IS FOR ALL WANNABES POISED GENTLEMEN: A MESSAGE FROM A BROTHER FROM ANOTHER MOTHER FOR YOU:


Your body is God's Temple. So kindly use it wisely. Whatever juice you've gotten in you, you shuld know it is a Heavenly Privilege. It is an aquisition that is not restricted to only you. So don't be fooled.

Your Essence is a treasure, a TRUST and also a WEAPON in all aspect of the word against yourself and I mean it, if you use it selfishly.

Therefore, prevent yourself from causing chaos or mischief in the land around you; those are living souls you'd be playing with, and even yours doesn't belong to you. Believe you me: Karma is a Biatch! Your aim should be on Ojective Morality Matters. That's your most safe gound your feet should be on.

Then again, it is not so special as you might think; we all know how, and if we don't, it's because we are not looking in the right direction. Here is how:

Be honest about yourself and onto others.
A Good eat and a Good workout. Have a clear mindset. Respect your Work. Share mutual feelings with your partner. Take a good composure and have a reasonable time off from 6*6. Your body will absolutely exhale positive and useful energy. You are an inspirational Love Stream!

You can shaffle them positions around your fiery nights and it's fun for sure, but once in a while, like Whitney Houston suggested: Saving all your love for him/her for special occasions.

Do not try to be a HARROWING BEAST, cause you're ONE HECK OF A SWEET BEAST already! As a cool Beast what's required from you is a wholeheartedly warmth, confort, Compassion and certainly the BEAUTY will give you Passion and the LIKES OF YOU in Return.

Take the PAIN PART and the HARSH ATTITUDE out of the Equation during your life celebration. Celebrate Good times, c'mon! In Due Harmony with your Good Woman! Get a good fire goin', will ya?

Listen to what TLC said in "This Is How It Works!" so wrap yourself around her body and go due South! Once you know about it ain't nothing to it!

And Stop! Think... Then Take a Stand and then proceed. Make it right like uttered Sade in "Smooth Operator," witout that bad End-Desire of going from Coast to Coast...

What if you listen to Lauryn Hill about Strumming a Woman's Pain? Sing her whole Life(body) with your words(your fingers and sweet proper utterings) and do it in styles! Kill her softly with your Songs, your waves.

Have you gotten something from Bob Marley? So doit in a Rub-a-Dub Style.

Billy Ocean rumbled about her Carribean Queen. So be the King and share the same Dream!

Be her Sundress like said Coco Brown from the Phat Cat Players! She won't need any other clothes. She can wear different shades of you, Mister Lover Man! Would you be her Sundress in 6*6?

Sex is one hell of a reward indeed. YES! Life is Sex. Yes again, but Sex is not all life.

Take the Rumba and you will never go wrong. The Salsa. The Tango. The Slow motion in Kizomba style. They do fine in 6*6 even without music!

Bestow the warm wind and a Spanish Lullaby like said Madonna in La Isla Bonita. That is where your Queen longs to be!

Have you gotten any stuff from Faith Hill in her Jam "This Kiss?" What a Subliminal Love that would be?!

The Queen always wants a Strong Knight to fight for her sake With a good heart, soft touch, fast horse, Riding her off into the sunset, She'll be forever yours!

Your love should be on a Good Roll like Don Williams suggested.

Louis Armstrong left us a Political Gem: "What a wonderful World." That's also love! Wrap your head around it and take him to your life celebration!
.
.
.

PART TWO OF TWO IS ON ITS WAY ANY TIME SOON.
 
Khabarini wadau? Mbona kumepooza humu? Toeni tafadhali maoni yenu na likes walau kiduchu.

Usiku huu nikitulia nitabandika kitu. Stay put, please...
 
Khabarini wadau? Mbona kumepooza humu? Toeni tafadhali maoni yenu na likes walau kiduchu.

Usiku huu nikitulia nitabandika kitu. Stay put, please...
Mkuu habari ya majukumu,,nliacha kusoma uzi wako sababu sielewi chchte hapa,yaaani naumiza kichwa alaf sielew sijui n mm mwenyewe au vp?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu habari ya majukumu,,nliacha kusoma uzi wako sababu sielewi chchte hapa,yaaani naumiza kichwa alaf sielew sijui n mm mwenyewe au vp?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Labda kuna confusion uliyo ipata kwa sababu nilichanga 2 stories in one. Ya kwanza niliyo ichukuwa, ilikuwa ni ya mdada ambae alichepuka halafu akaachika. Muktadha wa story yake, ulifanana kwa kiasi kikubwa na yaliyo nitokea na mke wangu. Nilipita nayo.

Nadhani kweli nilikosea. Afadhali ningeuchukuwa uzi ule vile vile ulivo, halafu nikaweka sasa vyangu chini yake.


Nilitafuta njia nyepesi kumbe nimeharibu. Lakini tafadhali tulia kwa kuzingatia haya yafuatayo:

Mke wangu kweli alichepuka.
Lakini vyote ilivifanyishwa na hali zake mbovu:
- Aliathirika ki saikologia, athari hiyo ikamuaribu muelekeo kwa mambo mengi mno.
1)Hajajijali tena angali mdogo hadi akanenepa kupita maelezo kwa kula: alifungiwa kila kitu basi akifika kwa jirani au ndugu, akiikuta boflo na Tanbond, atakula ya ya siku za ziada.
2) Aliiweka nongwa ya kulipiza kisasi, anausubiri tuu muda. Hii ilimjengea nguvu za ziada ili kesho awe na nguvu na arudi kumkalisha, au kuwakalisha anao wajuwa yeye, na ikawa siri yake mwenyewe.
3) Aliitumia mno akili yake ili afaulu kwa kila hatua(Over kila kitu: utumiaji akili na overload).
4) Faraja: alifaulu shuleni. Akafaulu tena kuniteka. Akafaulu tena kuupata mwili tukufu wa kike... mkato, kila alicho kifikia kilimsogeza kwenye malengo.
5) Ziada ya overload: nyumbani kwa nduguze, kuna matatizo. Japo anaifanya kazi na tunasaidiana, haijatosha! Na huku sasa, tunayo familia. Na hataki kunishirikisha kwenye siri zake

Hayo yalizidi hadi akaumwa na vingine visivyo onekana sasa: Chizi wa akili nyingi. Waathirika wa namna hii ni watu wa ajabu sana! Anaweza hata kuwa rais wa nchi na akayafanya maajabu(chanya kama hasi) na kila mara unamuona ni yule hule mweye haiba na pia mtu mahiri sana.

I hope you can follow. Ila hivi niko ulimwenguni kidogo, narudi nchini usiku wa leo. Nitakuwa na muda from Sunday on, mtu akiwa na suali lolote ataniuliza.

Hayo niliyo yaandika kwa kizungu, ni vile tuu nilikuwa On The Go, sijataka kutafakari zaidi nikaandika yanavyo kuja kichwani. Ila yatakayo fuata nitayaweka kwenye lugha yangu, kwani hapa mimi narudi kuijifunza kila siku niongeze kitu.😉
 
A ONE MAN SHOW PART TWO OF TWO:

_Jibu: "It sounds you're geting your girl back! You Be the Judge, you're doing fine... Don't cheat, okay?" Dah! Hata kama wamenipa moyo, lakini sasa...?

Nikaubadili mziki, nikaweka kichupa anacho kielewa kwenye show, baada ya mapumziko ya Yoga. Akiwa ameshuka, atakiskia tuu, halafu nikajielekeza mbele ya mlango wa bafu.


Anaendelea...

Mara naskia mziki umepungua sauti. Ooh! Marashi... Akili ikiambia huenda ndiyo muda wa kurudi unyagoni (siyo tena ingwe).

Pamoja na mascara iliyo churuzika, sijaona mbaya kwani nyuma ya hiyo pazia nimejiona nilivo mtulivu mwenye nguvu baada ya kikao cha Yoga.

Ushawishi wa kuitazama saa kama umejinakili wenyewe kwenye ubongo. Bila kukusudia macho yakatulia kwenye saa iliyopo juu ya kioo bafuni: 21:26...

Oh! Kweli nimekituliza! Ndiyo maana nauhisi mwili umejikusanya! Nikajielekeza mlangoni. Ile naufungua tuu, mwenzangu huyu hapa! Uso kwa uso! (Body language: composure)

Track - Madonna: "2 x Crazy for you..."

Lakini naiona nuru endelevu, akiniangalia na macho yaliyo jawa na huba. Hakika kidume amepoa katika ubora wake: taswira ya Mr. Clean, mikono kafungia vile vile kifuani, kapinda bega moja kidogo, huku tukiwa tunatazamana chini-juu.

Kwa macho yake ananifagilia mwili mzima. Mtazamo wa njaa na kiu ya mahaba ukaniambukia, nami nikafanya vile vile kwa kuukirimu ubongo wangu kwa taswira iliyo jawa na hisia, mwanaume akiwa na matone ya jacho kama shanga mwili mzima mfano wa mtu alie toka bwawani.

(after some push ups; curbing testosterone and other sex hormones for more steroid hormones ex. adrenaline)

Hapo unakuwa umesha mrushia rehe ya uturi pamoja na 'vyako' kupitia tundu za ngozi kwa mfumo wa spray isiyo onekana, pale joto la mwili likiwa kamili

Vile anavo endelea kunitazama, macho yake kama yaulazimisha ubongo wangu nimgeuzie geuzie bidhaa mteja wangu aridhike zaidi. Nikafanya hivo.

Dole chanya nikapewa... Na hakika naisoma ridhaa kila nikirushia macho yangu alipo: anaiagiza mikono kifuani mwake na kunako kwa tomasa za taratiiibu na laini, huku akiun'gata mdomo wa chini.

Naihisi mionzi ya kiu yake ikiniingia na kuzihuisha nguvu zangu za kike hadi naehuka na mwili unayafanya mambo sijauagiza utekeleze na huyooo!

Nasisimka na sielewi nimefikaje kifuani mwake hadi kwenye busu oooh!!... Balaa! Hapo nilielewa nimejibamiza kifuani kwani nilihisi kamliyo kama ka baruti inayo pasukia mbaali na nilipo mimi.(GREEN)

Tulifanya sasa kila kitu kutokana na aina ya nguvu tulizo kuwa nazo! Sijapewa ishara ya sitisha?? Ah! Raha iliyoje! Dole chanya? Siamini lakini...hii kweli! Nikahisi nguvu zimeipiga hatua fulani:

Tiyari nimemkumbatia hadi nahisi nitaingia kifuani mwake, huku chini mguu wangu mmoja kaupandisha na kaushikilia, mkono wake mungine ukiwa rasmi kwenye tomasa murua ya nyanya nusu-mbivu, ndani na nje ya paja na ... , pia na mgongo! Asante Judo!

Hakika deni la hii aina ya tomasa kalipa na fidia ya subira kawekelea nikavimbiwa, hata na mimi nikazitoa mbweu za asante kwa dhati; moja kwa moja nikaishusha mikono yangu hadi kwenye beefkeki zake nikamvuta. Nahisi 'nataka-nataka' ikinipapasa paja basi ...

Jongoo nimemuinua kwa mkono sasa tumempakata kati ya bustani zetu huku nikimkatia uno-bembea la wimbi tulivu, na hapo hapo wimbo wa Rumba ya M'Pongo Love "Bakake" ukaikithirisha na mionzi ya ashki zake... ooh! Na hatua zikanoga... Hakika hili jambo nilikuwa bado sijaliona toka tulipo ingia kilingeni kwa haya mauchawi... viungo vimerudi kulainika balaa!

Mara tuu, akashuka kifuani mwangu kwa busu la pumzi baridi halafu joto, nikalainika. Mikono na mimi nikaiachilia kwa nyuma vile vile nikiendelea kulisukuma wimbi la uno. Basi nikamsabilia uwazi kwenye mapacha wangu.

Kidume akaifanya kazi yake kama ipasavo hadi naivuta mpumzi kwa nguvu na ikaitoa filimbi endelevu huku macho yangu yakirembua pia na kukapua kapua mfano wa taa zinazo ashiria zimefikia mwisho wa kazi, kama nafikia hata mimi hatua ya kuzirai...

Alielewa kweli nitadondoka kwa mguu kuchechemelea, basi akanivuta vuup! Nizindukane ili nisikati moto, kweli lakini ameyapunguza na mengine...

Kifuani mwake kaniweka, na kuupandisha mkono wangu kwenye shingo lake, halafu nikafuatisha na mungine. Nilipo mshikilia tuu, Ooh! Kenny Rogers ameingia na kichupa cha "Lady" (Real)... akanipakata vema, kinyume karudi hadi kwenye kitanda akaketi na kuendelea busu lake tamu ajabu.

Akiwa amenishikilia kichwa, busu joto la shingoni likaikidhi haja na mkono wake mungine ukawa kwenye tomasa ya nyonga, nyanya na mgongo tena, hadi nahisi vifungo vya ashki zangu vikijiachia na mlago wa pango unajibanabana sanjari na mapigo ya moyo wangu!

Nadhani hayo hayo mapigo ya moyo yalihamia kunako hadi akayahisi kwenye paja zake. Basi hapo hapo akalala na tukapanda sote kwenye kitanda, akapindukia na kunikalisha nikiegemea mito.

_ A No music section..._

Akiwa katikati ya paja zangu, akalianza sakata la mikono juu kifuani, taratibu mwendo wa kinyonga vile nahisi amelifikia tumbo, oh! Pia na huko chini pangoni dole linauchora mduara laini juu juu...

Mara tuu a merudi kama buibui na kwenye shina la uhai tumboni kapatia joto, tena kashuka... ameniganda kama ruba na ulimi uki... "O"... U- ooh... kwenye Santa Esmeralda! Tayari hapo nimepagawa!

Najiskia sasa ninavo hemea kwa ukimya uliyo tanda. Ameinuka... Mtelezo ukiwa balaa kwa ute ulivo shuruzika, kwa mkono, akakitwaa hicho kilainishi: finya finya na bofya ya Almasi!! Mwili mzima nasisimka, kwa tuvichomi kunako pamoja na kuchechemea! Midomo inatetemeka utadhani nimeshikwa na kipupwe, nahisi nimerudi kupaa karibu nifikilie sehemu aliyo nifukuzia ndege! Raha!

Nikainuka taratibu, tiyari nimemkumbatia kwenye shingo nikiutafuta ukaribu wa denda yake tena, nikaanza kuzitoa hamasa na shamra shamra laini nikimuomba anipaishe kwa tomasa zaidi... hamna jibu!

Nimesahau... nimetamka! Amebadilika!

Alivyo vidai kuwa alivizoea (~nyembe~) sijampatia, bali nilimpa asivyo vizoea; a little pain & plaisure. ~Pombe ya embe~ sijaifyonza nilikosea, bali nilimpa chembe ya huba: whirlpool kwenye qsismi tuu pasina kuzipiga deki Lulu zingine.

Papo hapo kwa mikono yake mizito kaishika kwa nguvu na kuitoa mikono yangu shingoni kwake, halafu kwa mkono mmoja akanisukuma kwenye bega ili nirudi niliko jitoa kwa kuitafuta denda!! Sielewi! Dole chanya ilioneshwa ya nini sasa?

Kwa magoti karudi kinyume na kunivuta miguu: Chali! Kifo cha mende! Kaniwekea mto chini ya kiboga, huku akiyainuwa mapaja hadi kwenye matiti yangu; pozi ya kuvalishwa Nappy (kwa sasa kuna Pampers au Diapers.😉) Akatabasamu... sijaambiwa nifumbe macho...


A- Aaah! Taratiiibu, nyoka kaingia na kutoka pangoni mwenzangu akiwa ameniminya miguu nyuma ya vifundo vya goti. Tumbo langu linajibu kwa kujibanabana pale joka kaingia na kujiachia achia anapo chomoka. Huu muda wa kugugumia maraha nimeusubiri kitambo! Ooooh! So incredible this Slow Motion game... aaah!

Hakika hii sehem ilikuwa tulivu ambayo sijategea kwa mseto niliyo uchangiwa mwanzoni huko, ikiwa pamoja na matakwa yangu kukanushwa. Nazidi kuchanganyikiwa tuu... mara asali, mara shubiri.

Nikaanza tena mchakato wa kuzielekeza hisia zangu kwenye mpasho motomoto huo, macho mlegezo tukiangaliana; mwenzangu hapo ni likauzu linalo pumua mkato mkato: pumzi ikiskika ikitokea kwenye mn'gato wa meno, mfano wake ni kama mtu alie athirika kwa baridi kali (Room temperature not so friendly but sustainable).

Short time out... dead air then...

Demis Russos anaingia na jengine kali: "My Friend The Wind..."

Hii inazo zehemu mbili za rubbing up, na mbili za mchapuo: mchapuo mmoja wa wastani halafu na mwisho, mchapuo sadifu...

Pasina hata kufikiria, uso wangu unaashiria nimenogewa sana kwenye hii hatua ya usagaji karanga wa kukatikiana kwa uno laini akiwa ameyaegesha matairi ya ndege hapo, mimi nikiwa nimetanua V shape na hapo nyayo zipo kwenye godoro ili nifanye panda shuka ya uno, na yeye kanyooka mzima mzima juu yangu kwa mfano wa vunjajungu ... na punde...

Ataubadili upepo kwa mdundo wa mziki uuh; miguu yangu ikanyooshwa, yeye kaja kifuani vile vile mtindo wa vunjajungu na sasa kaanza kuyachimba madini, jembe likinilima kwa kasi kiasi cha uwezo wake! Nakisikia kifaa kama kinanigusa kusiko-ndiko humo ndani ya pango A! Na ndani ya mashavu nahisi kulivo jikusanya kwa kufura.

Macho yakanitoka, hadi naanza piga vigelegele sielewi vimekujaje. Nikafikiria nitumie ujanja wa kumshika sehem nyeti inayo mchapua ili tujiachie kwa pamoja, lakini sijawahi... kituo cha ghafla vyote! Na Demis Russos amebadili... Huyu mwanaume kajuaje nilicho nacho akilini?

(ndege walizivumisha mbawa nikakata kwa kutema kiduchu...Thanks to KEGEL Exercices & Taebo)
Style ya vunjajungu hapo ilikuwa ni kusudi, ili aizishiki nywila zangu. Vinginevyo unaweza kuchuchumilia ukiwa kwenye magoti na kitu kikaenda endapo dhamira yako ni kumalizia.

22:14 time hadi hapo... "Back at One" Brian McNight Track"... with a subtle doctored uttering - You're brave...

