yatima
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 354
- 130
jamani - kweli hii inauma sana. Wakati adhabu ya mtu kula mlo hotelini ukawa huna malipo adhabu ni kuosha vyombo - sasa huyu kuingia tu bila malipo - ndio kuchomwa moto - hivi ingekuwa kijana wa kihindi angemfanyia hivyo????
naamini hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mmiliki (mhindi) wa hotel hiyo.
Mungu ampe kupona kijana wa watu.:angry::angry:
naamini hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mmiliki (mhindi) wa hotel hiyo.
Mungu ampe kupona kijana wa watu.:angry::angry: