MKILINDI
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 549
- 549
Mgogoro ndani ya chama na kushuka kwa cuf katika chaguzi mbili bara na visiwaani na kupanda kwa chadema katika chaguzi zote,
inaweza ikawa ni mwelekeo mbaya kwa cuf na kufifisha matumaini yao kisiasa nchini tanzania, je pia inaweza kuwa ni nyota njema kwa chadema kujitanua hadi visiwani?
inaweza ikawa ni mwelekeo mbaya kwa cuf na kufifisha matumaini yao kisiasa nchini tanzania, je pia inaweza kuwa ni nyota njema kwa chadema kujitanua hadi visiwani?