Hayyyaa ...whuh!! Chuchu moja imefinywa kweli na kunako pango mashavu yamebanwa!! Akanichua kwa shinikizo la mduara kuanzia mbavuni hadi kiunoni - hii sawa kwa kuzipunguza ashki lakini ...

Utundu wake wa kujiwekea akiba naufaham ili sote tuupate mshindo mara dufu!

Huwa nikiupenda mno, lakini kwa hii ingwe, sina utabiri wowote... ila hapo awali nilipo hitaji kuehuka, hajawahi nilazimisha hii subira; Hapo tunajuzana ki ishara halafu tunaufanya wimbo wa pamoja kwenye farasi mwendo kasi hadi tunamaliza.

Sasa ndo kanivutiya kamba ya tiyara, na tiyari imeshuka viwango kwa mfinyo, kwa mistuko ya hisia kubadilika na mshangao kila ninapo utazama uso usiyo na huruma baada ya kunifupizia safari...

Lengo: kuipunguza nishati ya ashki (fiery birds) na iende kando kidogo ili tuziamshie zetu zote kwa mpigo [All spots zinakuwa tiyari - U, G na mwishoe A] halafu tunakwenda sasa kwenye final ecstatic sail away to the milky Way...


Itaendelea... JBourne59
 
preview2x.jpg
 
Sasa ndo kanivutiya kamba ya tiyara, na tiyari imeshuka viwango kwa mfinyo, kwa mistuko na khofu kila ninapo utazama uso usiyo na huruma baada ya kunifupizia safari...

Najistukia nimebaki mdomo wazi na mkao ule ule pindi alipo jiengua na kwenda maliwatoni!

Nilijiambia kuwa huenda akirudi, ndo tunauchemsha wimbo wetu bila mziki hadi mwisho. Sasa alipo rudi, hajaniangalia... yaani chuma kinapooza, kaloweka kwa maji baridi. Na n*embe langu nalihisi linaachia kesi, kwani lilikuwa wima kama dole gumba...
Nikajiinua...

Alijikusanya mwanamke na akaifungia mikono yake kwenye magoti, akiwa amelalia sikiyo lake...

Anaendelea...

Hata kumuangalia kwa upendo kama zamani nashindwa, asiniibukii na ishara! Haijatosha, NIMETOA MANENO! Kitabu gani yu asoma huyu?

Nikawa katika hali ya kuyafikiria mengi tuu, huku nikiisubiria fikra yangu inipe jibu hapo hapo na silipati... tiyari macho yanavuja kwa chozi la huzuni, nikajiinamia... hapo tiyari ashaa nipiga jengine bao la kufubaa! Mambo gani mengine yangu bado atayafubaza? Kwa nini ananifanyia hivi?

Maji niliyo kunywa sasa yanadai kutoka. Ikabidi niombe rukhsa kwa ishara ya samahani ya kwenda bafuni baada ya kuupunga mkono na kuitunga kidole ile bilauri yangu... (chanya na Status Quo nikapewa.)

Akanijazia bilauri na kunipokeza na kurudi kwenye kiti chake... yote nikaibuia kama alivo fanya yeye mapema.

22:27

Ah! Kumbe? Muda wote alisubiri hata na mimi niende bafuni, sijaielewa ishara hiyo? Yaani nakalishwa hadi nahisi niombe poo ya ishara!

Kama kuna vitu kweli vimenikaba usiku huo, ni singeli ya mafumbo, ishara na kuchomolewa nyaya visivyo kata vya huyu nunda mla watu! Lakini najiteteaje?

I CAN DO IT! Nataka nione mwisho.
Nikajiiunuwa ili nielekee huko bafuni, miguu nayo...?! Sijaweza kuipiga hatua ya pili, nikarudi kwenye kitanda haraka. Alipo niona katika hali hiyo, aliwajibika.

Vinginevyo deki ingemuhusu usiku huo. Alipo sogea, nikamnyooshea mkono ili anisaidie kunyanyuka; kofi hilo! Kwenye kiganja! Lakini nikafarijika na nguvu kweli zikarudi, pale tuu amenipa ishara ya umaliziaji...

Nimezolewa kama mzigo na kupelekwa! Hataki ushirik... hapo nikashushwa hadi nikakalishwa kwenye choo. Alirudi kidogo chumbani mara paap! Huyo kasimama mbele yangu vile vile kama askari jeshi, mikono kafungia kifuani...

Nilirudi ili nivipange vinywaji kutoka kwenye jokofu na nigeuze mwelekeo wa ukanda (reverse mode) kuje sasa kibao cha Michael Jackon, nikarudi haraka ili asinifukulii Yoga au jengine: "Beat it..."

22: 36 kwenye saa ya kioo...

Oh! Hii mpya kwenye sakata lakini nzuri! Sijavuta pumzi vizuri, navutwa kichwa niliamshe dude. Mkono nikataka kuushirikisha halafu nikasita...

Five munute sequences with two-minute intermissions(to unwind) all the way through...

1) Baasi nikawajibika kama kibogoyo wa kweli hadi najipongeza kwa kazi nzuri! Na akiwa amenishikilia kichwa, akayaweka madoido humo humo ya muziki huo ulivo muelekeza: Halijakawia kuanza kuisoma ramani ya anga (nusu mlingoti).

Tiyari nimepokonywa mtarimbo na mdomo ukiwa wazi, nikarudishwa vile nilivo letwa hadi kwenye kitanda, na mziki umekata...

Last moments... no music... we can see, hear, feel each other's natural songs...

Kanitengea mto mbili sasa kwenye tumbo, kifua kwenye godoro, nahisi anauskuma mguu mmoja kwa mbele mungine ukiwa umenyooka. Huwa najitenga mwenyewe lakini sasa ndo sijui niwajibike au ni X, hapana kazi hapa! Ki roho safi nasubiri...

2) Huyo! Amelikwea tuta na kuninyoosha mikono kama mbawa huku na yake mikono kaniwekea juu, vidole vimeingiliana, kifua chake mgongoni nimebebelea! yaani njiwa tumekutanisha mbawa tunaianza safari ya kulikata anga! Basi nikapashwa moto tarrratiiibu.... wooooh!

Mwendo unajiongeza kwa kila wimbi 5-6 nikihesabu... wastani... Trako la kasi hilooo... sina hisabu nafuata tuu muelekeo wa rubani huku nikihisi shinikizo kwenye vidole na kichwa chake kikinishindilia kati ya mabega ... Hapanaa! (long lasting mute segment with a subtle recorded sea waves sound) Kumbe tunashuka kwa kasiii... nikafumbua macho, vidole vinaniuma, kifua kimebana kweli... halafu naiona bahari nikiwa nashuka! Nikarudi kuyafunga macho mno!

alihisi anazamishwa hadi akanena kwa ukelele "You drowning me(kidhungu)!"


Kwa muda wake, nikahisi mchapuo hasi kunako, na nikaanza kurudisha tena akili tarrratibuuuu... ndipo alipo ondoa kichwa chake na kuinuka huku mikono yake ikishuka hadi kwenye nyonga na gumba zake zikiipiga miduara kwenye vitobo juu ya ujiko.

3) Hapo amechomoa! Kama chapati, nageuzwa mimi najikuta chali tena! Oh! Amenionesha tena ishara ya "Final" na kwa mikono yake anaionesha "Tushangilie kwa pamoja," Tomasa laini na Mchakato wa furswadi kifuani! Huyo kashuka na huku kusini tende tiyari kogwa limeanza komaa...

Likakomaa zadi kwa msuguo wa kichwa cha ndege kikiigonga gonga kwa wimbi na hatimae mduara endelevu hafiiifu kwenye shina... U!


4) Ayyayyyy... nabamizwa tena, huku naitumia miguu ili nitafute nachomokaje, haiwezekani. Bali nagongwa nikisogezwa sogweza taratibu akiwa anaunyoosha msumari uliyo pinda hadi najikunja kama kipuri kwenye kichwa cha kitanda! _ (Satin or Silk sheets effect)_

Na hapo ndiyo mwisho sasa ananitiya kibano anavyo juwa yeye, wala sifurukuti, nimepwaya mikono kwa mapigo; jamaa ananitweka sasa uzito wake, nguvu zake na akili yake yote kahamishia kwenye dharuba! Msumari unachomolewa.

Utayarishaji wa rocket ili twende kwenye sayari nyingine...

5- (Skipped) Goti moja kaweka kwenye paja, huku akilipapasa taratibu tunda. Paap! Kitumbua kimekandwakandwa! Naachiwa... senkunde kadhaa, kinafinywafinywa tena! Anaachilia. U DJ nauhisi umeanza, sahani linasuguliwa tarrratibu kwanza, halafu wastani... tena taratibu, kisha... nahisi kweli bibi anaudai sasa mswaki wake kamili...

Siyo kila mara utakipata kitu vile unakitaka. Kuna muda itakulazimu ukiombe kwa upole ndipo ukipate... nilitulia kidogo lakini nikimtazama katika kusubiri ishara yoyote kutoka kwake...

Ikabidi nimpe macho ya omba omba, yaani vile vile huwa anavo fanya, na nikaufunga mdomo kwa ishara ya zipu!! Sijategemea itanitokea... kisasi. Sawa...

Alitabasamu kidogo, yaani kama ametosheka, basi akalianzisha tena! No more resistence.

Kitete mie bado cheche hazijatulia, napewa sasa mtanange wa umaliziaji vile ninavo uelewa sasa: anajiweka ubavuni mwangu nikiwa nimeegemea mito na mungine chini ya pakacha naekewa. Halafu anatelezesha shingo la kiganja chake kwa dani kuanzia kwenye bustani akiniangalia usoni, ili azisome alama za nyakati.

Anaanzia kwenye kuichachafya tende kama anaisaga na kuifikicha tarrratiiiibu kwenye shina lake... U!, halafu anashuka hadi mwisho wa doriani, halafu panda-shuka, mara kadhaa, vile vile taratibu kama anamchua bibi: kila anapo panda, vidole viwili hupandia kupitia ufa wa tunda, na anapo shuka, huyabana hashavu ya doriani. Nauhisi mtiririko wa damu huko...

Mara ya mwisho kuja juu ndipo dole mbili pima joto ya kasi mara kadhaa halafu na mduara pima joto mara kadhaa na hapo bibi anasukutulia kiduchu, halafu nazihisi taratibu dole zikijibinya hadi kwenye dari ya pango kule kunako mkusanyiko wa mtama.... Geez!! Kama dole zinatembelea tembelea humo... Hapo sasa gumba linaichambua tena korosho... U!

Kugugumia, lazima! Nazibwa tena midomo kwa busu ikiwa imerudi kutetema, huku nikichechemea katika kuusubiri mshindo nusu kifo! Tiyari pochi limebanwa halafu navuta ka pumzi ka fimbi tuu pale anapo sitisha denda;

Hapo anatulia muda mchache, anazijaza tena pumzi zake na kupumulia kwa nguvu mno, hadi kifua nakiona kama mara mbili upana ninao uzoea, kisha anaushusha uso wake kidogo kuniangalia! Ooh! Ninapewa sasa kimbunga cha moto kifuani hadi nahisi nayeyuka...

Macho kama yamepanda juu, halafu sura ya kazi hiyo, kwa tabasamu tatanishi (michezo yake - pale simba anapo jitayarisha kumkula paa wake). Naiona misuli ya pembeni ya paji lake la uso ilivo fura na inapwita, jumlisha sasa na mishipa ya shingo na kichwa, na ya... balaa!! Penda sana dyudyu huyu! Nilihisi niseme asante ila nikaishia kutabasamu na kutanua miguu kama ishara ya ninacho kisubiri...

U Spot activation.

(Skipped) Tiyari amemlaza joka kunako na kumshindilia kwa vidole kwenye mgongo wake mara analianza wimbi lake nenda-rudi, huku kichwa cha joka kikigongana TENA na kito kilicho anza kuutikia mualiko, hamafu nakihisi kinavo anza komaa.

Yaani sijielewi nikiyaona mabadiliko ya hali pale tuu nimeanza kutupilia mikono na miguu huku na kule mfano mikia ya pweza pale anapo tolewa kwenye maji na bado yu hai.

Only A spot activation process.

Mara nageuzwa halafu nawekewa mikono kwenye kichwa cha kitanda; hapa sasa nikawa na kaama na uhakika ataliachilia shimo liteme.

6) Anaupitisha sasa mkono wake chini kwenye kitovu, ananiinuwa na kuniweka kwenye kima cha jambia lake na kunivuta kwa nguvu, huku akiushindilia mgongo nibinue ili auone vema mlango wa pango! Mara fyaa! Yaaah! Tena! Hmm! - A!

Mwendo mkali huoo: Nitakun'gutwa kwa kasi hiyo, mapaja yangu na yake yakigongana hadi unadhani kuna mtu yupo hapo akishuhudia na kutupigia makofi!!

Niemitoa dalili kwa mliyo kama wa paka pasina kutegemea, hapo ni pale bibi punde anataka rusha vyake kweli kweli hadharani, kwani mswaki umemfika hakika.

PIVOTAL & CENTRIFUGAL MOMEMT.

Proper beddings are required for this purpose: satin or Silky bedsheets.

Niliskiya tuu mshkaji ameniinuwa na kuniweka kifuani mwake, kisha akaangukia mgongo taratibu, halafu tena kazunguuka kama goroli au mpira na kupindukia akiwa bado kanitiya hicho kibano cha miguu, na kunirudisha tena kifudifudi, yeye sasa juu, hadi kwenye upande wa miguu kwenye ukomo wa kitanda.

(Velocity & kinetic energy effet - vinapunguza kutekenywa)
halafu ndipo unazikusanya nyota wooote waje na mmalizie...


Hakika huu mweleka naufaham ila si baada ya usiku mzima wa ingwe!

_ Simultaneous A & U Spots activation.._

7) Hapo nikaipata sehem yangu ya pigo la ubavu: hapo nakuwa kama kiti kilicho angukia ubavu, na yeye pia yupo hivo hivo nyuma yangu ila kidole chake kikiwa kinaifanya kazi huku mbele kwenye kito ili kirejee mahala stahiki.

Mara tuu, amesitisha lakini kizibo kimebaki kwenye mdomo wa chupa.

Niliinuliwa, na mimi pia nikajisaidia kwa mkono, nikatengwa kwenye magoti, kifua chooote kimebanana na godoro, nikaupata mkon'goto wastani...

Kuna jambo likamshinda uvumilivu kwenye hii sehemu ya umaliziaji, akanena kwa sauti "Smack Dat!" Na papo hapo ikafuatia... ( Real Track by Technotronic: Pump Up the Jam." - for ilustration purposes)...

Still no muzic, remember...

Alipotoa TAMKO hilo, nilipatwa na furaha kwani anapo lisema akichapia, nahisi chembe ya shoti tamu kwenye nyonga; kila mara anapo chapia kofi sadifu basi na mwili wangu unajibu kwa mtikisiko wa hili furushi wastani mama alilo nizawadia...

Mara tuu muziki ukaisha, halafu naskiya unarudi hewani kwa kibao cha:

Pitbull "Let it Rain Over me!!" Uwiiii!!!

Good rythmic track by Michael Jackson: "Beat It." For ilustration purposes...

... ukianzia pale Mark Anthony anaibuka na Ayy yay yay!! Ayy yay yay!!

"Let it rain Over me..."

8) Ameuchomoa na kuleta tena kimamiyo hapo! Bibi hajawa na khiyana basi aliifungua bomba na huku njemba likiwa linasafisha kwakasi hadi naiskiya sauti ya mfagio huko nyuma yangu!

Nikaupata mtetemeko "wa ardhi" papo hapo nikan'gatua kifua kwenye godoro, nikainuka na kuanza kutembelea viungo vyote vinne mfano wa ndama alie zaliwa huo huo muda anavo tembea akichechemea, hadi katikati ya kitanda.

Ndipo nikajibinulia ubavuni: huwa naweweseka kama mkia uliyo katika kwenye jusi hai, na huku bibi akimwagilia maji ya baraka kila alipo weza kuyarushia.

A BIG BANG: Simultaneous G&A Spots Hitting.

Mwanaume alinisubiri hadi pale mwili umeanza kutulia kabla sijamaliza, kwani alinifuata na yeye kitandani, ndipo akanilaza chali, paap nikampa V shape pana sana, basi nikasukumiwa hogo lililo tanda mizizi kama kote zaidi ya vile nimelizoea kwa haraka sana, mikono yake ikiwa kiunoni mwangu:

9) Trako zisizo na uvivu hizoooo! Mara amebadili na kaanza tena kwa wimbi hafiiifu halafu huyu hapa! Kaangukia kifuani mwangu akiendelea akiwa anaukazia msumari kwa hatua kila sekunde hadi pale nitakapo yahisi mabadiliko ya hali, na mule mule nikimfinyia...

(Skipped - She wasn't in that mood; downstairs high contactions notes - vaccum mode was on)

Mikono sasa ipo huru, na inatembea popote, basi hapo nikauelekeza mmoja kwenye uti wake wa mgongo, mungine kwenye trako huku nikishuka katika hali ya kuisubiria shoti ya umeme hukoo... Paap... Hiyyo! Nikayatoa macho na nikaanza kumfagilia kwa ncha za vidole hadi kwenye beefkeki zake nikazikuna tarratiibu kwa mikono yote!

10) Bahari imechafuka hayyoo mawimbi ya nguvu na kasi, nimenatisha viganja, kila kidole mbali na kingine nikamsaidia kasi kasi kasi za trako pevu hizoo.... hooo!!!! Nimembana nae akazivurumisha risasi zake hadi.... A....ah! tukapiga mrindimo wa kufa mtu: mimi nyau alie kanyagwa mkiya na yeye simba mfalme akijigamba nyikani...


23:47

Kipi kilitokea baada ya hapo?


Itaendelea...
 
Una story nzuri ila shida haieleweki
Haina mpangilio wala kisa kizuri
Unachanganya lugha sehemu nyingine inawia vigumu wengi wetu kuelewa
Kingine, Kiswahili unachotumia kina maneno magumu sio rahis mtu kuvutiwa nacho
Ila story ni nzuri japo nimeishia katikati

Hayo ni maoni yangu
 
Nimecheka sana hii hadithi kweli hii ndio genre ya Black Comedy yaani mtu anakuchekesha kwa vitu visivyochekesha. Kiswahili cha humu kigumu, Kingereza ndio kabisa. Mimi nimebaki kucheka tu huu usimuliaji.

