Nimeona nirudie hili tangazo ili niweke figures vizuri.
Nina idea ya biashara na nimeiplan katika muonekano tofauti. of course dio idea mpya ila kutokana na contents na strategies nilizozipanga ndo maana naiita NEW IDEA.
Natafuta mwekezaji ambaye ataweza kuwekeza full business investment! Mimi nina idea ila sina Capital japokuwa kuna somewhere nategemea kupata pesa ila sina uhakika ndo maana natafuta mtu mwenye uhakika wa investment na pia kuganya kazi na mtu especially kwa business kubwa na pia kama startup inakuwa ni vizuri zaidi.
kwa hiyo kama kuna mtu ataweza ni kwamba kinahitajika kiwango cha pesa kuanzia 30 millions tshs na kupanda. investment inakuwa kubwa ili kufanya business iwe more serious na pia kupata income inayoeleweka.
Lakin kutokana na income projection nilizocalculate ni kwamba itakuwa inaingiza more than 50 millions per month. so per year after all cost deducted still inakuwa ni pesa nzuri.
Nina uhakika na projected income kwa sababu ya maketing strategies pamoja na contents zangu.so as long as it has been my dream,my goal and i have a great vision on this business,the projected income may be more than that! IDEAS MAY NOT BE NEW BUT CONTENTS AND STRATEGIES IS WHAT MAKES IT UNIQUE!
Tutagawana shares as owners. ila itabidi tukae mezani tuone nani anapata percentage ngapi za shares za umiliki wa kampuni.
siwezi weka business plan hapa jinsi itakavokuwa ila kwa ambaye atakuwa serious, and under agreements naweza mfunulia business plan itakavokuwa!
kama uko serious naomba unicheck kwa hii namba 0689 569 883
napatikana Temeke Dar es salaam
NB: aina ya biashara ni service based type of business na ni e-commerce business.
Kama unauwezo huo usiogope kuinvest kwa sababu bila kufanya huwezi faida yake
Asante! mtanisamehe kwa kuchanganya lugha
Nina idea ya biashara na nimeiplan katika muonekano tofauti. of course dio idea mpya ila kutokana na contents na strategies nilizozipanga ndo maana naiita NEW IDEA.
Natafuta mwekezaji ambaye ataweza kuwekeza full business investment! Mimi nina idea ila sina Capital japokuwa kuna somewhere nategemea kupata pesa ila sina uhakika ndo maana natafuta mtu mwenye uhakika wa investment na pia kuganya kazi na mtu especially kwa business kubwa na pia kama startup inakuwa ni vizuri zaidi.
kwa hiyo kama kuna mtu ataweza ni kwamba kinahitajika kiwango cha pesa kuanzia 30 millions tshs na kupanda. investment inakuwa kubwa ili kufanya business iwe more serious na pia kupata income inayoeleweka.
Lakin kutokana na income projection nilizocalculate ni kwamba itakuwa inaingiza more than 50 millions per month. so per year after all cost deducted still inakuwa ni pesa nzuri.
Nina uhakika na projected income kwa sababu ya maketing strategies pamoja na contents zangu.so as long as it has been my dream,my goal and i have a great vision on this business,the projected income may be more than that! IDEAS MAY NOT BE NEW BUT CONTENTS AND STRATEGIES IS WHAT MAKES IT UNIQUE!
Tutagawana shares as owners. ila itabidi tukae mezani tuone nani anapata percentage ngapi za shares za umiliki wa kampuni.
siwezi weka business plan hapa jinsi itakavokuwa ila kwa ambaye atakuwa serious, and under agreements naweza mfunulia business plan itakavokuwa!
kama uko serious naomba unicheck kwa hii namba 0689 569 883
napatikana Temeke Dar es salaam
NB: aina ya biashara ni service based type of business na ni e-commerce business.
Kama unauwezo huo usiogope kuinvest kwa sababu bila kufanya huwezi faida yake
Asante! mtanisamehe kwa kuchanganya lugha