ndo yeye mkuu anaitwa sambwe shitambala!mmoja wa hao wasio na kijani si alishutumiwa kuwa aliuza ubunge aliokuwa ameshinda mbeya vijijini? Au ni makengeza yangu
hUYU BWANA SIKUMTEGEMEA KABISAA KAMA ANAWEZA KUDANGANYIKA NA CCM!Bogus hilo
mmoja wa hao wasio na kijani si alishutumiwa kuwa aliuza ubunge aliokuwa ameshinda mbeya vijijini? au ni makengeza yangu
Alishakuwa wa kutilia mashaka sana tokea uchaguzi mdogo huyu,ndo huyo2.Njaa kitu mbaya.
sidhani kama ni njaa, the guy is just hopeless
Huyo wa kulia kwa JK ni aliyekuwa katibu mwenezi na mgombea ubunge wa CDM jimbo la Ileje Mbeya...