Viers unapendelea topics ngumu hebu soma hii hapa🙃🙃
 
Napenda story ila ya leo nimeinyooshea mikono, kila nikislide kuperuzi palipobakia sioni mwisho, nasoma maoni tu hapa.
Khabarini wanajamvi.

Natumai mpo shuari.

Ifuatayo ni sehemu ndogo ya safari yangu ya maisha. Huwa nafikiria sana nijaaribu kuchangia walau kidogo katika kuelimishana na kupeana uzoefu kwenye mambo kadha wa kadha ya uhai wa kila siku.

Nonetheless, it is very hard to open up and disclose some really commpelling stuff about one's life.

Pamoja na nia njema mtu aweza kuwa nayo, lakini ni vigumu mno kufunguka pasina kuziamsha hisia na mara nyingi unayaamsha yaliyo lala na pia, unayazindua mengi uliyo dhani yalitoeka.

Kama nilivo tanguliza, hili jambo si jepesi. Lakini nishukuru mno wadau kadhaa waliyo nitia nguvu kwa kuyatoa yaliyo deep down their souls kwa kutuelimisha hata kama yaliwaachia majeraha daima. Uzito mungine ni namna ya kuyafikisha; niutumie mfumo upi? Mchakato mzima nauanzaje?

Kuna nukta kadhaa zinazo nihusu sintoweka kwenye huu uzi. Imani yangu ni kwamba baadhi zipo tiyari humu JF kwenye ID hii hii ya LionsGate na siyo mengi zaidi na utakapo taka kuwa na taswira yangu, nitakupa nukta kadhaa ili ujazie uelewa wako: ukiupitia uandishi wangu waweza jifunza jambo I hope.

My part of the story takes place in a segment of the late 80's to date.

Kwa wewe msomaji; utakapo liona jambo lisilo jikita katika huo muda, basi elewa nimelifanya kusudi. Mfano technology ya huo wakati, yaani between late 80's and 2000, music and lively habits of the era, comparing to what we know today.

Dhamira kubwa: Jielewe katika kila hatua ya uhai wako. Unalo lifanya leo, tambua kuwa hiyo ni akiba yako ya yatakayo kuathiri kesho kwa namna moja au nyingine; mbuzi hula sawa na urefu wa kamba yake.

Majina ya watu au ya miji, ni ubunifu wala hayana uhusiano na hii story.

Iliyopo hapo juu, ni simulizi iliyomo tukio linalo shabihiana mno na hili nitakalo zungumzia. Huyo ni mwanamke anae ongea. Mimi ambae ni character katika huo mkasa, nitarudi baadae kuwaletea ufafanuzi zaidi ili kila kitu kieleweke kadri tunavo endelea...

Endapo itakutokea ukawa na swali lolote, tafahdali uliza, nitakujibu. Na nisipo taka kujibu nitakujuza, na ikiwa jibu lipo katika sehemu zingine za simulizi basi hapo pia nitakuomba uifanye subira.

After Thanking the Almighty God...

This is in memory of my late beloved young sister who's been with us through the whole nine yards. Thank You!!

Many thanks to my dear Brother-In-Law, Monsieur le "Capitaine de Monte Negro," You are a Real French Black Knight and you deserve to have a Queen as a wife, my Sister!

I Can't be thankful enough to my Elder Sister Queen Cleopatra, the Icon of the family. I wonder why nobody thought about calling you 'Uhuru' the very same day you were born!! The name matches best with your character, girl!!

Many thanks to My Dear Rare Ex, and Up until Now My... and My... and so many My's of You for me, you are a Gem!

Last but not least, wholehearted thanks to my offsprings...

SEHEMU YA KWANZA




Niliolewa na mwanaume mpole sana miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifuatilia hata sikumoja, hakuniuliza nini wala nini, alinipa uhuru wa kutosha, nikiaga naenda mahali anasema nenda, hata kama narudi saa nane usiku, atanifuata tu maana hakuwa akipenda niendeshe gari usiku hata sikumoja, nikirudi na taxi, ananikemea sana...

Gari, mafuta niliwekewa kila safari, mahitaji yangu yote niliwekewa na k... Alinikuta sawa toka college na hata kazi sikuwa nayo, akanitafutia kazi tuu baada ya ndoa, nikapata, na nikaanza.

Kuna kipindi akawa ananiambia niache gari kwani hujiskia fakhari mno kutembea na mimi kwenye gari, kifupi alinijali sana, sana sana. Sasa kule kujali yake ndio ninayo ikumbuka hadi leo hii najutiya! Kina mama, dada zangu, wanandoa, kama una mume anae kujali, mshikilie vizuri sana.


Si kwamba alikuwa hajui kuikuna nazi! Fundi haswa na kila mara mbunifu! Sijawahi kumfumania hata mara moja, na kadhalika, alikuwa muwazi sana kwangu! Kazini kwao walinijua, alipenda kunitambulisha kwa kila mtu. Kuna kipindi alienda East Scotland kikazi, ikawa kila mwezi au zaidi, huniruhusu nauli kwenye bank account naenda, siku zingine anakuja yeye hadi aliporudishwa mahala tulipo kuwa.

Huo ni upendo usiyo na kifani. Kwa wengi mno, wangeipata walau robo ya utulivu niliyo kuwa nao, wangeinyanyuwa milima kwa mkono mmoja, kwani angeweza kubadili na kuzikidhi haja zake huko huko tena kwa kujinafasi.

Nilichofaidi kwake tuu, ni kwamba nilikwenda nae kwetu tukiwa likizo Africa, akapaona palivyo, akasema atanisaidia kupaboresha; aliivunja nyumba yetu na kumjengea mama yangu kijumba kidogo cha kumtosha mwenyewe, akamuwekea na bajeti ya kila mwaka kwa kuboresha mashamba na kilimo, hadi leo namkumbuka! Kwao yeye kazaliwa mwana wa pekee, mama yake alifariki wakati amemzaa tuu. Na akasema kuwa anamlea mama yangu kama mama yake, hana dada wala kaka wa kuzaliwa tumbo moja, wako wa ndugu wengine kwa kuwa wazazi wake walikuwa na familia kubwa tuu...

NATHIBITISHA KWA KINYWA CHANGU, KIRAFIKI ULICHO NACHO CHAWEZA KUKUBADILI MSIMAMO NA KUSHUSHA AU KUZIDISHA HESHIMA YAKO! KUWA MAKINI NA LINDA UTU WAKO.

Nikiwa na rafiki zangu tuliandaa mtoko kwenda Braxtown kutembea lakini tukapanga tusiwaambie waume zetu ukweli, tudanganye maana wengi wasingekubali. Tukapanga safari, tukaongopa kwamba ni safari za kikazi.

Mume wangu hakuwa akinifuatilia kazini kabisa. Kajiajiri, kwa hiyo anaweza kuondoka muda wowote bila swali, basi akasema nitakufuata, sintowasumbua nitakaa hotelini tuu, wewe ukimaliza kikao chenu utanikuta chumbani.

Nakumbuka siku hiyo nilichukia mno yaani sana! Pale nilimuonesha nilichukia nikamwambia hapana tunalala wawili wawili, akasema basi sawa nenda...

Alinipa hela ya kutosha nikaenda na rafiki zangu tulikuwa kundi ya watu wanne tuu, watatu tumeolewa ila mmoja bado, basi kufika Braxtown, tulijipa burudani sana takriban siku tatu.

Nikiwa kule, nikakutana na kijana mmoja ambae alinitamani sana. Basi alikuwa kaja na marafiki zake wengine nafikiri nao waliijiya hiyo burudani. Sasa kila jioni, tukiingia ukumbi wa chakula, tunakutana nae, akaanza kunitongoza nikagoma! Hapo akamfuata mmoja miongoni mwa hao mafiki zangu akaomba namba akapewa. Nashangaa usiku napigiwa simu, nikakataa.

Rafiki zangu walinisisitiza sana nimkubali, kijana mzuri, katimiza vigezo kweli! Nikasema hapana, ninae mume wangu, simtaki huyu! Siku naondoka akaja na electronic diary moja nzuri sana kwenye gari yetu, akaniambia:

"Unaondoka?"
Nikasema: "ndio."
"Unataka nini?"

Kwa sauti ya uthubutu nikamuuliza.

"Mrembo, tafadhali usiwi mkakamavu namna hii!" Kwa tabasamu na sauti tulivu mno! Akanipa diary yake niichukue kama kumbukumbu, nikaikataa!

Nilipofika mjini, mume wangu alinifuata, akanipokea akaniambia: "Mke wangu, toka uende huko, nimekuwa mpweke sana!"

Wakati wote huo, sikujua kama alipiga simu kazini kudadisi zaidi... kumbe alilipata jibu kinyume na nilicho mwambia hapo awali kama sababu na madhumuni ya safari hiyo; Kazini kwangu, nimeumwa!

Japo ukweli aliujua, hajanipigia hata sim nikiwa Braxtown, nashangaa mwanaume huyu hakuniuliza chochote yu mkimya tuu, ila niliona amebadilika kwa kuwa tulipokuwa kwenye gari, alikuwa ananiangalia sana! Kila nikifanya kama kumtazama na mimi, anageuka na kuangalia pembeni...


Nikamuuliza: "Vipi?"
Akasema: "Nimekukumbuka sana tuu mke wangu."

Tukafika nyumbani, nikaoga, nilikuwa nimechoka. Usiku ulipo wadia, mume akaniomba mambo, nikawa nimechoka, nikamkatalia sikuikidhi haja yake. Hajajibu wala kusema chochote cha kuhoji, akasema:

"Pole mama", akageuka na kulala na mimi nikalala. Asubuhi akaniambia tena: "Naomba mke wangu! Sina hali!" Nikamwambia nachelewa kazini, nitampa jioni, akasema sawa. Tukaondoka, kila mtu na gari yake.

Nilipofika kazini, HR hajaniambia chochote kama aliwasiliana na mume wangu, aliniuliza tu, "umepona?" Nikasema ndio akasema karibu tena, basi kazi ikaendelea...

Baada ya siku nne tu akaja yule kaka wa Braxtown, hadi kwangu na alielekezwa na mmoja wa hao ma best zangu! Alipofika nilishangaa nikamuuliza nini kimemleta pale, akasema tuongee kwenye gari. Basi nikaingia, ili nikazie na nikatishe misuguano kabisa!

Jamani ni kama nilirogwa naweza sema kweli tena, kama hamtaamini basi, ila naamini ALINIROGA HUYU KAKA, maana alivyokuwa akiongea na alivo jiweka njema, kwa suruwali nyepesi yenye kudhihirisha uume wake ulivo fura kwa hasira, hisia zikanijaa na nikaanza kulowa! Na alizidi kunipandishia mzuka kupita kiasi, maneno yakiniingia bila ukingo wowote kama awali, sasa nikaanza kuona uzuri wake, nikaanza kumshabihisha na mume wangu, naona huyu kijana kweli amemzidi kila kitu:

Mwanaume wangu; anayo madini na nondo zake ambazo kila muda huwa naipata tabu kwa wazo la kuibiwa mume, pale tuu mwanamke akimsogelea. Kama nilivo sema mwanzo, sijawahi kumfumania kila nikimpeleleza kutokana na wasiwasi ya namna anavo wavutia wanawake.

Nilikuwa na mazoea mara kwa mara ya kumuangalia, anapokuwa amelala. Ninapo kata na siyo kwamba nimechoka, lazima nimshukuru Bwana kwa kunipa daraja ya kuwa na kiumbe wa thamani pamoja na mapungufu niliyo kuwa nayo.

Kijana: Pale alipo nitongoza nikagoma, na hata pale alipo kuja kuniaga nikamuonesha msimamo wa kujiamini kwa majibu mkato ili niweke uzio upande wangu, sababu ni vile alikuwa na mvuto, yaani mwonekano wa kushawishi usiyo wa kawaida: mrefu. Umbo lililo tukuka.

Huwa najiuliza: Wanawake tunataka nini?

Mimi nilipumbazika pale niliiondowa picha ya mwanaume wangu akilini, nikaweka ya huyu kijana; Hilo tuu, busara haijazingatiwa na yafuatayo yakanivaa:

Hamu japo imenikaba, ilibidi nikajishauwa kidogo, akasema tuagane. Gari yake ilikuwa ya viyoo vya giza kweli. Hata mtu achungulie kwa nje, atajiona yeye ila ndani hatoona kitu. Akanivuta na kunipa busu ndefuuu! Aisee, nilihisi kama nimepigwa na umeme, nikatetemeka, moyo ukaenda mbio sana, kijasho kikanitoka!

Hapo tena sikuweza tena kuzuia lolote! Nimedata kwa ufupi! Akapitisha mikono yake kwenye mapaja yangu, kapandisha hadi kwenye tuta la shari... kisha nae akaanza kulifinya finya! Niliendelea kulowa, isingekuwa maeneo ya kazi, mkate angeun'gata siku ile ile bila usumbufu na wala nisingeweza kukataa!

Nae akawa yu tayari sana akaniomba nimsikilizie homa yake ... ni kweli nilipomshika shika tuu kitaalamu, homa ikashuka, nikamfuta akaondoka! Tokea pale nilipo ukomalia mtandao wake, nilianza kupagawa kupita maelezo! Taswira hiyo ikajichora pasina kufutika kwenye ubongo wangu.

KUMBUKENI CHA KWANZA MUME WANGU KUGUNDUA, NI PALE TUU NILIPO MKATALIA KWENDA NAE BRAXTOWN PILI, KUWA SINIPO MWAMINIFU: ILIKUWA NI KUSEMA NAENDA HUKO KIKAZI, WAKATI KAZINI HAWAJUI NA NILIAGA NAUMWA... HAJASEMA KITU JAPO TIYARI KAISHA ELEWA JAMBO.

Niliporudi nyumbani nikitoka huko, mume akanianzia mitihani: akasema anaomba tutumie gari moja tu, nyingine ibaki nyumbani. Na kadhalika, atakuwa ananipeleka kisha ananirudisha. Nilihamaki sana na nikamwambia sitaki, maana ya kuwa namagari mawili nini? Kwa nini kalinunuwa wakati alijua anaweza kunipitia?

Akasema, " Nimeamua tuu mke wangu, nini shida kwani, wewe nakupeleka nakurudisha kama una mishe mishe zako nitakupeleka nakuacha ufanye mimi naondoka badae nakufuata? Nikakataa, akasema sawa...

MTAKA NYINGI NASABA, HUMFIKA MWINGI MSIBA.

Maelezo kidogo: Nimezaliwa na vipini vya ajabu. Nimeolewa hadi najifungua mtoto wa kwanza, sijajielewa kwenye hayo maumbile. Iliwahi nitokea sikuona lolote ndani ya miezi mitatu nimejifunguwa, nikajihesabu mja mzito. Nikamjulisha mume lakini sote tukawa kama wenye kuchanganyikiwa; inakuaje na mtoto ndo bado ana miezi miwili na siku chache? Haijatosha hata itifaki zinazo husu kutohimili mimba zilizingatiwa ili tusifuatishi haraka...

Tukajielekeza hospitali ili tuijuwe hali halisi na tujuwe tunaendaje. Matokeo hamna mimba wala tatizo lolote la ki afya, tukaambiwa ni jambo linatokea, tujiskie huru, tusiwi na wasiwasi wowote, kwani hata mfumo wa kuzuia uzazi wa haraka bado una muda labda tuamue kuuondoa kabla ya miaka mitatu.

Nasaha:

NGUVU ULIYO ZAWADIWA NA MUUMBA, TAFADHALI ITUMIE KWENYE MAADILI YENYE MALENGO KWA JAMII, NA KAMWE USIITUMII KI U BINAFSI, AU KWA KUMUANGAMIZA YEYOTE YULE, HASA YULE ALIE FAULU KUIZINDUWA NA KUILINDA KWAKO.

Unatakiwa ujipe majibu chanya kwenye masuali yafuatayo:

  • Hizi nguvu, kwa nini mimi na siyo yule?
  • Mvumbuzi sijawa mi mwenyewe. Kwanini yule?

Ukibugi nilivo bugi mimi, inakula kwako.

Tafadhali endelea:

Mungu hakika ni mbora katika uumbaji wake. Kila mmoja wetu kapewa kitu au vitu vya kipekee kwenye maumbile yake. Kuna mtu alie jifunza kuvitumiya, na kuna asie weza juwa hata ni vya maana kwake japo anaviona, hadi pale atakapo kutana na mvumbuzi wa hiyo nguvu aliyo nayo, halafu nyote mkaijulia hapo hapo na ikawafaidi.

Hivi ndivo NGUVU zangu zilivo ibuka:

Kwenye uso wa mbele wa hekalu yangu kuna vitone vitatu vyeupe. Vipo kimoja chini ya karanga, na viwili pande zote mbili kwa ndani upande wa kati wa kizingiti. Kwa ufupi nyoka akiingia pangoni, lazima vitamkwaruza kichwa hadi ubavuni.

Kutokana na vile muonekano wa vitone unavyo jibadili, mara niviite vitone, mara vidoti nak... hapo vilikuwa vidogo sana na si rahisi uvione, ila mmiliki najuwa vilipo. Lakini huyu bwana aliweza kuviona na kunijulisha kaviona, nashangaa, halafu namjibu nikicheka:

"Yaani sijaona mpekuzi kama wewe! Ulitakiwa ukate nyasi tuu, siyo kufunuwa funuwa na kupekuwa vya uvunguni! Angalia uso wake unavo mcheza! Haya! Vibunie mpango sasa!"

"Mama, kosa langu nini? Huoni nimeupindisha na mgogo kabisa? sharti nimeeneza! Nyie mna tabia za kuficha vitamu huko!"

Mume wangu ni mpenda bustani fupi;

"Kandanda hainogi kwenye uwanja bila nyasi, sasa kukiwa na vijinundu-nundu vya nyembe ni miyeyusho mtupu!" (yeye huyo).

Inakuwa mfano wa nywele zake za baada ya siku kadhaa akiwa alisheviwa. Hapendi nifanye mimi nisimuharibie. Hata akisafiri muda mrefu, siwezi thubutu kupalilia, na yeye hivo hivo ananiletea kazi.

Vile muda unavo enda, vitone vikaendelea kutanua, yeye sasa mkaguzi, na ilikuwa pindi alipo rejea baada ya mwezi:

"Asali wangu, nikwambie kitu? Kama siyo hatari ki afya, naomba unibakishie hivi hivi! Hizi mavitu zimekaa poa, aiseeeee!" Anacheka...

