thefutureisonourhands
Member
- Apr 29, 2019
- 67
- 82
Habari wakuu,
Nina project yangu ambayo naamini itaweza kuweza kuleta matokeo chanya kwa mwekezaji atakaye iona kama ni fursa.
Naamini hii itakuja kuwa ni moja ya project kubwa kama ikipata mdau.
Hii itakua ni project yangu ya kwanza kutangazwa hadharani kutafuta mdau anaye weza kuwekeza ila ni project yangu ya pili.
Project ya kwanza nilikuwa napita katika maofisi kutafuta wadau,nashukuru nilipata mdau ambae aliwekeza na ni project maarufu tu kwa sasa japo siwezi itaja hapa.
Kwa uzoefu wangu jamiiforum ina watu wenye uwezo tofauti tofauti ambao naamini wao au jamaa zao wanaweza wekeza kwenye project hii pia.
Kawaida hua nabuni project zinazo endana na professional yangu hivyo mara nyingi hua nakua si mbunifu tu wa wazo lakini pia mtendaji.
Nimejaribu kuielezea project kwa kifupi, (shallow ) ili kuepuka kuvuja kwa kitovu cha wazo
PDF hii hapa chini ina wazo hilo,unaweza ipakua na kuisoma.
Kwa maswali na maelezo zaidi ningependa kujadiliana na muhusika aliyekuwa interested na wazo hili ana kwa ana.
For any invite please Email. skyhnltz@gmail.com
View attachment Wazo.pdf
Nina project yangu ambayo naamini itaweza kuweza kuleta matokeo chanya kwa mwekezaji atakaye iona kama ni fursa.
Naamini hii itakuja kuwa ni moja ya project kubwa kama ikipata mdau.
Hii itakua ni project yangu ya kwanza kutangazwa hadharani kutafuta mdau anaye weza kuwekeza ila ni project yangu ya pili.
Project ya kwanza nilikuwa napita katika maofisi kutafuta wadau,nashukuru nilipata mdau ambae aliwekeza na ni project maarufu tu kwa sasa japo siwezi itaja hapa.
Kwa uzoefu wangu jamiiforum ina watu wenye uwezo tofauti tofauti ambao naamini wao au jamaa zao wanaweza wekeza kwenye project hii pia.
Kawaida hua nabuni project zinazo endana na professional yangu hivyo mara nyingi hua nakua si mbunifu tu wa wazo lakini pia mtendaji.
Nimejaribu kuielezea project kwa kifupi, (shallow ) ili kuepuka kuvuja kwa kitovu cha wazo
PDF hii hapa chini ina wazo hilo,unaweza ipakua na kuisoma.
Kwa maswali na maelezo zaidi ningependa kujadiliana na muhusika aliyekuwa interested na wazo hili ana kwa ana.
For any invite please Email. skyhnltz@gmail.com
View attachment Wazo.pdf