Mwema kung'atuka?

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,769
Reaction score
288,283
By Bernard James, The Citizen Reporter | Saturday, July 27 2013


Inspector General of Police (IGP) Said Mwema, 60, will step down in December, we can authoritatively report.

Mr Mwema, who was expected to remain in office until after the 2015 General Election, has turned down the offer of a two-year contract, opting instead for just six months.

Impeccable police sources confided to The Citizen on Saturday that the IGP agreed to extend his stay to December despite a state request that he works another two years.

Mr Mwema, who was headhunted from Interpol seven years ago to lead the police force, was officially due for retirement last month but State House reportedly asked him to consider a long contract.

When he finally quits, the curtains will fall on an illustrious career spanning 30 years, during which Mr Mwema rose from a 22-year-old constable in 1976 to the apex of the police hierarchy.

The new development could trigger sweeping changes in the police top brass in the next few months.

The search for Mr Mwema's successor is reportedly on. "What I know is that the one who will succeed Mwema has already been tipped," said our confidant.

Insiders say he has been under a great deal of pressure in recent months from his boss, President Jakaya Kikwete, who plucked him from Interpol's regional office in Nairobi and made him his administration's first IGP.

In 2006, the President gave Mr Mwema the leeway to reform the tainted police force whose reputation had plummeted because of rampant crime, corruption and general apathy.

In Nairobi, he was praised for addressing crimes in eastern Africa such as trafficking in human beings, proliferation of small arms and light weapons, cattle rustling and poaching. Given his relatively good performance as IGP, those close to the presidency felt that Mr Mwema would go the distance with Mr Kikwete, whose second and final term ends in 2015. Mr Mwema's signature achievement has been the community policing programme.

But the IGP has in recent months come under attack from activists and the opposition for alleged human rights violations by the men in uniform, including the killing and torture of innocent civilians.

The police top brass have also been accused of political meddling and fomenting violence by openly siding with the ruling Chama Cha Mapinduzi. Mr Mwema was unavailable for comment on these accusations.

Head of the Directorate of Communication at State House Salva Rweyemamu said yesterday, he needed time to crosscheck the information. He cautioned against publishing such information on the grounds that it could trigger unnecessary public anxiety.

Meanwhile, three other top police officers who qualified for mandatory retirement at 60 on June 31 are angling for an extension of their contracts. They include Director of Criminal Investigation (DCI) Robert Manumba, the commander of Dar es Salaam Special Police Zone, Mr Suleiman Kova, and Commissioner of Police Isaya Mungulu.

Mr Kova will stay on under a two-year contract. He told The Citizen on Saturday: "It is not a strange thing. It is just a normal arrangement. I don't see it as a story but I advise you to use administrative channels to get the information you want. My employer will answer your questions."

DCI Manumba's case remains unclear as he is still in office in the same capacity. When asked for comment, he responded curtly that the information was not true and cut off the call. Both Mr Mwema and Mr Manumba were 53 when they were first appointed in March 2006.

In April this year, President Kikwete awarded the two men the Distinguished Service Medal for their "diligent performance and exemplary conduct".
 
BAK,

Nini maoni yako kwa maamuzi yanayo tarajiwa kufanywa na IGP Mwema!!?
 
Last edited by a moderator:
Alistahili kutimuliwa kazi miaka mingi iliyopita lakini unamjua DHAIFU mpaka Bunge la CCM limshinikize ndio afukuze kazi watu. Kazi ilishamshinda huyu siku nyingi sana na kuendelea kuwepo kwake ndio kumelichafua kabisa jeshi hilo na sasa kuonekana ni genge la wahuni, watesaji, wezi, majambazi na wauaji pia halina heshima hata kidogo katika kila kona ya nchi yetu. Kwa kifupi amechangia mno jeshi hilo kupoteza heshima yake nchini.


BAK,

Nini maoni yako kwa maamuzi yanayo tarajiwa kufanywa na IGP Mwema!!?
 
Amekubali yaishe, matakwa ya ccm hayatekelezeki, hataki kuona raia wengi wakifa on his hands..! Nadhani Michael Kamhanda atarithi mikoba yake.
 
Busara ni pamoja na kupima upepo unakoelekea na kuchukua hatua sahihi.
 

BAK,

Sidhani kama umemaanisha ambacho umekiandika hapo!

Katika ma-IGP walio tenda kazi nzuri kwenye nyanja ya usalama wa raia na mali zao ni huyu IGP ndiye anae ibuka kidedea.

Huwezi kupima tu Tanzania ya leo katika mambo ya kiuhalifu na ile ya enzi za Mkapa na Mwinyi?

Leo hii ujambazi na unyang'anyi ni kama hadithi vile, matukio ya aina hii ni ya kutafuta na tochi, unadhani hali hii imetokana na nini?

Hayo matukio uliyo eleza ni kweli yametokea wakati wake, ila yakupaswa uelewe kuwa uhalifu unazidi kukua, huwezi kufananisha mbinu za uhalifu za mwaka 1947 na za leo, hivyo jitihada ni kubwa za kupambana na matukio ya aina hiyo ndio maana hutokea mara chache chache.
 
Last edited by a moderator:
Watu wanakwepa kwenda ICC ........wanaona hatari iliyopo mbele yao kwa wasaka madaraka wa CCM
 
HAMY-D

Nini maoni yako kwa maamuzi yanayo tarajiwa kufanywa na IGP Mwema!!?

Binafsi niseme tu nina heshimu maamuzi yake, kwani bila shaka atakuwa na sababu zake za msingi zilizo mfanya afikie maamuzi hayo.

Lakini pia niseme tunaelekea kuachwa na kiongozi ambae utendaji wake umetukuka na bila shaka wanaJF mtaungana na mimi kwenye hili.

IGP Mwema amekuwa akihakikisha usalama unalindwa kwa raia wote bila ya kujali tofauti zozote miongoni mwa raia, hili litathibitishwa kwa ubunifu wake wa mbinu mbalimbali za kupambana na uhalifu nchini, kama vile polisi jamii na ulinzi shirikishi.

IGP Mwema katika utendaji wake ameweka jitihada kubwa sana katika kuhakikisha anapunguza ajali barabarani, hili amelifanya kwa kuandaa mafunzo yatolewayo bure ya kufundisha waendesha bodaboda n.k

Kwa haya na mengine mengi kuhusu IGP Mwema nadhani kwa upande mmoja ama mwingine ni pengo kubwa sana kwa IGP kuachia ngazi kwa kuutengua mkataba wake.
 
Last edited by a moderator:
Propaganda ambazo hazina ukweli wowote ndio kazi zenu nyie. Kama huoni wala husikii jinsi jeshi la polisi lilivyopoteza heshima yake hata ashuke Mungu kukwambia hivyo huwezi kumuamini. Mie nimemaliza.


 
Kwa mtazamo wangu Jeshi zima la Polisi linapaswa kuvunjwa na kuundwa upya. Kama iliwezekana kuvunja Jeshi la Ulinzi mwaka 1964 na kuliunda upya baada ya uasi, sioni kwa nini serikali yetu 'sikivu' inaendelea kulikumbatia jeshi la Polisi ambalo limeshindwa kabisa kufanya kazi zake. Suala zima la ulinzi na usalama wa Raia halipo. Mtu anapopata tatizo asitegemee kwenda polisi kupewa msaada. Polisi wanawalinda viongozi wa ccm, wauza unga, wafanya biashara ya meno ya tembo na nyara zingine za Taifa, wakati huo huo wanatii amri ya 'kuwapiga', kuwatesa na kuwabambikia kesi raia wema.

Binafsi sioni tofauti yoyote Mwema, Kova, Manumba, Chagonja na 'vigogo' wengine wote wa polisi wakistaafu, kama policcm itaendelea kuwepo. Jeshi zima limeharibika...
 
Propaganda ambazo hazina ukweli wowote ndio kazi zenu nyie. Kama huoni wala husikii jinsi jeshi la polisi lilivyopoteza heshima yake hata ashuke Mungu kukwambia hivyo huwezi kumuamini. Mie nimemaliza.

BAK,

Si sahihi kuhukumu binadamu mwenzako kwa kutazama mabaya au madhaifu yake tu, huu si uungwana. Ni vyema pia tukatazama na mazuri yake ili tuweze kutoa hitimisho lililo sahihi.

Binafsi sidhani kama yupo mwanaadamu alie mwema na mkamilifu, ni ukweli usio pingika hata hao unao wakubali wana mapungufu yao, sasa iweje iwe ngumu kwako kukubali kuwa IGP Mwema nae anayo mazuri yake pia na hata mabaya?
 
Last edited by a moderator:
Binadamu aliyeondokewa na utu, mwenye tamaa na mroho wa madaraka ndiye pekee asiyeweza kusutwa na kuumizwa na hali ya kuzorota kwa usalama na amani tunayoishuhudia sasa hapa Tanzania hivyo kuendelea kuifurahia ofisi na hata kuomba kuongezewa muda wa kuharibu zaidi.
 
Reactions: BAK
lol! Msema ukweli siku zote ni mpenzi wa Mungu. Na hakuna mahali nilipoandika kwamba kuna Mwanadamu asiye na mapungufu, lakini kama utendaji wa kiongozi katika chombo/taasisi ya Serikali ni mbovu basi hakuna sababu yoyote ya kumung'unya na kumremba ili kuonyesha kwamba alifanya kazi nzuri. Jeshi la polisi limeoza sasa hivi haliaminiki tena inabidi kufumuliwa lote ili kulijenga upya lakini DHAIFU hana ubavu huo. Na katika miaka hii miwili kati ya sasa na 2015 jeshi hili ndio litazidi kujichafua kwa kiwango cha kutisha.

 
Anataka kujisafisha huyu hana mpya,hata aki kataa hiyo miaka 2 lazima 2015 tu deal na yeye,asitake kukimbia mapema hata akiachia madaraka lazima akalie kikaangio na yeye na alipe damu za watu woteee....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 

Watu wanateuliwa ama kupewa nyadhifa fulani kwa minajili ya kutumikia jamii kwa kuitendea mambo mema kama inavyotakiwa. Si wajibu wa jamii kuwasifia pale wanapotimiza wajibu wao lakini wanapotenda ndivyo sivyo ama wanapokengeuka katika kutimiza yale wanayopaswa kufanya ni lazima jamii iwanyooshee vidole na hiyo njia pekee ya kuwahadharisha.

Watawala wanaopenda kupigiwa makofi na kusifiwa kwa kutimiza yale wanayotakiwa kutenda ni hatari sana kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi na watu wake.
 
Mwema ameshasoma upepo
hataki kwenda kwenye mahakama ya kihalifu
wewe unafikiri damu zilizomwagika zitaachwa hivi hivi
damu anazomwaga Mwugulu Nchemba naapa zitafikia kikomo muda sio mrefu
Mwugulu atakimbia nchi
twende kazi


 

Hao polisi hawafanyi hayo maovu kwa kupenda ni ama kwa kulazimishwa ili kulinda mfumo au kwa kujionea mfumo umekaa mkao wa kula sasa wao watakuaje washangiliaji wakati rungu wanalo. Tatizo letu ni mfumo mchafu ambao usiponyooshwa kwanza hata aje nani madarakani hatutaona jipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…