Nikadhani anamaanisha sasa anautaka msitu! Kabla sijasema lolote, akaendelea:

"Vidoti vyako mbona vimeongezekaaa... Lakini navipenda kweliii... hasa namna vilivyo jipanga... na vimebadili raaangiii... Amen!"

Hapo kama anaigiza sauti ya padre wa kanisa katoliki. Teh!

Kwako msomaji, jaribu na wewe kwa sauti ya juu...

Tukiwa popote pale akijiskia, huwa anaurudi huo wimbo wake kwa mlunzi, au anaifanya ishara ya kupuliza filimbi ya bomba na kunikonyeza!

Kweli nilipo angalia, nikaona vimetanua, na rangi imekuwa kahawiya. Vikageuka sasa "vidoti" tunapo viongelea...

Kuna muda vilianza sasa kuwasha, hadi nakosa raha. Nikiwa ndani nipo nae tukiongea, najikuta nimeanza kujikuna kunako! Kama kawaida yake, kila kitu huzaa matani:

"Mwanaumeee! Jembeee! Hivyo siyo vidoti tena! Ni Burudaaaniiii! Kile kifurushi kutoka kwa mama bila shaka kulikuwemo zawadi yako: gimbi mbili na muhogo! Anasema hayo akichekelea "kiek kiek kiek" ndani ya mashavu yake hadi napatwa na hasira.

"Wewe! Wacha dhihaka huenda hii ni saratani! Mi mwanaume mwenzio? Sawa. Magimbi na muhogo chukuwa wewe uiwinde na uifaidi hiyo burudani mara mbili! Shwain zako! Kero imekuwa burudani lini?"

"Wanaume si ndo huwa hatunaga aibu kujikuna kunako hata hadharani? Yamekupataje? Kiek kiek kiekkhkhkh

Bila matani:

" Lakini kama ulikuwa hujui: katika magonjwa yanayo tokana na uzinzi, yanayo julikana mjini kama Burudani ni maradhi ya ngozi yanayo kuja kama vipere kwenye fimbo; Muathirika huskiya raha sana sana anapo vikuna hadi anarembuwa. Anajichubua bila kutambua."

"Weee! Sijatambua hata hivi vidude nilivyo navyo ni upuuzi gani, na wala sirembuwi sasa thubutu uzoe huko halafu unitee hapa, ndo utajuwa hujui!"

"Haki ya nani?! Ikiwa wewe je? Viwili vikikutana, ni salam na ujumbe, na zawadi kupeana! Usintishi! Burudaniiiii! Kiek kiek kiek!

"Tujipange ratiba ili tumuone daktari wa ngozi, sawa mama?"

Ikawa hivo muda mrefu tunakwenda hospitali kwa muendelezo wa vipimo na tujuwe vile hali inavo endelea. Ila pamoja na vipimo vyote tulivyo fanya, haikuwa saratani japo tu mishipa twingi tumo, wala siyo hata vijipere viitwavyo Syringomas, ambavyo havina mishipa yoyote, ni kama vipere tuu, vinavyo patikana kwenye ngozi kupitia tundu za jasho, wala havina tatizo. Lakini havileti muwasho kama nilivyo kuwa navyo.

Nikapewa dawa ya mafuta ili niwe napakaa usiku, kwa kusitisha miwasho. Ilifana na hata ilipo isha baada ya siku kumi, sijairudilia hiyo tiba hadi tukavisahau. Na vikasita kutanuka vilipo fikia kiwango cha punje ya mtama na vikawa vyeusi tiiii na mn'gao wa shanga nyeusi na karundu kaduchu mno, utadhani ni vya kubandika, yaani kama pambo tuu.

Mara ya mwisho, tulipo kwenda kukagulisha tena, daktari katupatia kartasi za matokeo ya utafiti. Lakini vyote wala tusingeelewa chochote kutokana na lugha ya kitaalam iliyomo, na tena siyo fani yangu. Lakini akatuelezea kwa uchache tuu ili tuelewe:

Inaonekana kuwa hizo punje zimejijengea ganda kwa nje mfano wa ganda la kunde, ila gumu kulikoni. Na ndiyo maana ya huo mn'gao. Kwa ndani, kunaonekana uhai: tumishipa kapilari na neva, hata uzi wa buibui ni mkubwa, tumo ndani ya ganda hilo. Utaalamu unasema kuwa hadi sasa hizo punje hazina dalili yoyote hatarishi, kwa sababu toka vipimo vya mwanzo na vya sasa, mwili haujaonesha ishara ya usambazaji sumu au vimelea vigeni popote pale. Vipo salama.

Uwezekano wa kuviondoa kwa lazer upo na ni salama pia... tukiwa tayari, tunaweza kujiorodhesha ili turatibiwe operesheni hiyo.

Daktari alipo tua, mwanaume alifanya kama anayafunga masikiyo na kufumba macho, kwa kushuka hadi akachutama na kuufanya mguno mreefu, na mshipa wa paji la uso ukamvimba. Nikashangaa!

Nikavutwa mkono tuu pale alipo nyanyuka, ili tutoke nje! Hatujaaga Wala!

"Daktari kaongea! Hizo LULU ni zangu, na ZIPO SALAMA! Huezi elewa ninavo zijali! Kwa taarifa yako, hata na mzuka wangu umehamia hapo!"

"Lulu? Zako? Kama ni za kunitia ulema nampaje fimbo bibi? Anajikongojaje? Kesho zikiufunga mlango, unaingiaje sasa? Embu niambie?"

"Nasema hivi..." Hapo kaweka kituo kireefu, halafu akaongea tataribu, ili nielewe neno moja moja:

SHUHULIKA NA BABU. BIBI NIACHIE MIMI!

"Nipo tayari kwenda popote muda wowote na hizi ripoti, tuupate mtazamo wa wengine madaktari. Siyo hii ripoti moja, na tiyari inasema hamna dalili hatarishi za chochote! Operesheni hiyo, haipo kwanza! Haipo! Nimemaliza na tuondoke."

Toka hiyo siku nikaelewa kuwa hizi "lulu zake," ndipo palipo madhaifu yake katika anavyo vipenda kwenye mwili wangu, baaada chungu cha bibi, matuta kifuani na kichuguu kilicho komazwa na Judo. Niliona ni hivo tangu aanze kuzipa umuhim kila mara, utadhani ni mfugo lazima ajuwe unaendeleaje!

Ilifikia kipindi hata mimi wasiwasi nikaondoa kwa sababu nilipenda mno vile mume wangu anavyo zifurahia LULU zake, hadi zikawa na kipaumbele kwenye uhai wetu humo chumbani kwetu.

Nirudi sasa kwenye maelezo pindi nilipo rudi nyumbani baada ya mtoko:

Usiku yake, nikamsabilia tunda. Kusema kweli, alipo anza kulipekua, mimi namuwaza kijana yule tuu! Alifanya ada yake kama ninavo ijuwa, ila niliona kabisa hayuko kawaida; alipo anza utumiaji kisu, nahisi analitia mamivu tunda ilimradi homa yake itokomee!

Nikamuuliza: "kuna shida gani?" Akasema: "hakuna shida yoyote!" Hajajiongeza kama kawaida yake, huwa anayo tabia ya kuungia kamba kwenye nyingine humo humo, na la sivo, tutaendelea na mengine halafu niupandishe tena mnara!

Namuona anauchomoa baada ya jibu lake, hajasubiri nimfute na nianze sehem ya kufuatia, huyoooo kainuka kwenda kuoga! Nayaskiya maji yanavo mwagika lakini pia na yeye akiliya kwa sauti kubwa mno!

Alikuwa na vimautundu vingi sana kwangu, nikaona siku zinavyozidi kwenda, hamna anacho nizidishia zaidi ya kunitwanga tuu, tena kwa karaha, bila utulivu! Yaani nahisi kama niko natiyana na mnyama vile, na baadae atanitafuna!

Na kila nikiwa kitandani, anapo taka kufanya yake, hunivua nguo kindakindaki almanusura inichane, hapo inanibidi nifuate upepo ili nisiji umizwa na niliyo ivaa mwenyewe! Haijalishi nimeelekea wapi, hataki ushirikiano, ilimradi nimuelekezee kunako achomeke!

Tukaenda hivo kiasi kwamba mimi sijawa tena na wepesi wa kuomba mualiko kitandani, na hata akikubali, jambo lililo kuwa nadra, yeye habadili mfumo wake aliyo uanzisha wa kunisulubu, pasina huruma mpaka nafura na kuwaka moto. Ikafikia hatua kwangu ya kughairi tendo mwenyewe.

Hilo likanijengea hoja ya kuyaanza mahusiano na kijana yule, baada ya kushawishiwa tena, na ma best wangu!!

Wazo lililo tokea kwenye maongezi na shoga zangu ni kuwa, kwa mume kimenuka, huenda kumebuma kabisa, kumbe nianze kujali pa kuangukia.

Hata mimi nikaona ni hivo tuu, japo nahisi khofu kwenye khatma yangu mdhambi nilivo mimi pamoja na huruma kwa mume wangu ambae tabia hii nimeanza imemponza na imembadili kila kitu!

Hapa suali la watoto sintoliongelea kwa kina japo tunavo chuana wazazi, athari zinawakumba pia.

Hayo mahusiano yangu mabest zangu waliyajua vizuri sana, kwa kuwa ni wao baadhi waliyaanzisha toka tunaipanga safari ya Braxtown!

Ilipo fikia siku ya kuzaliwa kwangu, nilipo toka nikamkuta Kijana yule ananisubiri nje, akanichukuwa kunipeleka hotel moja hivi iko Jane Avenue, nzuri sana nikakaa kama nusu saa wakaja mabest zangu na keki...

Nilibaki nashagaa, nikiwa hapo mume wangu alinipigia simu kuuliza niko wapi... nikakimbilia chooni kupokea simu, akauliza uko wapi mama, nikasema Nipo St Sixto Hospital, nimekuja kumuona mama yake rafiki yangu anaumwa, akasema mbona sauti ina mwangwi, na kumetulia hivyo, nikasema niko chooni nakojoa, akasema mbona hukuaga, nikasema samahani, imetokea hivo na nikaghafilika… alichosema ni kimoja tuu:

"KUWA MAKINI NA MAAMUZI UNAYOTAKA KUYAFANYA." Akakata simu...

"KUWA MAKINI NA MAAMUZI UNAYOTAKA KUYAFANYA." Akakata simu...

Nilikaa hapo bila hofu kabisa mbaya Zaidi nikisema nawahi nyumbani, wananiuliza mmoja baada ya mungine:

"Unamnyonyesha nani? Mume au watoto? Kwani we mtumwa au mke?" Dada Chief kaniuliza.

Kabla sijajibu, tiyari dada Zungu kadakia mpira juu kwa juu: " Unayo haki ya kuwa na jamaa zako, kama alivo kuwa nayo yeye! Wacha kujitia wasiwasi bure! Hawatabiriki hao! Wingu laweza kutanda ukajutia ujana wako, ukiwa tiyari chini ya mvua ya mawe!

Mwana umleavo, ndivo akuavo. Muunde unavo mtaka kuliko kumuabudu. Akivimba bichwa utajuta kuzaliwa! Mzoeze! Kwani si tuna waume kama wewe, labda huyu tausi huru kabisa!?"

"Yaani huwa natamani nisingeingia kwenye hii ndoa ndoano isiyo na kikomo hadi kifo! Mipombe na mwanaume wangu... Mwanaume?"

"Naanza tena: Mipombe ya mvulana pooza wangu inanikosesha raha mujuwe! Nilimkubali sana! Mtu poa, mambo yake yote sikuwa na la kughairi hata moja!

Pambe muhandisi alivo huyu aisee? Nilipenda nikapendeka nikapendeza nikapindukia hadi nikaifanya kufuru kwa paradiso niliyo tunukiwa, hasa pale nilipo mzaliya hili dume langu!

Hapo Zungu alikuwa anaiangalia picha kwenye simu yake, taswira ya familia ikiwa inaonekana. Hakika walipendeza sana kwenye hiyo picha wakiwa na mtoto wao.

"Vile alivo ingia kwenye ulevi usio na... "

Zungu hapo kakata kwa kupatwa na uchungu na hasira, uso na mikono yake hadi vinageuka kutokana na damu inavo mtembea, maskiyo mekundu mno!

Kukawa ukimya kwani hata sisi tumeguswa na simanzi za shost wetu... kwenye kiyoo cha simu hapo alikuwa tiyari katelezesha ndipo kukaja sasa sura ya chapombe kabisa hadi anatisha!

Mara anabadili upepo: " Lakini mwache anywe mwana kuzinywa, akafilie mbali huko huko wala sijali tena! Gauni jeusi nipo tayari kulivaa hata kesho! Hapa tumekuja kufurahi na wala siyo msibani! Sikubali mpumbavu atuharibie siku kwa kumtaja na bado hajafa tumuomboleze!"

"Dogo umenikosea lakini eti unawahi nyumbani? We acha tuu!"

"Lakini..." hapo akiwa ameelekeza kidole cha shahada juu, kichwa kapindisha.
" Kwenye uzito, kuna na wepesi pia. Subiri kwanza nimuagizie na zingine kwani tulipo fikia mimi na yeye, akithubutu kutafuta usaidizi wa kuiacha pombe namuua!"

Kweli alipiga sim kwenye duka la pombe na kumuagizia teja wake mseto kama anavo ujuwa Zungu, mimi hiyo lugha ya majina ya vichupa hivyo wala sijui...

Akacheka na sote tukaambukia kicheko hapo kwani tunakipata vema anacho maanisha:

Huyu dada Zungu, damu mbili; baba ni ndugu yetu tena mchungaji na hata mama mzungu mchungaji. Jamii ya dada ina mshikamano na kanisa lakini Zungu ni zungu mno! Kwao mtonyo ni kama wote, istoshi kaolewa na mrithi wa ghorofa hiloo... limefurika maofisi.

Kwake tunafarijika kwa mambo mengi hata baadhi ya mitoko muasisi yeye. Halafu msemaji mno; utadhani yeye mwalimu wa wanao toa vibonzo vya kuchekesha lakini fikirishi! Hana mishe ninayo iona hata moja. Ya nini? Burudani kwenda mbele!

Aliendelea;

"Au unayakumbuka mapigo ya mbwa koko? Kaa ule raha hapa bibie, maisha ndo haya haya."

"Halafu sikuficheni, mimi ndoa za kiislamu nazielewa sana: Hamna mambo ya kugandana endapo mambo hayaendi! Kitambo nshaa mtoka ..."Ahmada umelewaaaaa, Ahmada umelewaaa"...

Aliibuka kwa wimbo na uno la kufa chapombe! Akaendelea Zungu kutoa burudani:

"Wasemaje Tausi wangu?... mwenye mwendo wa maringo, hatua za hisabu... Ah mistari ya kibao cha wahenga imenitoka! Toshekeni na hayo... mwenye shingo la upangaaa! Hahhaaa! Kumbe na shingo nimelikumbuka asee!"

Akaendelea kwa umakini baada ya kukata uimbaji, na kupiga funda kadhaa za kinywaji chake:

"Naomba niumbie gauni jeusi nzuuri pamoja na kofia ya shungi la uso bomba! Usinifanyii ma bui bui yenu huko tafadhali, sijasema nataka kuwa muisilamu, bali naandaa siku ya uhuru wa taifa langu! Bendera na wimbo wa taifa nafanya mwenyewe!

Nataka niwe na taswira yangu mapema nisiji kukurupuka hiyo siku isiyo juwa mtu. Siyo masiala wee anza kazi, na tunamaliza kabisa nikiridhia na naiweka kabatini. Hata yeye nitamuonesha atowe maoni yake, si siku yake pia!? Hahaha!

Dada anae julikana kuwa ni Tausi mwenye nyodo za ajabu, ninazo taarifa zake nitakazo zieleza huko mbele na vile tunahusiana. Kwa ufupi ni mdada mzuri sana na hata aliwahi shindia taji la miondoko, pia aliingia kwenye tasnia ya tamthilia kwa kipindi kifupi tuu, akaiacha alipo jifunguwa dike mbili na kaka yao kwa mkupuo mmoja.

Na vile vile, kwa sasa ni fundi charahani mzuri na anajituma ipasavo kwenye warsha yake na ni duka la nguo, iliyo sheheni vijana chapa kazi na maonyesho ya nguo aina mbali mbali za tamaduni nyingi tuu. Asicho kijuwa, wewe mpe lisaa, ataufanya utafiti na kukuletea michoro ukose cha kuchagua. Lakini sasa ni msiri mno, hakuna anae mjuwa mpenzi wake au anatoka na yupi pindi tupo kwenye raha zetu. A Very Private Lady...

Nilikaa kweli hadi saaa mbili, nikiwa hoi, kijana akawa ameanza kunipa pombe ninywe, nilishindwa kwa kweli nikaanza kunywa divai tuu ambazo nazo sikuwa nikitumia zamani, siku yangu hiyo alinikazania sana anipe zawadi ya mkon'goto; sijaona rangi ya pesa yake. Nampa.

Dada Chief rafiki yangu akawa anaaga na kusema: "Hebu dogo tunaenda zetu! Mwenzako naona ataka umuazime kino, kwani anazo mbegu za kutwanga! Usimuachi na njaa!"

Wakaanguwa kicheko, wakainuka na kuondoka. Punde tuu, tulichukuwa chumba akanichemsha haraka, wala sijahisi uchungu japo hata yeye katika hilo sakata la chap chap kanikumbusha ninacho eshi na mume wangu huu muda wote. Cha ajabu nilipata raha sana ya penzi lake kuliko la mume wangu. Tulipo maliza, tukajitayarisha kila mtu arudi kwenye maisha yake.

Nilipofika nyumbani, namuona jamaa yake, jamaa wa karibu yetu sote, akiwa mwenye kuondoka hapo mbele ya nyumba. Tukasalimiana, ila kama namuona mwenye haraka hataki kukawia hapo, lakini nikamzuia. Alikubali, ila kama anayo wasiwasi ya kuondoka tuu.

Akatoka kwenye gari yake, akinisogelea. Nilitaka nifunguwe mlango wa gari tukutane. Akaufunga na kuushikilia, kashusha kichwa: "Mume wako ana hasira na wewe sana! Umebadilika! Kulikoni? Lakini sijataka unijibu kwani nina haraka ya kurudi nyumbani, tusiharibikiwe sote! Yule pale juu kwenye dirisha anakusubiri! Umeona anavyokuangalia yule kule juu?"

Hakika, nilipo ingia katika huo mzunguuko batili, roho yangu ilijawa na ugumu hata sioni wala sijali ninavyo bomoa ngome muhim za udugu, ngome za jamii; kama nilifanikiwa kueshi ugenini, sababu ni huyu kaka; Nilipo toka kwetu, nilifikia kwake akanipokea kama ndugu na wala hatujawahi fahamiana, yeye alinipokea kwa niaba ya mjomba wangu alie owa shangazi yake.

Pamoja na mkewe, waliniwea ndugu na wakanifariji kwa hali zote hadi nakutana na jamaa yake, mume wangu, na wakanioza wao kwa upendo nisiyo weza kusahau. Alipo ondoka kweli nilihisi aibu na huzuni, ila hapo hapo nikafuta akilini na kujiambia maneno ya ujasiri kumbe mpumbavu nimekuwa!!

Halafu niwaambie jambo: inafikia muda mtu kuwa katika kipindi cha utata na usijitambui. Ndivo ilivo kuwa hali yangu. Muda huo, ilitokea nikaurudilia wimbo wa Whitney Houston, Try it On My Own ; mashairi ya wimbo huu hayajawa mashairi tena kwangu, bali ni maandiko matakatifu hadi nahisi sasa huyu mdada bila shaka alikuwa nabii na si kitu kingine, na ujumbe huu ni wa mtu kama mimi, kutoka kwa Baba alie mbinguni! Jina lake lihimidiwe, Amen!! Na mikono naweka juu.

Hii ya "Mwanamke Huru" nitaichanganua zaidi, turudi kwenye tukio...

Nikaangalia sasa dirisha, ndipo nikamuona mume wangu. Alipoona nimemuona, akarudi nyuma na kuachia pazia.

Naingia sebuleni tuu, nae yu ashuka ngazi, akanifuata akanikumbatia kwa mashamsham na kunibusu, akisema: "Nikupokee mkoba? Kisha twende husuni ya chakula, kuna zawadi yako!" Nikazuga mapenzi ili nifuate upepo, nikampokeza mkoba halafu nikamfuata...

Nilipo fika sehem hiyo, nikakuta kuna keki! Na papo hapo akaanza kuniimbia wimbo wa B-Day, huku akitoa kwanza kitambaa kilicho funikia ndoo ya Champagne na bilauri mbili, halafu kachukuwa sahani, uma na kisu ili nikisha puliza mshumaa wa ishara ya umri wangu, tupasue keki! "Watoto mbona siwaoni?" Nikauliza. Akanijulisha aliko wapeleka kwa dhamira ya kuwa tuwe peke yetu hiyo siku.

Hii ndiyo mara ya kwanza siku yangu hiyo tupo mimi na yeye! Basi nikajikausha kama sio mie nikafurahi ili awe na Amani, nikashangaa! Mbona hasira nilizoambiwa anazo sizioni tena? Nikaikosa raha ila nikijiambia moyoni, niendelee na tamthilia ya siku hiyo, katika mazingira kwa upande wangu, tiyari ni hatarishi!

Tukakata keki tukala! Inanikaba! Hajachukuwa hata sekunde kumi, kaelekea kwenye ngazi haraka na kupanda hadi kwenye husuni ndogo ya kuelekea chumbani, mahala palipo sofa, maktaba na meza ndogo tuu, mahala pa kahawa yake asubuhi, ndipo anapo weka vitu anavyotoa mifukoni pamoja na funguo za gari, nikamfuata... Ile nafika juu tuu, akaniambia: " Nina zawadi yako ingine! Sasa njoo tukae hapa tuongee kidogo, nikupatie zawadi!" Nikamwambia: "Nisubiri basi nakuja!"

Mlango wa chumba ulikutwa tuu wazi, nikaingia na kuelekea moja kwa moja hadi chooni. Nikachukua simu nikamuandikia ujumbe kijana asinipigie maana nimefika nyumbani. Hajajibu chochote kile, basi nikaweka usafi na manukato, nikabadili nguo na kuvalia za kulalia na nikatoka kumfuata mume wangu.

"Mbona hujaniaga ulipoenda na sio kawaida yako??? Mbona hujaniambia wakati huwa unaaga japo kwa ujumbe wa simu?" Akaniuliza...

Moyo ukaenda mbio ila nikauchuna, nikamwambia kuwa mgonjwa alizidiwa, rafiki yangu akachanganyikiwa na kuniomba nimuwahishe hospitali, kwani usafiri jumuia ungesumbua kidogo...

"KUWA MAKINI NA HAYO UNAYOTAKA KUYAFANYA!"

Maneno yake tena, yakanigonga kwenye bongo kama nyundo vile! Hapo nilikutwa tiyari nimejawa na uoga, wasiwasi na kufikiria tuu jambo baya huyu mume wangu kanihifadhia!

Akanifuata: "Nakupenda sana! Jitahidi uniheshimu, usiniumize! Na endapo kuna mapungufu yoyote, naomba niweke wazi ili nirekebishe!"

Wala sioni uso wa hatari, kama tabasamu ipo, kama upole wa matamshi, vile vile ninavo mzoea. Hakika ukiwa mkosa, huezi kuwa na amani! Ndani mwangu nachemka kwa uoga na fikira zikipishana; yeye kamili yupo, ila amsha popo yake haipo: 1. Utani...

"Mungu niokowe!" Naomba moyoni, huku nikijitahidi kuwa sawa halafu nikasema:

"Sawa mpenzi! Mbona nakujali tuu sana? Hujakosa lolote na hakuna kama wewe kwangu mpenzi!" Nikajibu...

Akaniambia: "Chukuwa zawadi yako pale kwenye maktaba!" Nikajielekeza hapo, nikaikuta simu nzuri ya HTC ONE rangi ya dhahabu, na vikomo viwili vya dhahabu. Simu hiyo ni moja niliyo ifukuzia miezi kadhaa iliyo pita! Niliruka sana sana nikamkumbatia, akafanya kama kafurahi, halafu akaanza kuipandisha nguo yangu(mtindo ule ule wa purukushani nak...) pale kwenye hall!

Sikujivunga, nikasalim amri! Nikiwa napopolewa kisawasawa, akili yangu tiyari imesha hamia kwenye vile vikomo; Hili ni jambo ambalo sijawahi muambia, sijamuomba wala kumuonesha lakini tiyari hajakosea na hizi hapa bangili mkononi, nimezivaa tena mbili!! Hayo yote yalikuwa kwenye simu: maongezi yangu na mashosti wangu, humo kukiwemo na picha ya bangili hilo!!

Nilihisi aibu na kukiona kifo changu tuu, baada ya kuyapata hayo mapigo takatifu, huku nikishindwa hata ku igiza ushirikiano kwenye tendo: mkono mmoja umevalia bangili kila zikigongana kama zinaongea, zinanijuza nimeshikwa, nimeumbuka, mwizi, msaliti, muongo, mzinzi na mwizi wa fadhila!! Afadhali utukanwe na mungine, isiwe ni roho yako mwenyewe ikitoa ushuhuda wa maovu yako yasiyo na sababu ispokuwa ubinafsi!!

Mimi nikiwa katika hiyo hali na maumivu ya mfano misumari ndani ya bongo yangu, mara nasikia akipunguza kasi ya mapigo yake; kuna kitu alihisi:
2 Makombo...

Akaniangalia usoni! Nalihisi puto kama linapungua pungua na kuzimia ndani mwangu, yaani kaishia njiapanda! Akanitazama usoni akaniuliza, kwa tabasamu vile vile: " Unaburudika?" Nikajibu "Ndiyo" kwa sauti ya kuigiza kunogewa, na kusisitiza "Mpenzi twanga havijanoga!!"

"Hata maneno niliyo yaambiwa na Chief wangu yameniathiri kwa kiasi hiki?" Kule kwa kijana nilitabasamu kwa kulisikiya neno "Kino", lakini baada ya maneno kunitoka pasina utashi, nilitaharaki mno!

Hapo mwanzoni, kila anapo shindilia, vile nilikuwa sina hamu ya lolote, nilihisi maumivu kana mwamba mwichi unazifikiya figo sasa! Licha ya maumivu ya aina zote, akili haiachi kufanya kazi yake ya kunisulubu pia; Najisemeza mwenyewe na roho yangu, huku nikihisi aibu ya kufikiri labda mume wangu ananiona akilini sasa! Tena hapo pote, sijaskiya taaarifa yoyote ya vidoti, vitone nak...! Hali hii inanizidishia simanzi, yaani kuna nguvu nahisi zimetoweka: * 3 LULU hazitoi ushirikiano...*

Akasema: "Mimi naburudika zaidi, asante mpenzi!" Ila akili yangu inaniambia: "Umeyataka mwenyewe, sasa uyakubali yatakayo kutokea muda si mrefu!"

Baada ya maneno yangu ya mkosa, na siyafu zangu zikinin'gata huko kwa bibi, jamaa akamchomoa nyoka wake alie kufa kabisa! Yaani niliumia, kuliko kushukuru nimepumzishwa, nikashindwa kujikaza nikaanza kumwaga machozi...

Nikamuuliza: "Nini mbaya mpenzi?" Akajibu kuwa hamna lolote. Lakini hilo jibu lilikuja na ubaridi mwingi mno! Hapo hata yeye uhalisia ukamjaa, tamthilia ikakata! Nikataka nianze danadana na joka, hata tuende duru kumi za mieleka ilimradi achoke asinifanyii nisicho kijua na tiyari kimenisibu. Huku machozi yakiendelea kunitoka kutokana na yanayo pita kichwani mwangu na yaliyo mubashara papo hapo kwenye husuni, nikajiskia tuu natamka "Itasimama tuu mpenzi!"

Natamka lakini maneno yanakuja na kigugumizi, hata kamasi limeanza kunishuka vile vile! Lakini hamna lolote! Wapi kabisa!! Dalili sifuri! Samaki kafa wala hana mapigo ya moyo tena!!

Baada ya jitihada hizo, nilistuka akiniinuwa kichwa na kuniambia:

"Utanichubua swahiba, usifanye hivyo! Hapo basi tena! Siku yako ya kuzaliwa na iwe ya heri kabisa! Furaha na iwe kwako mzishi mwangu! Hii siku tuiandike kwenye matukio ya furaha kuu katika uhai wetu kama waanandoa!"

Akanyanyuka kwa kicheko na kushuka ukumbini vile vile alivo umbwa! Nikawa sasa na khofu, sijui nimfuate, mara akili inanionesha kifo, sijui niruke dirishani, vyote hivyo, kifo ndiyo mwisho! Halafu wanangu? Kijana wangu? Nikaona isiwi kesi, acha niingie nijifungie chumbani tuu, hamna namna au suluhu nyingine! Kama sijauliwa, kesho naondoka! Siwezi!

Sikupata usingizi, akili yangu inatembea kama umeme ikiyapitia maisha yangu ya muda huo mfupi na mahala nimefikia! Nilistuka , na kuingalia simu yangu hapo kitandani! Nikashangaa saa tisa ya usiku hiyo! Nasimama niende bafuni, huku nikiendelea kuskilizia na kufikiri nini mume wangu atanitenda! Tukio gani linalo nisubiri mie? Nitaliona kweli juwa la leo?

Nilipo kuwa bafuni, akili ikaniambia kuwa sina njia nyingine ya kutokea ispokuwa kushuka ngazi ili nitoke nje, kumbe mlango nitaufunguwa tuu! Kama mbwai, iwe mbwai! Na kadhalika, mlango huu siyo wa chuma au wa vault ya benki, angetaka, angeusukuma na usingemzuia. Mbona misuli anayo? Sina shaka, kama hajafanya lolote ni vile ananipenda, huenda asinidhuru.

Basi nikakaza roho, nikaufungua mlango. Vile alivo shuka ukumbini, hajarudi kwenye husuni ya tukio kwa sababu hata kaptura hajaichukuwa tuache nguo nyingine ile! Nikaja kumchungulia namuona ukumbini chini amekaa anaangalia movie, vile vile mtupu!

Nikashuka hadi chini, nikamuuliza: " Unashida gani usiku huu? Unatakiwa ulale mpenzi, ili kesho usishindi vibaya kazini! Tafadhali iache hiyo TV, uje tulale!" Hapo nimerudi ku igiza mke mwenye huruma, lakini roho yangu inanisuta na kuniambia niache upuuzi kwa mtu alie jawa na simanzi, na huenda akaniraruwa!

Akasema kwa sauti makini tena nzito: " Tafadhali niache, sina usingizi!"

Nilipo angalia pembeni yake, yuko na simu yangu! Moyo ukafanya paaaaaaaaaaaaaaa!! Yaani nilipo ingia bafuni, yeye alipanda na kuchuwa funguo yake ambayo hata sijakumbuka nikaingia nayo chumbani, kaufungua mlango wa chumba, kaichukuwa simu na akaufunga tena na kurudi ukumbini!

Nikamwambia: "Mbona umekaa na simu yangu?" Akasema: "SINA MIPAKA JUU YA SIMU YAKO MKE WANGU" Hapo alikuwa na sura ya kazi! Nikataka kuichukuwa kwa haraka, kaniwahi na kuishikilia. Halafu akasema: "Usipendi kutumia nguvu, sana utaumia! Chukuwa simu hii hapa nenda kalale!" Nikakuta anakunywa mvinyo, alikuwa anaangalia CD moja ambayo nilitamani kila mtu angekuwa nayo inaitwa FIND A SECRET, nzuri sana sana sana! Hii niliinunuwa mimi wakati alipokuwa East Scotland kikazi, niitumie kama kifaa cha kujifunza kumpeleleza pale atakapo kuwa ni mwenye kulisaliti penzi letu, nimgunduwe mapema.

Ila kwa muda huo, kwangu ni upanga shingoni ambao niliuleta kwa mkono wangu mwenyewe, kisa wivu! "Kapataje hii CD, ambayo ni siri yangu, na haijawa hapa nyumbani bali kwenye kabati ya kazini kwangu, oficini mwangu? Au hata yeye kainunuwa?" Naongea na roho yangu mwenyewe, nikijiuliza masuali pasina kuyapata majibu rasmi, bali ya kukisia kisia tuu...

Nikasema: "Sawa. Uliichukuwa yanini, kwani si tiyari unajuwa yaliyomo?" Akasema: "Nilipize basi nenda na yakwangu!" Sikumjibu nikarudi juu chumbani, yaani nilishindwa kuendelea udwanzi; nijitoe fahamu nilete bukta nimuambie basi avae... roho inaniambia "unataka makuu wewe kicheche! Wacha kuyashika masharubu ya simba alie jeruhiwa!" Nikaendelea hadi kitandani, nikaanza kupekua jumbe ! Kumbe kijana karejesha majibu analinisifia umbo langu na Sana tulipo fanya mapenzi, kuwa nimemtiya kiu sasa anasubiri nirudi kummalizia hamu yake roho itulie!

Hatimae hata ile electronic diary kijana alinipa pindi nilipo kuwa naenda kwenye rusha roho zetu. Na yenyewe ilikuwemo vitu vya ajabu na mimi wala sijaipitia ili nione ni vitu gani. Lakini kuna picha inayo nisuta kwenye machine hiyo, kutokana na maneno yaliyo andikwa chini siku nimeipewa.

Hii ilikuwa miongoni mwa ushahidi aliyo kuwa nao! Siku ananiacha kanisani aliionyesha na akasema anazo jumbe, picha na video vyote maana alienda kuvinakili na kuvichapisha kwa yule jamaa yetu, yeye hufanya kazi kituo cha Police!

Sijarudi kuufunga mlango wa chumba. Nilipitiwa na usingizi nikalala. Ilipo fika asubuhi, nikaamka na kufanya ratiba zangu kamili ili nielekee kazini! Lakini mandhari ya bafuni ikanionesha kuwa tiyari jamaa alipitia kwa usafi na hayupo, watoto kawaandaa basi la shuleni lishaa wapitia na sikujua ilikuwa muda gani yeye kaondoka! Hata miliyo ya gari sijaiskiya!

Nilipo fika kazini kwanza nimechelewa, haraka nimesha wahi kabatini kuviangalia vitu vyangu... mume wangu alivipitia lakini sijui kwa mtindo gani. Nikauchuna. Maji yashaa mwagika hakuna janja janja hapa! Hali ilianza kubadilika hapo, simuelewi kabisa mwenzangu, anauchuna tuu, haniulizi chochote.

"Muunde umtakavo"... na maongezi yote niliyo yaskiya kwa mashosti nayakariri akilini, na toka hiyo siku yangu ya kuzaliwa nilianza kuyafanyia kazi japo nilinaswa vikali. Vile mume alivo nichomolea nyaya chumbani, na kila akitaka kusema namshushua au nampa majibu makali, anatulia. Hapo najaaribu kuweka ngome asiongelei "LULU ZAKE", kwani hata mimi zinanifikirisha na bado sijapata mwanga wa kwa nini iwe hivo.

Nikaendelea na kijana yule, huku nyumbani basi tuu, hata ile adhabu ya kuraruliwa ilikata kabisa. Nikaizindua tena lakini kwa tabu sana, kwa sera kutoka kwa ze dadaz, kwa sababu sijawa tayari kuachana nae; hapo inatakiwa niuvunje ukuta mzito...

"Huyu mwanaume si mchepukaji, basi ugwadu umemfinya. Kijana nae, amekunata mno, kwa kuwa anakutaka hata sasa hivi. Tatizo ni pale utakuwa haupo nae kutokana na kibaruwa kwa mume. Nenda kacheze nao wote kwa viwango na umahiri hadi siku utachukuwa maamuzi sahihi"... naiskiya sauti hiyo akilini mwangu.

Walielekea wote vizuri hatimae. Ila usioni hivo, mume wangu alinisumbuwa sana kupita kiasi; kila nitakapo panga ramani ya kuingia ndani ya himaya yake ili nimshawishi afunguke, ananikwamisha halafu narudi kujipanga upya.

Siku nilifaulu, nilikumbuka kitu ambacho hakijahitaji sera au michakato niliyo kuwa nikiitoa kwa dada zangu huo muda wote. Jambo moja pekee... nguvu zangu: LULU.

Nilivizia muda wake wa kwenda bafuni, nikaingia nae na kuchukuwa bomba la maji, nikaanza kujiosha, yeye amesha anza kukojoa. Alipo niona najiosha, sijui alifikiria nini; alipatwa na hasira mno! Yaani alinguruma akiwa anayasaga meno, utadhani kuna mtu amemtumbua kwa kisu!!

Nilipo maliza kujiosha, nikatamka tuu: "Lulu zako zimerudi kuniwasha. Narudi kwa daktari leo!"
 
Khabarini wanajamvi.

Natumai mpo shuari.

Ifuatayo ni sehemu ndogo ya safari yangu ya maisha. Huwa nafikiria sana nijaaribu kuchangia walau kidogo katika kuelimishana na kupeana uzoefu kwenye mambo kadha wa kadha ya uhai wa kila siku.

Nonetheless, it is very hard to open up and disclose some really commpelling stuff about one's life.

Pamoja na nia njema mtu aweza kuwa nayo, lakini ni vigumu mno kufunguka pasina kuziamsha hisia na mara nyingi unayaamsha yaliyo lala na pia, unayazindua mengi uliyo dhani yalitoeka.

Kama nilivo tanguliza, hili jambo si jepesi. Lakini nishukuru mno wadau kadhaa waliyo nitia nguvu kwa kuyatoa yaliyo deep down their souls kwa kutuelimisha hata kama yaliwaachia majeraha daima. Uzito mungine ni namna ya kuyafikisha; niutumie mfumo upi? Mchakato mzima nauanzaje?

Kuna nukta kadhaa zinazo nihusu sintoweka kwenye huu uzi. Imani yangu ni kwamba baadhi zipo tiyari humu JF kwenye ID hii hii ya LionsGate na siyo mengi zaidi na utakapo taka kuwa na taswira yangu, nitakupa nukta kadhaa ili ujazie uelewa wako: ukiupitia uandishi wangu waweza jifunza jambo I hope.

My part of the story takes place in a segment of the late 80's to date.

Kwa wewe msomaji; utakapo liona jambo lisilo jikita katika huo muda, basi elewa nimelifanya kusudi. Mfano technology ya huo wakati, yaani between late 80's and 2000, music and lively habits of the era, comparing to what we know today.

Dhamira kubwa: Jielewe katika kila hatua ya uhai wako. Unalo lifanya leo, tambua kuwa hiyo ni akiba yako ya yatakayo kuathiri kesho kwa namna moja au nyingine; mbuzi hula sawa na urefu wa kamba yake.

Majina ya watu au ya miji, ni ubunifu wala hayana uhusiano na hii story.

Iliyopo hapo juu, ni simulizi iliyomo tukio linalo shabihiana mno na hili nitakalo zungumzia. Huyo ni mwanamke anae ongea. Mimi ambae ni character katika huo mkasa, nitarudi baadae kuwaletea ufafanuzi zaidi ili kila kitu kieleweke kadri tunavo endelea...

Endapo itakutokea ukawa na swali lolote, tafahdali uliza, nitakujibu. Na nisipo taka kujibu nitakujuza, na ikiwa jibu lipo katika sehemu zingine za simulizi basi hapo pia nitakuomba uifanye subira.

After Thanking the Almighty God...

This is in memory of my late beloved young sister who's been with us through the whole nine yards. Thank You!!

Many thanks to my dear Brother-In-Law, Monsieur le "Capitaine de Monte Negro," You are a Real French Black Knight and you deserve to have a Queen as a wife, my Sister!

I Can't be thankful enough to my Elder Sister Queen Cleopatra, the Icon of the family. I wonder why nobody thought about calling you 'Uhuru' the very same day you were born!! The name matches best with your character, girl!!

Many thanks to My Dear Rare Ex, and Up until Now My... and My... and so many My's of You for me, you are a Gem!

Last but not least, wholehearted thanks to my offsprings...

SEHEMU YA KWANZA




Niliolewa na mwanaume mpole sana miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifuatilia hata sikumoja, hakuniuliza nini wala nini, alinipa uhuru wa kutosha, nikiaga naenda mahali anasema nenda, hata kama narudi saa nane usiku, atanifuata tu maana hakuwa akipenda niendeshe gari usiku hata sikumoja, nikirudi na taxi, ananikemea sana...

Gari, mafuta niliwekewa kila safari, mahitaji yangu yote niliwekewa na k... Alinikuta sawa toka college na hata kazi sikuwa nayo, akanitafutia kazi tuu baada ya ndoa, nikapata, na nikaanza.

Kuna kipindi akawa ananiambia niache gari kwani hujiskia fakhari mno kutembea na mimi kwenye gari, kifupi alinijali sana, sana sana. Sasa kule kujali yake ndio ninayo ikumbuka hadi leo hii najutiya! Kina mama, dada zangu, wanandoa, kama una mume anae kujali, mshikilie vizuri sana.


Si kwamba alikuwa hajui kuikuna nazi! Fundi haswa na kila mara mbunifu! Sijawahi kumfumania hata mara moja, na kadhalika, alikuwa muwazi sana kwangu! Kazini kwao walinijua, alipenda kunitambulisha kwa kila mtu. Kuna kipindi alienda East Scotland kikazi, ikawa kila mwezi au zaidi, huniruhusu nauli kwenye bank account naenda, siku zingine anakuja yeye hadi aliporudishwa mahala tulipo kuwa.

Huo ni upendo usiyo na kifani. Kwa wengi mno, wangeipata walau robo ya utulivu niliyo kuwa nao, wangeinyanyuwa milima kwa mkono mmoja, kwani angeweza kubadili na kuzikidhi haja zake huko huko tena kwa kujinafasi.

Nilichofaidi kwake tuu, ni kwamba nilikwenda nae kwetu tukiwa likizo Africa, akapaona palivyo, akasema atanisaidia kupaboresha; aliivunja nyumba yetu na kumjengea mama yangu kijumba kidogo cha kumtosha mwenyewe, akamuwekea na bajeti ya kila mwaka kwa kuboresha mashamba na kilimo, hadi leo namkumbuka! Kwao yeye kazaliwa mwana wa pekee, mama yake alifariki wakati amemzaa tuu. Na akasema kuwa anamlea mama yangu kama mama yake, hana dada wala kaka wa kuzaliwa tumbo moja, wako wa ndugu wengine kwa kuwa wazazi wake walikuwa na familia kubwa tuu...

NATHIBITISHA KWA KINYWA CHANGU, KIRAFIKI ULICHO NACHO CHAWEZA KUKUBADILI MSIMAMO NA KUSHUSHA AU KUZIDISHA HESHIMA YAKO! KUWA MAKINI NA LINDA UTU WAKO.

Nikiwa na rafiki zangu tuliandaa mtoko kwenda Braxtown kutembea lakini tukapanga tusiwaambie waume zetu ukweli, tudanganye maana wengi wasingekubali. Tukapanga safari, tukaongopa kwamba ni safari za kikazi.

Mume wangu hakuwa akinifuatilia kazini kabisa. Kajiajiri, kwa hiyo anaweza kuondoka muda wowote bila swali, basi akasema nitakufuata, sintowasumbua nitakaa hotelini tuu, wewe ukimaliza kikao chenu utanikuta chumbani.

Nakumbuka siku hiyo nilichukia mno yaani sana! Pale nilimuonesha nilichukia nikamwambia hapana tunalala wawili wawili, akasema basi sawa nenda...

Alinipa hela ya kutosha nikaenda na rafiki zangu tulikuwa kundi ya watu wanne tuu, watatu tumeolewa ila mmoja bado, basi kufika Braxtown, tulijipa burudani sana takriban siku tatu.

Nikiwa kule, nikakutana na kijana mmoja ambae alinitamani sana. Basi alikuwa kaja na marafiki zake wengine nafikiri nao waliijiya hiyo burudani. Sasa kila jioni, tukiingia ukumbi wa chakula, tunakutana nae, akaanza kunitongoza nikagoma! Hapo akamfuata mmoja miongoni mwa hao mafiki zangu akaomba namba akapewa. Nashangaa usiku napigiwa simu, nikakataa.

Rafiki zangu walinisisitiza sana nimkubali, kijana mzuri, katimiza vigezo kweli! Nikasema hapana, ninae mume wangu, simtaki huyu! Siku naondoka akaja na electronic diary moja nzuri sana kwenye gari yetu, akaniambia:

"Unaondoka?"
Nikasema: "ndio."
"Unataka nini?"

Kwa sauti ya uthubutu nikamuuliza.

"Mrembo, tafadhali usiwi mkakamavu namna hii!" Kwa tabasamu na sauti tulivu mno! Akanipa diary yake niichukue kama kumbukumbu, nikaikataa!

Nilipofika mjini, mume wangu alinifuata, akanipokea akaniambia: "Mke wangu, toka uende huko, nimekuwa mpweke sana!"

Wakati wote huo, sikujua kama alipiga simu kazini kudadisi zaidi... kumbe alilipata jibu kinyume na nilicho mwambia hapo awali kama sababu na madhumuni ya safari hiyo; Kazini kwangu, nimeumwa!

Japo ukweli aliujua, hajanipigia hata sim nikiwa Braxtown, nashangaa mwanaume huyu hakuniuliza chochote yu mkimya tuu, ila niliona amebadilika kwa kuwa tulipokuwa kwenye gari, alikuwa ananiangalia sana! Kila nikifanya kama kumtazama na mimi, anageuka na kuangalia pembeni...


Nikamuuliza: "Vipi?"
Akasema: "Nimekukumbuka sana tuu mke wangu."

Tukafika nyumbani, nikaoga, nilikuwa nimechoka. Usiku ulipo wadia, mume akaniomba mambo, nikawa nimechoka, nikamkatalia sikuikidhi haja yake. Hajajibu wala kusema chochote cha kuhoji, akasema:

"Pole mama", akageuka na kulala na mimi nikalala. Asubuhi akaniambia tena: "Naomba mke wangu! Sina hali!" Nikamwambia nachelewa kazini, nitampa jioni, akasema sawa. Tukaondoka, kila mtu na gari yake.

Nilipofika kazini, HR hajaniambia chochote kama aliwasiliana na mume wangu, aliniuliza tu, "umepona?" Nikasema ndio akasema karibu tena, basi kazi ikaendelea...

Baada ya siku nne tu akaja yule kaka wa Braxtown, hadi kwangu na alielekezwa na mmoja wa hao ma best zangu! Alipofika nilishangaa nikamuuliza nini kimemleta pale, akasema tuongee kwenye gari. Basi nikaingia, ili nikazie na nikatishe misuguano kabisa!

Jamani ni kama nilirogwa naweza sema kweli tena, kama hamtaamini basi, ila naamini ALINIROGA HUYU KAKA, maana alivyokuwa akiongea na alivo jiweka njema, kwa suruwali nyepesi yenye kudhihirisha uume wake ulivo fura kwa hasira, hisia zikanijaa na nikaanza kulowa! Na alizidi kunipandishia mzuka kupita kiasi, maneno yakiniingia bila ukingo wowote kama awali, sasa nikaanza kuona uzuri wake, nikaanza kumshabihisha na mume wangu, naona huyu kijana kweli amemzidi kila kitu:

Mwanaume wangu; anayo madini na nondo zake ambazo kila muda huwa naipata tabu kwa wazo la kuibiwa mume, pale tuu mwanamke akimsogelea. Kama nilivo sema mwanzo, sijawahi kumfumania kila nikimpeleleza kutokana na wasiwasi ya namna anavo wavutia wanawake.

Nilikuwa na mazoea mara kwa mara ya kumuangalia, anapokuwa amelala. Ninapo kata na siyo kwamba nimechoka, lazima nimshukuru Bwana kwa kunipa daraja ya kuwa na kiumbe wa thamani pamoja na mapungufu niliyo kuwa nayo.

Kijana: Pale alipo nitongoza nikagoma, na hata pale alipo kuja kuniaga nikamuonesha msimamo wa kujiamini kwa majibu mkato ili niweke uzio upande wangu, sababu ni vile alikuwa na mvuto, yaani mwonekano wa kushawishi usiyo wa kawaida: mrefu. Umbo lililo tukuka.

Huwa najiuliza: Wanawake tunataka nini?

Mimi nilipumbazika pale niliiondowa picha ya mwanaume wangu akilini, nikaweka ya huyu kijana; Hilo tuu, busara haijazingatiwa na yafuatayo yakanivaa:

Hamu japo imenikaba, ilibidi nikajishauwa kidogo, akasema tuagane. Gari yake ilikuwa ya viyoo vya giza kweli. Hata mtu achungulie kwa nje, atajiona yeye ila ndani hatoona kitu. Akanivuta na kunipa busu ndefuuu! Aisee, nilihisi kama nimepigwa na umeme, nikatetemeka, moyo ukaenda mbio sana, kijasho kikanitoka!

Hapo tena sikuweza tena kuzuia lolote! Nimedata kwa ufupi! Akapitisha mikono yake kwenye mapaja yangu, kapandisha hadi kwenye tuta la shari... kisha nae akaanza kulifinya finya! Niliendelea kulowa, isingekuwa maeneo ya kazi, mkate angeun'gata siku ile ile bila usumbufu na wala nisingeweza kukataa!

Nae akawa yu tayari sana akaniomba nimsikilizie homa yake ... ni kweli nilipomshika shika tuu kitaalamu, homa ikashuka, nikamfuta akaondoka! Tokea pale nilipo ukomalia mtandao wake, nilianza kupagawa kupita maelezo! Taswira hiyo ikajichora pasina kufutika kwenye ubongo wangu.

KUMBUKENI CHA KWANZA MUME WANGU KUGUNDUA, NI PALE TUU NILIPO MKATALIA KWENDA NAE BRAXTOWN PILI, KUWA SINIPO MWAMINIFU: ILIKUWA NI KUSEMA NAENDA HUKO KIKAZI, WAKATI KAZINI HAWAJUI NA NILIAGA NAUMWA... HAJASEMA KITU JAPO TIYARI KAISHA ELEWA JAMBO.

Niliporudi nyumbani nikitoka huko, mume akanianzia mitihani: akasema anaomba tutumie gari moja tu, nyingine ibaki nyumbani. Na kadhalika, atakuwa ananipeleka kisha ananirudisha. Nilihamaki sana na nikamwambia sitaki, maana ya kuwa namagari mawili nini? Kwa nini kalinunuwa wakati alijua anaweza kunipitia?

Akasema, " Nimeamua tuu mke wangu, nini shida kwani, wewe nakupeleka nakurudisha kama una mishe mishe zako nitakupeleka nakuacha ufanye mimi naondoka badae nakufuata? Nikakataa, akasema sawa...

MTAKA NYINGI NASABA, HUMFIKA MWINGI MSIBA.

Maelezo kidogo: Nimezaliwa na vipini vya ajabu. Nimeolewa hadi najifungua mtoto wa kwanza, sijajielewa kwenye hayo maumbile. Iliwahi nitokea sikuona lolote ndani ya miezi mitatu nimejifunguwa, nikajihesabu mja mzito. Nikamjulisha mume lakini sote tukawa kama wenye kuchanganyikiwa; inakuaje na mtoto ndo bado ana miezi miwili na siku chache? Haijatosha hata itifaki zinazo husu kutohimili mimba zilizingatiwa ili tusifuatishi haraka...

Tukajielekeza hospitali ili tuijuwe hali halisi na tujuwe tunaendaje. Matokeo hamna mimba wala tatizo lolote la ki afya, tukaambiwa ni jambo linatokea, tujiskie huru, tusiwi na wasiwasi wowote, kwani hata mfumo wa kuzuia uzazi wa haraka bado una muda labda tuamue kuuondoa kabla ya miaka mitatu.

Nasaha:

NGUVU ULIYO ZAWADIWA NA MUUMBA, TAFADHALI ITUMIE KWENYE MAADILI YENYE MALENGO KWA JAMII, NA KAMWE USIITUMII KI U BINAFSI, AU KWA KUMUANGAMIZA YEYOTE YULE, HASA YULE ALIE FAULU KUIZINDUWA NA KUILINDA KWAKO.

Unatakiwa ujipe majibu chanya kwenye masuali yafuatayo:

  • Hizi nguvu, kwa nini mimi na siyo yule?
  • Mvumbuzi sijawa mi mwenyewe. Kwanini yule?

Ukibugi nilivo bugi mimi, inakula kwako.

Tafadhali endelea:

Mungu hakika ni mbora katika uumbaji wake. Kila mmoja wetu kapewa kitu au vitu vya kipekee kwenye maumbile yake. Kuna mtu alie jifunza kuvitumiya, na kuna asie weza juwa hata ni vya maana kwake japo anaviona, hadi pale atakapo kutana na mvumbuzi wa hiyo nguvu aliyo nayo, halafu nyote mkaijulia hapo hapo na ikawafaidi.

Hivi ndivo NGUVU zangu zilivo ibuka:

Kwenye uso wa mbele wa hekalu yangu kuna vitone vitatu vyeupe. Vipo kimoja chini ya karanga, na viwili pande zote mbili kwa ndani upande wa kati wa kizingiti. Kwa ufupi nyoka akiingia pangoni, lazima vitamkwaruza kichwa hadi ubavuni.

Kutokana na vile muonekano wa vitone unavyo jibadili, mara niviite vitone, mara vidoti nak... hapo vilikuwa vidogo sana na si rahisi uvione, ila mmiliki najuwa vilipo. Lakini huyu bwana aliweza kuviona na kunijulisha kaviona, nashangaa, halafu namjibu nikicheka:

"Yaani sijaona mpekuzi kama wewe! Ulitakiwa ukate nyasi tuu, siyo kufunuwa funuwa na kupekuwa vya uvunguni! Angalia uso wake unavo mcheza! Haya! Vibunie mpango sasa!"

"Mama, kosa langu nini? Huoni nimeupindisha na mgogo kabisa? sharti nimeeneza! Nyie mna tabia za kuficha vitamu huko!"

Mume wangu ni mpenda bustani fupi;

"Kandanda hainogi kwenye uwanja bila nyasi, sasa kukiwa na vijinundu-nundu vya nyembe ni miyeyusho mtupu!" (yeye huyo).

Inakuwa mfano wa nywele zake za baada ya siku kadhaa akiwa alisheviwa. Hapendi nifanye mimi nisimuharibie. Hata akisafiri muda mrefu, siwezi thubutu kupalilia, na yeye hivo hivo ananiletea kazi.

Vile muda unavo enda, vitone vikaendelea kutanua, yeye sasa mkaguzi, na ilikuwa pindi alipo rejea baada ya mwezi:

"Asali wangu, nikwambie kitu? Kama siyo hatari ki afya, naomba unibakishie hivi hivi! Hizi mavitu zimekaa poa, aiseeeee!" Anacheka...

Nikadhani anamaanisha sasa anautaka msitu! Kabla sijasema lolote, akaendelea:

"Vidoti vyako mbona vimeongezekaaa... Lakini navipenda kweliii... hasa namna vilivyo jipanga... na vimebadili raaangiii... Amen!"

Hapo kama anaigiza sauti ya padre wa kanisa katoliki. Teh!

Kwako msomaji, jaribu na wewe kwa sauti ya juu...

Tukiwa popote pale akijiskia, huwa anaurudi huo wimbo wake kwa mlunzi, au anaifanya ishara ya kupuliza filimbi ya bomba na kunikonyeza!

Kweli nilipo angalia, nikaona vimetanua, na rangi imekuwa kahawiya. Vikageuka sasa "vidoti" tunapo viongelea...

Kuna muda vilianza sasa kuwasha, hadi nakosa raha. Nikiwa ndani nipo nae tukiongea, najikuta nimeanza kujikuna kunako! Kama kawaida yake, kila kitu huzaa matani:

"Mwanaumeee! Jembeee! Hivyo siyo vidoti tena! Ni Burudaaaniiii! Kile kifurushi kutoka kwa mama bila shaka kulikuwemo zawadi yako: gimbi mbili na muhogo! Anasema hayo akichekelea "kiek kiek kiek" ndani ya mashavu yake hadi napatwa na hasira.

"Wewe! Wacha dhihaka huenda hii ni saratani! Mi mwanaume mwenzio? Sawa. Magimbi na muhogo chukuwa wewe uiwinde na uifaidi hiyo burudani mara mbili! Shwain zako! Kero imekuwa burudani lini?"

"Wanaume si ndo huwa hatunaga aibu kujikuna kunako hata hadharani? Yamekupataje? Kiek kiek kiekkhkhkh

Bila matani:

" Lakini kama ulikuwa hujui: katika magonjwa yanayo tokana na uzinzi, yanayo julikana mjini kama Burudani ni maradhi ya ngozi yanayo kuja kama vipere kwenye fimbo; Muathirika huskiya raha sana sana anapo vikuna hadi anarembuwa. Anajichubua bila kutambua."

"Weee! Sijatambua hata hivi vidude nilivyo navyo ni upuuzi gani, na wala sirembuwi sasa thubutu uzoe huko halafu unitee hapa, ndo utajuwa hujui!"

"Haki ya nani?! Ikiwa wewe je? Viwili vikikutana, ni salam na ujumbe, na zawadi kupeana! Usintishi! Burudaniiiii! Kiek kiek kiek!

"Tujipange ratiba ili tumuone daktari wa ngozi, sawa mama?"

Ikawa hivo muda mrefu tunakwenda hospitali kwa muendelezo wa vipimo na tujuwe vile hali inavo endelea. Ila pamoja na vipimo vyote tulivyo fanya, haikuwa saratani japo tu mishipa twingi tumo, wala siyo hata vijipere viitwavyo Syringomas, ambavyo havina mishipa yoyote, ni kama vipere tuu, vinavyo patikana kwenye ngozi kupitia tundu za jasho, wala havina tatizo. Lakini havileti muwasho kama nilivyo kuwa navyo.

Nikapewa dawa ya mafuta ili niwe napakaa usiku, kwa kusitisha miwasho. Ilifana na hata ilipo isha baada ya siku kumi, sijairudilia hiyo tiba hadi tukavisahau. Na vikasita kutanuka vilipo fikia kiwango cha punje ya mtama na vikawa vyeusi tiiii na mn'gao wa shanga nyeusi na karundu kaduchu mno, utadhani ni vya kubandika, yaani kama pambo tuu.

Mara ya mwisho, tulipo kwenda kukagulisha tena, daktari katupatia kartasi za matokeo ya utafiti. Lakini vyote wala tusingeelewa chochote kutokana na lugha ya kitaalam iliyomo, na tena siyo fani yangu. Lakini akatuelezea kwa uchache tuu ili tuelewe:

Inaonekana kuwa hizo punje zimejijengea ganda kwa nje mfano wa ganda la kunde, ila gumu kulikoni. Na ndiyo maana ya huo mn'gao. Kwa ndani, kunaonekana uhai: tumishipa kapilari na neva, hata uzi wa buibui ni mkubwa, tumo ndani ya ganda hilo. Utaalamu unasema kuwa hadi sasa hizo punje hazina dalili yoyote hatarishi, kwa sababu toka vipimo vya mwanzo na vya sasa, mwili haujaonesha ishara ya usambazaji sumu au vimelea vigeni popote pale. Vipo salama.

Uwezekano wa kuviondoa kwa lazer upo na ni salama pia... tukiwa tayari, tunaweza kujiorodhesha ili turatibiwe operesheni hiyo.

Daktari alipo tua, mwanaume alifanya kama anayafunga masikiyo na kufumba macho, kwa kushuka hadi akachutama na kuufanya mguno mreefu, na mshipa wa paji la uso ukamvimba. Nikashangaa!

Nikavutwa mkono tuu pale alipo nyanyuka, ili tutoke nje! Hatujaaga Wala!

"Daktari kaongea! Hizo LULU ni zangu, na ZIPO SALAMA! Huezi elewa ninavo zijali! Kwa taarifa yako, hata na mzuka wangu umehamia hapo!"

"Lulu? Zako? Kama ni za kunitia ulema nampaje fimbo bibi? Anajikongojaje? Kesho zikiufunga mlango, unaingiaje sasa? Embu niambie?"

"Nasema hivi..." Hapo kaweka kituo kireefu, halafu akaongea tataribu, ili nielewe neno moja moja:

SHUHULIKA NA BABU. BIBI NIACHIE MIMI!

"Nipo tayari kwenda popote muda wowote na hizi ripoti, tuupate mtazamo wa wengine madaktari. Siyo hii ripoti moja, na tiyari inasema hamna dalili hatarishi za chochote! Operesheni hiyo, haipo kwanza! Haipo! Nimemaliza na tuondoke."

Toka hiyo siku nikaelewa kuwa hizi "lulu zake," ndipo palipo madhaifu yake katika anavyo vipenda kwenye mwili wangu, baaada chungu cha bibi, matuta kifuani na kichuguu kilicho komazwa na Judo. Niliona ni hivo tangu aanze kuzipa umuhim kila mara, utadhani ni mfugo lazima ajuwe unaendeleaje!

Ilifikia kipindi hata mimi wasiwasi nikaondoa kwa sababu nilipenda mno vile mume wangu anavyo zifurahia LULU zake, hadi zikawa na kipaumbele kwenye uhai wetu humo chumbani kwetu.

Nirudi sasa kwenye maelezo pindi nilipo rudi nyumbani baada ya mtoko:

Usiku yake, nikamsabilia tunda. Kusema kweli, alipo anza kulipekua, mimi namuwaza kijana yule tuu! Alifanya ada yake kama ninavo ijuwa, ila niliona kabisa hayuko kawaida; alipo anza utumiaji kisu, nahisi analitia mamivu tunda ilimradi homa yake itokomee!

Nikamuuliza: "kuna shida gani?" Akasema: "hakuna shida yoyote!" Hajajiongeza kama kawaida yake, huwa anayo tabia ya kuungia kamba kwenye nyingine humo humo, na la sivo, tutaendelea na mengine halafu niupandishe tena mnara!

Namuona anauchomoa baada ya jibu lake, hajasubiri nimfute na nianze sehem ya kufuatia, huyoooo kainuka kwenda kuoga! Nayaskiya maji yanavo mwagika lakini pia na yeye akiliya kwa sauti kubwa mno!

Alikuwa na vimautundu vingi sana kwangu, nikaona siku zinavyozidi kwenda, hamna anacho nizidishia zaidi ya kunitwanga tuu, tena kwa karaha, bila utulivu! Yaani nahisi kama niko natiyana na mnyama vile, na baadae atanitafuna!

Na kila nikiwa kitandani, anapo taka kufanya yake, hunivua nguo kindakindaki almanusura inichane, hapo inanibidi nifuate upepo ili nisiji umizwa na niliyo ivaa mwenyewe! Haijalishi nimeelekea wapi, hataki ushirikiano, ilimradi nimuelekezee kunako achomeke!

Tukaenda hivo kiasi kwamba mimi sijawa tena na wepesi wa kuomba mualiko kitandani, na hata akikubali, jambo lililo kuwa nadra, yeye habadili mfumo wake aliyo uanzisha wa kunisulubu, pasina huruma mpaka nafura na kuwaka moto. Ikafikia hatua kwangu ya kughairi tendo mwenyewe.

Hilo likanijengea hoja ya kuyaanza mahusiano na kijana yule, baada ya kushawishiwa tena, na ma best wangu!!

Wazo lililo tokea kwenye maongezi na shoga zangu ni kuwa, kwa mume kimenuka, huenda kumebuma kabisa, kumbe nianze kujali pa kuangukia.

Hata mimi nikaona ni hivo tuu, japo nahisi khofu kwenye khatma yangu mdhambi nilivo mimi pamoja na huruma kwa mume wangu ambae tabia hii nimeanza imemponza na imembadili kila kitu!

Hapa suali la watoto sintoliongelea kwa kina japo tunavo chuana wazazi, athari zinawakumba pia.

Hayo mahusiano yangu mabest zangu waliyajua vizuri sana, kwa kuwa ni wao baadhi waliyaanzisha toka tunaipanga safari ya Braxtown!

Ilipo fikia siku ya kuzaliwa kwangu, nilipo toka nikamkuta Kijana yule ananisubiri nje, akanichukuwa kunipeleka hotel moja hivi iko Jane Avenue, nzuri sana nikakaa kama nusu saa wakaja mabest zangu na keki...

Nilibaki nashagaa, nikiwa hapo mume wangu alinipigia simu kuuliza niko wapi... nikakimbilia chooni kupokea simu, akauliza uko wapi mama, nikasema Nipo St Sixto Hospital, nimekuja kumuona mama yake rafiki yangu anaumwa, akasema mbona sauti ina mwangwi, na kumetulia hivyo, nikasema niko chooni nakojoa, akasema mbona hukuaga, nikasema samahani, imetokea hivo na nikaghafilika… alichosema ni kimoja tuu:

"KUWA MAKINI NA MAAMUZI UNAYOTAKA KUYAFANYA." Akakata simu...

"KUWA MAKINI NA MAAMUZI UNAYOTAKA KUYAFANYA." Akakata simu...

Nilikaa hapo bila hofu kabisa mbaya Zaidi nikisema nawahi nyumbani, wananiuliza mmoja baada ya mungine:

"Unamnyonyesha nani? Mume au watoto? Kwani we mtumwa au mke?" Dada Chief kaniuliza.

Kabla sijajibu, tiyari dada Zungu kadakia mpira juu kwa juu: " Unayo haki ya kuwa na jamaa zako, kama alivo kuwa nayo yeye! Wacha kujitia wasiwasi bure! Hawatabiriki hao! Wingu laweza kutanda ukajutia ujana wako, ukiwa tiyari chini ya mvua ya mawe!

Mwana umleavo, ndivo akuavo. Muunde unavo mtaka kuliko kumuabudu. Akivimba bichwa utajuta kuzaliwa! Mzoeze! Kwani si tuna waume kama wewe, labda huyu tausi huru kabisa!?"

"Yaani huwa natamani nisingeingia kwenye hii ndoa ndoano isiyo na kikomo hadi kifo! Mipombe na mwanaume wangu... Mwanaume?"

"Naanza tena: Mipombe ya mvulana pooza wangu inanikosesha raha mujuwe! Nilimkubali sana! Mtu poa, mambo yake yote sikuwa na la kughairi hata moja!

Pambe muhandisi alivo huyu aisee? Nilipenda nikapendeka nikapendeza nikapindukia hadi nikaifanya kufuru kwa paradiso niliyo tunukiwa, hasa pale nilipo mzaliya hili dume langu!

Hapo Zungu alikuwa anaiangalia picha kwenye simu yake, taswira ya familia ikiwa inaonekana. Hakika walipendeza sana kwenye hiyo picha wakiwa na mtoto wao.

"Vile alivo ingia kwenye ulevi usio na... "

Zungu hapo kakata kwa kupatwa na uchungu na hasira, uso na mikono yake hadi vinageuka kutokana na damu inavo mtembea, maskiyo mekundu mno!

Kukawa ukimya kwani hata sisi tumeguswa na simanzi za shost wetu... kwenye kiyoo cha simu hapo alikuwa tiyari katelezesha ndipo kukaja sasa sura ya chapombe kabisa hadi anatisha!

Mara anabadili upepo: " Lakini mwache anywe mwana kuzinywa, akafilie mbali huko huko wala sijali tena! Gauni jeusi nipo tayari kulivaa hata kesho! Hapa tumekuja kufurahi na wala siyo msibani! Sikubali mpumbavu atuharibie siku kwa kumtaja na bado hajafa tumuomboleze!"

"Dogo umenikosea lakini eti unawahi nyumbani? We acha tuu!"

"Lakini..." hapo akiwa ameelekeza kidole cha shahada juu, kichwa kapindisha.
" Kwenye uzito, kuna na wepesi pia. Subiri kwanza nimuagizie na zingine kwani tulipo fikia mimi na yeye, akithubutu kutafuta usaidizi wa kuiacha pombe namuua!"

Kweli alipiga sim kwenye duka la pombe na kumuagizia teja wake mseto kama anavo ujuwa Zungu, mimi hiyo lugha ya majina ya vichupa hivyo wala sijui...

Akacheka na sote tukaambukia kicheko hapo kwani tunakipata vema anacho maanisha:

Huyu dada Zungu, damu mbili; baba ni ndugu yetu tena mchungaji na hata mama mzungu mchungaji. Jamii ya dada ina mshikamano na kanisa lakini Zungu ni zungu mno! Kwao mtonyo ni kama wote, istoshi kaolewa na mrithi wa ghorofa hiloo... limefurika maofisi.

Kwake tunafarijika kwa mambo mengi hata baadhi ya mitoko muasisi yeye. Halafu msemaji mno; utadhani yeye mwalimu wa wanao toa vibonzo vya kuchekesha lakini fikirishi! Hana mishe ninayo iona hata moja. Ya nini? Burudani kwenda mbele!

Aliendelea;

"Au unayakumbuka mapigo ya mbwa koko? Kaa ule raha hapa bibie, maisha ndo haya haya."

"Halafu sikuficheni, mimi ndoa za kiislamu nazielewa sana: Hamna mambo ya kugandana endapo mambo hayaendi! Kitambo nshaa mtoka ..."Ahmada umelewaaaaa, Ahmada umelewaaa"...

Aliibuka kwa wimbo na uno la kufa chapombe! Akaendelea Zungu kutoa burudani:

"Wasemaje Tausi wangu?... mwenye mwendo wa maringo, hatua za hisabu... Ah mistari ya kibao cha wahenga imenitoka! Toshekeni na hayo... mwenye shingo la upangaaa! Hahhaaa! Kumbe na shingo nimelikumbuka asee!"

Akaendelea kwa umakini baada ya kukata uimbaji, na kupiga funda kadhaa za kinywaji chake:

"Naomba niumbie gauni jeusi nzuuri pamoja na kofia ya shungi la uso bomba! Usinifanyii ma bui bui yenu huko tafadhali, sijasema nataka kuwa muisilamu, bali naandaa siku ya uhuru wa taifa langu! Bendera na wimbo wa taifa nafanya mwenyewe!

Nataka niwe na taswira yangu mapema nisiji kukurupuka hiyo siku isiyo juwa mtu. Siyo masiala wee anza kazi, na tunamaliza kabisa nikiridhia na naiweka kabatini. Hata yeye nitamuonesha atowe maoni yake, si siku yake pia!? Hahaha!

Dada anae julikana kuwa ni Tausi mwenye nyodo za ajabu, ninazo taarifa zake nitakazo zieleza huko mbele na vile tunahusiana. Kwa ufupi ni mdada mzuri sana na hata aliwahi shindia taji la miondoko, pia aliingia kwenye tasnia ya tamthilia kwa kipindi kifupi tuu, akaiacha alipo jifunguwa dike mbili na kaka yao kwa mkupuo mmoja.

Na vile vile, kwa sasa ni fundi charahani mzuri na anajituma ipasavo kwenye warsha yake na ni duka la nguo, iliyo sheheni vijana chapa kazi na maonyesho ya nguo aina mbali mbali za tamaduni nyingi tuu. Asicho kijuwa, wewe mpe lisaa, ataufanya utafiti na kukuletea michoro ukose cha kuchagua. Lakini sasa ni msiri mno, hakuna anae mjuwa mpenzi wake au anatoka na yupi pindi tupo kwenye raha zetu. A Very Private Lady...

Nilikaa kweli hadi saaa mbili, nikiwa hoi, kijana akawa ameanza kunipa pombe ninywe, nilishindwa kwa kweli nikaanza kunywa divai tuu ambazo nazo sikuwa nikitumia zamani, siku yangu hiyo alinikazania sana anipe zawadi ya mkon'goto; sijaona rangi ya pesa yake. Nampa.

Dada Chief rafiki yangu akawa anaaga na kusema: "Hebu dogo tunaenda zetu! Mwenzako naona ataka umuazime kino, kwani anazo mbegu za kutwanga! Usimuachi na njaa!"

Wakaanguwa kicheko, wakainuka na kuondoka. Punde tuu, tulichukuwa chumba akanichemsha haraka, wala sijahisi uchungu japo hata yeye katika hilo sakata la chap chap kanikumbusha ninacho eshi na mume wangu huu muda wote. Cha ajabu nilipata raha sana ya penzi lake kuliko la mume wangu. Tulipo maliza, tukajitayarisha kila mtu arudi kwenye maisha yake.

Nilipofika nyumbani, namuona jamaa yake, jamaa wa karibu yetu sote, akiwa mwenye kuondoka hapo mbele ya nyumba. Tukasalimiana, ila kama namuona mwenye haraka hataki kukawia hapo, lakini nikamzuia. Alikubali, ila kama anayo wasiwasi ya kuondoka tuu.

Akatoka kwenye gari yake, akinisogelea. Nilitaka nifunguwe mlango wa gari tukutane. Akaufunga na kuushikilia, kashusha kichwa: "Mume wako ana hasira na wewe sana! Umebadilika! Kulikoni? Lakini sijataka unijibu kwani nina haraka ya kurudi nyumbani, tusiharibikiwe sote! Yule pale juu kwenye dirisha anakusubiri! Umeona anavyokuangalia yule kule juu?"

Hakika, nilipo ingia katika huo mzunguuko batili, roho yangu ilijawa na ugumu hata sioni wala sijali ninavyo bomoa ngome muhim za udugu, ngome za jamii; kama nilifanikiwa kueshi ugenini, sababu ni huyu kaka; Nilipo toka kwetu, nilifikia kwake akanipokea kama ndugu na wala hatujawahi fahamiana, yeye alinipokea kwa niaba ya mjomba wangu alie owa shangazi yake.

Pamoja na mkewe, waliniwea ndugu na wakanifariji kwa hali zote hadi nakutana na jamaa yake, mume wangu, na wakanioza wao kwa upendo nisiyo weza kusahau. Alipo ondoka kweli nilihisi aibu na huzuni, ila hapo hapo nikafuta akilini na kujiambia maneno ya ujasiri kumbe mpumbavu nimekuwa!!

Halafu niwaambie jambo: inafikia muda mtu kuwa katika kipindi cha utata na usijitambui. Ndivo ilivo kuwa hali yangu. Muda huo, ilitokea nikaurudilia wimbo wa Whitney Houston, Try it On My Own ; mashairi ya wimbo huu hayajawa mashairi tena kwangu, bali ni maandiko matakatifu hadi nahisi sasa huyu mdada bila shaka alikuwa nabii na si kitu kingine, na ujumbe huu ni wa mtu kama mimi, kutoka kwa Baba alie mbinguni! Jina lake lihimidiwe, Amen!! Na mikono naweka juu.

Hii ya "Mwanamke Huru" nitaichanganua zaidi, turudi kwenye tukio...

Nikaangalia sasa dirisha, ndipo nikamuona mume wangu. Alipoona nimemuona, akarudi nyuma na kuachia pazia.

Naingia sebuleni tuu, nae yu ashuka ngazi, akanifuata akanikumbatia kwa mashamsham na kunibusu, akisema: "Nikupokee mkoba? Kisha twende husuni ya chakula, kuna zawadi yako!" Nikazuga mapenzi ili nifuate upepo, nikampokeza mkoba halafu nikamfuata...

Nilipo fika sehem hiyo, nikakuta kuna keki! Na papo hapo akaanza kuniimbia wimbo wa B-Day, huku akitoa kwanza kitambaa kilicho funikia ndoo ya Champagne na bilauri mbili, halafu kachukuwa sahani, uma na kisu ili nikisha puliza mshumaa wa ishara ya umri wangu, tupasue keki! "Watoto mbona siwaoni?" Nikauliza. Akanijulisha aliko wapeleka kwa dhamira ya kuwa tuwe peke yetu hiyo siku.

Hii ndiyo mara ya kwanza siku yangu hiyo tupo mimi na yeye! Basi nikajikausha kama sio mie nikafurahi ili awe na Amani, nikashangaa! Mbona hasira nilizoambiwa anazo sizioni tena? Nikaikosa raha ila nikijiambia moyoni, niendelee na tamthilia ya siku hiyo, katika mazingira kwa upande wangu, tiyari ni hatarishi!

Tukakata keki tukala! Inanikaba! Hajachukuwa hata sekunde kumi, kaelekea kwenye ngazi haraka na kupanda hadi kwenye husuni ndogo ya kuelekea chumbani, mahala palipo sofa, maktaba na meza ndogo tuu, mahala pa kahawa yake asubuhi, ndipo anapo weka vitu anavyotoa mifukoni pamoja na funguo za gari, nikamfuata... Ile nafika juu tuu, akaniambia: " Nina zawadi yako ingine! Sasa njoo tukae hapa tuongee kidogo, nikupatie zawadi!" Nikamwambia: "Nisubiri basi nakuja!"

Mlango wa chumba ulikutwa tuu wazi, nikaingia na kuelekea moja kwa moja hadi chooni. Nikachukua simu nikamuandikia ujumbe kijana asinipigie maana nimefika nyumbani. Hajajibu chochote kile, basi nikaweka usafi na manukato, nikabadili nguo na kuvalia za kulalia na nikatoka kumfuata mume wangu.

"Mbona hujaniaga ulipoenda na sio kawaida yako??? Mbona hujaniambia wakati huwa unaaga japo kwa ujumbe wa simu?" Akaniuliza...

Moyo ukaenda mbio ila nikauchuna, nikamwambia kuwa mgonjwa alizidiwa, rafiki yangu akachanganyikiwa na kuniomba nimuwahishe hospitali, kwani usafiri jumuia ungesumbua kidogo...

"KUWA MAKINI NA HAYO UNAYOTAKA KUYAFANYA!"

Maneno yake tena, yakanigonga kwenye bongo kama nyundo vile! Hapo nilikutwa tiyari nimejawa na uoga, wasiwasi na kufikiria tuu jambo baya huyu mume wangu kanihifadhia!

Akanifuata: "Nakupenda sana! Jitahidi uniheshimu, usiniumize! Na endapo kuna mapungufu yoyote, naomba niweke wazi ili nirekebishe!"

Wala sioni uso wa hatari, kama tabasamu ipo, kama upole wa matamshi, vile vile ninavo mzoea. Hakika ukiwa mkosa, huezi kuwa na amani! Ndani mwangu nachemka kwa uoga na fikira zikipishana; yeye kamili yupo, ila amsha popo yake haipo: 1. Utani...

"Mungu niokowe!" Naomba moyoni, huku nikijitahidi kuwa sawa halafu nikasema:

"Sawa mpenzi! Mbona nakujali tuu sana? Hujakosa lolote na hakuna kama wewe kwangu mpenzi!" Nikajibu...

Akaniambia: "Chukuwa zawadi yako pale kwenye maktaba!" Nikajielekeza hapo, nikaikuta simu nzuri ya HTC ONE rangi ya dhahabu, na vikomo viwili vya dhahabu. Simu hiyo ni moja niliyo ifukuzia miezi kadhaa iliyo pita! Niliruka sana sana nikamkumbatia, akafanya kama kafurahi, halafu akaanza kuipandisha nguo yangu(mtindo ule ule wa purukushani nak...) pale kwenye hall!

Sikujivunga, nikasalim amri! Nikiwa napopolewa kisawasawa, akili yangu tiyari imesha hamia kwenye vile vikomo; Hili ni jambo ambalo sijawahi muambia, sijamuomba wala kumuonesha lakini tiyari hajakosea na hizi hapa bangili mkononi, nimezivaa tena mbili!! Hayo yote yalikuwa kwenye simu: maongezi yangu na mashosti wangu, humo kukiwemo na picha ya bangili hilo!!

Nilihisi aibu na kukiona kifo changu tuu, baada ya kuyapata hayo mapigo takatifu, huku nikishindwa hata ku igiza ushirikiano kwenye tendo: mkono mmoja umevalia bangili kila zikigongana kama zinaongea, zinanijuza nimeshikwa, nimeumbuka, mwizi, msaliti, muongo, mzinzi na mwizi wa fadhila!! Afadhali utukanwe na mungine, isiwe ni roho yako mwenyewe ikitoa ushuhuda wa maovu yako yasiyo na sababu ispokuwa ubinafsi!!

Mimi nikiwa katika hiyo hali na maumivu ya mfano misumari ndani ya bongo yangu, mara nasikia akipunguza kasi ya mapigo yake; kuna kitu alihisi:
2 Makombo...

Akaniangalia usoni! Nalihisi puto kama linapungua pungua na kuzimia ndani mwangu, yaani kaishia njiapanda! Akanitazama usoni akaniuliza, kwa tabasamu vile vile: " Unaburudika?" Nikajibu "Ndiyo" kwa sauti ya kuigiza kunogewa, na kusisitiza "Mpenzi twanga havijanoga!!"

"Hata maneno niliyo yaambiwa na Chief wangu yameniathiri kwa kiasi hiki?" Kule kwa kijana nilitabasamu kwa kulisikiya neno "Kino", lakini baada ya maneno kunitoka pasina utashi, nilitaharaki mno!

Hapo mwanzoni, kila anapo shindilia, vile nilikuwa sina hamu ya lolote, nilihisi maumivu kana mwamba mwichi unazifikiya figo sasa! Licha ya maumivu ya aina zote, akili haiachi kufanya kazi yake ya kunisulubu pia; Najisemeza mwenyewe na roho yangu, huku nikihisi aibu ya kufikiri labda mume wangu ananiona akilini sasa! Tena hapo pote, sijaskiya taaarifa yoyote ya vidoti, vitone nak...! Hali hii inanizidishia simanzi, yaani kuna nguvu nahisi zimetoweka: * 3 LULU hazitoi ushirikiano...*

Akasema: "Mimi naburudika zaidi, asante mpenzi!" Ila akili yangu inaniambia: "Umeyataka mwenyewe, sasa uyakubali yatakayo kutokea muda si mrefu!"

Baada ya maneno yangu ya mkosa, na siyafu zangu zikinin'gata huko kwa bibi, jamaa akamchomoa nyoka wake alie kufa kabisa! Yaani niliumia, kuliko kushukuru nimepumzishwa, nikashindwa kujikaza nikaanza kumwaga machozi...

Nikamuuliza: "Nini mbaya mpenzi?" Akajibu kuwa hamna lolote. Lakini hilo jibu lilikuja na ubaridi mwingi mno! Hapo hata yeye uhalisia ukamjaa, tamthilia ikakata! Nikataka nianze danadana na joka, hata tuende duru kumi za mieleka ilimradi achoke asinifanyii nisicho kijua na tiyari kimenisibu. Huku machozi yakiendelea kunitoka kutokana na yanayo pita kichwani mwangu na yaliyo mubashara papo hapo kwenye husuni, nikajiskia tuu natamka "Itasimama tuu mpenzi!"

Natamka lakini maneno yanakuja na kigugumizi, hata kamasi limeanza kunishuka vile vile! Lakini hamna lolote! Wapi kabisa!! Dalili sifuri! Samaki kafa wala hana mapigo ya moyo tena!!

Baada ya jitihada hizo, nilistuka akiniinuwa kichwa na kuniambia:

"Utanichubua swahiba, usifanye hivyo! Hapo basi tena! Siku yako ya kuzaliwa na iwe ya heri kabisa! Furaha na iwe kwako mzishi mwangu! Hii siku tuiandike kwenye matukio ya furaha kuu katika uhai wetu kama waanandoa!"

Akanyanyuka kwa kicheko na kushuka ukumbini vile vile alivo umbwa! Nikawa sasa na khofu, sijui nimfuate, mara akili inanionesha kifo, sijui niruke dirishani, vyote hivyo, kifo ndiyo mwisho! Halafu wanangu? Kijana wangu? Nikaona isiwi kesi, acha niingie nijifungie chumbani tuu, hamna namna au suluhu nyingine! Kama sijauliwa, kesho naondoka! Siwezi!

Sikupata usingizi, akili yangu inatembea kama umeme ikiyapitia maisha yangu ya muda huo mfupi na mahala nimefikia! Nilistuka , na kuingalia simu yangu hapo kitandani! Nikashangaa saa tisa ya usiku hiyo! Nasimama niende bafuni, huku nikiendelea kuskilizia na kufikiri nini mume wangu atanitenda! Tukio gani linalo nisubiri mie? Nitaliona kweli juwa la leo?

Nilipo kuwa bafuni, akili ikaniambia kuwa sina njia nyingine ya kutokea ispokuwa kushuka ngazi ili nitoke nje, kumbe mlango nitaufunguwa tuu! Kama mbwai, iwe mbwai! Na kadhalika, mlango huu siyo wa chuma au wa vault ya benki, angetaka, angeusukuma na usingemzuia. Mbona misuli anayo? Sina shaka, kama hajafanya lolote ni vile ananipenda, huenda asinidhuru.

Basi nikakaza roho, nikaufungua mlango. Vile alivo shuka ukumbini, hajarudi kwenye husuni ya tukio kwa sababu hata kaptura hajaichukuwa tuache nguo nyingine ile! Nikaja kumchungulia namuona ukumbini chini amekaa anaangalia movie, vile vile mtupu!

Nikashuka hadi chini, nikamuuliza: " Unashida gani usiku huu? Unatakiwa ulale mpenzi, ili kesho usishindi vibaya kazini! Tafadhali iache hiyo TV, uje tulale!" Hapo nimerudi ku igiza mke mwenye huruma, lakini roho yangu inanisuta na kuniambia niache upuuzi kwa mtu alie jawa na simanzi, na huenda akaniraruwa!

Akasema kwa sauti makini tena nzito: " Tafadhali niache, sina usingizi!"

Nilipo angalia pembeni yake, yuko na simu yangu! Moyo ukafanya paaaaaaaaaaaaaaa!! Yaani nilipo ingia bafuni, yeye alipanda na kuchuwa funguo yake ambayo hata sijakumbuka nikaingia nayo chumbani, kaufungua mlango wa chumba, kaichukuwa simu na akaufunga tena na kurudi ukumbini!

Nikamwambia: "Mbona umekaa na simu yangu?" Akasema: "SINA MIPAKA JUU YA SIMU YAKO MKE WANGU" Hapo alikuwa na sura ya kazi! Nikataka kuichukuwa kwa haraka, kaniwahi na kuishikilia. Halafu akasema: "Usipendi kutumia nguvu, sana utaumia! Chukuwa simu hii hapa nenda kalale!" Nikakuta anakunywa mvinyo, alikuwa anaangalia CD moja ambayo nilitamani kila mtu angekuwa nayo inaitwa FIND A SECRET, nzuri sana sana sana! Hii niliinunuwa mimi wakati alipokuwa East Scotland kikazi, niitumie kama kifaa cha kujifunza kumpeleleza pale atakapo kuwa ni mwenye kulisaliti penzi letu, nimgunduwe mapema.

Ila kwa muda huo, kwangu ni upanga shingoni ambao niliuleta kwa mkono wangu mwenyewe, kisa wivu! "Kapataje hii CD, ambayo ni siri yangu, na haijawa hapa nyumbani bali kwenye kabati ya kazini kwangu, oficini mwangu? Au hata yeye kainunuwa?" Naongea na roho yangu mwenyewe, nikijiuliza masuali pasina kuyapata majibu rasmi, bali ya kukisia kisia tuu...

Nikasema: "Sawa. Uliichukuwa yanini, kwani si tiyari unajuwa yaliyomo?" Akasema: "Nilipize basi nenda na yakwangu!" Sikumjibu nikarudi juu chumbani, yaani nilishindwa kuendelea udwanzi; nijitoe fahamu nilete bukta nimuambie basi avae... roho inaniambia "unataka makuu wewe kicheche! Wacha kuyashika masharubu ya simba alie jeruhiwa!" Nikaendelea hadi kitandani, nikaanza kupekua jumbe ! Kumbe kijana karejesha majibu analinisifia umbo langu na Sana tulipo fanya mapenzi, kuwa nimemtiya kiu sasa anasubiri nirudi kummalizia hamu yake roho itulie!

Hatimae hata ile electronic diary kijana alinipa pindi nilipo kuwa naenda kwenye rusha roho zetu. Na yenyewe ilikuwemo vitu vya ajabu na mimi wala sijaipitia ili nione ni vitu gani. Lakini kuna picha inayo nisuta kwenye machine hiyo, kutokana na maneno yaliyo andikwa chini siku nimeipewa.

Hii ilikuwa miongoni mwa ushahidi aliyo kuwa nao! Siku ananiacha kanisani aliionyesha na akasema anazo jumbe, picha na video vyote maana alienda kuvinakili na kuvichapisha kwa yule jamaa yetu, yeye hufanya kazi kituo cha Police!

Sijarudi kuufunga mlango wa chumba. Nilipitiwa na usingizi nikalala. Ilipo fika asubuhi, nikaamka na kufanya ratiba zangu kamili ili nielekee kazini! Lakini mandhari ya bafuni ikanionesha kuwa tiyari jamaa alipitia kwa usafi na hayupo, watoto kawaandaa basi la shuleni lishaa wapitia na sikujua ilikuwa muda gani yeye kaondoka! Hata miliyo ya gari sijaiskiya!

Nilipo fika kazini kwanza nimechelewa, haraka nimesha wahi kabatini kuviangalia vitu vyangu... mume wangu alivipitia lakini sijui kwa mtindo gani. Nikauchuna. Maji yashaa mwagika hakuna janja janja hapa! Hali ilianza kubadilika hapo, simuelewi kabisa mwenzangu, anauchuna tuu, haniulizi chochote.

"Muunde umtakavo"... na maongezi yote niliyo yaskiya kwa mashosti nayakariri akilini, na toka hiyo siku yangu ya kuzaliwa nilianza kuyafanyia kazi japo nilinaswa vikali. Vile mume alivo nichomolea nyaya chumbani, na kila akitaka kusema namshushua au nampa majibu makali, anatulia. Hapo najaaribu kuweka ngome asiongelei "LULU ZAKE", kwani hata mimi zinanifikirisha na bado sijapata mwanga wa kwa nini iwe hivo.

Nikaendelea na kijana yule, huku nyumbani basi tuu, hata ile adhabu ya kuraruliwa ilikata kabisa. Nikaizindua tena lakini kwa tabu sana, kwa sera kutoka kwa ze dadaz, kwa sababu sijawa tayari kuachana nae; hapo inatakiwa niuvunje ukuta mzito...

"Huyu mwanaume si mchepukaji, basi ugwadu umemfinya. Kijana nae, amekunata mno, kwa kuwa anakutaka hata sasa hivi. Tatizo ni pale utakuwa haupo nae kutokana na kibaruwa kwa mume. Nenda kacheze nao wote kwa viwango na umahiri hadi siku utachukuwa maamuzi sahihi"... naiskiya sauti hiyo akilini mwangu.

Walielekea wote vizuri hatimae. Ila usioni hivo, mume wangu alinisumbuwa sana kupita kiasi; kila nitakapo panga ramani ya kuingia ndani ya himaya yake ili nimshawishi afunguke, ananikwamisha halafu narudi kujipanga upya.

Siku nilifaulu, nilikumbuka kitu ambacho hakijahitaji sera au michakato niliyo kuwa nikiitoa kwa dada zangu huo muda wote. Jambo moja pekee... nguvu zangu: LULU.

Nilivizia muda wake wa kwenda bafuni, nikaingia nae na kuchukuwa bomba la maji, nikaanza kujiosha, yeye amesha anza kukojoa. Alipo niona najiosha, sijui alifikiria nini; alipatwa na hasira mno! Yaani alinguruma akiwa anayasaga meno, utadhani kuna mtu amemtumbua kwa kisu!!

Nilipo maliza kujiosha, nikatamka tuu: "Lulu zako zimerudi kuniwasha. Narudi kwa daktari leo!"
Hadithi nzuri,
Yapo mengi ya kujifunza.
 
Khee hata kuscroll tu nimechoka🥴

Kaka kiswahili chako ni kigumu mno au kibovu either of the two.

Story haieleweki kabisaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom