Mwasisi wa CHASO, Deogratius Kisandu ajiunga na CCM

Mwasisi wa CHASO, Deogratius Kisandu ajiunga na CCM

security guard

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
799
Reaction score
603
Mwasisi wa CHASO ajiunga na CCM kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana tarehe 27 Septemba 2014 kwenye uwanja wa mikutano wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola,lushoto mkoani Tanga.

D1.jpg


Deogratius Kisandu ambaye wakati wake alipokuwa Chadema alikuja na hoja za kutaka urais jambo ambalo Dk.Slaa lilimpa tabu sana amejiunga na CCM akitokea NCCR Mageuzi ambapo alikuwa na nyadhifa mbali mbali.
attachment.php
 
Ni nani huyu ?
au ndiyo yule aliyetangaza kusitaafu siasa na kujiunga na kazi ya uchungaji?
 
Nimepata maumivu kidooog ka mshituko RIH kamanda kisandu!
 
majitu mengine bwana mpaka kerooo, juzi ulikuwa unakiponda leo umejiunga sasa sera zako zinabadilikaje au unalewa kwanza ndo uanze kutoa hotuba ? maana hakuna jambo jema la kusemea kwenye siasa za ccm ..... huyu kweli ni punda
 
Mwasisi wa CHASO ajiunga na CCM kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana tarehe 27 Septemba 2014 kwenye uwanja wa mikutano wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola,lushoto mkoani Tanga.

Deogratius Kisandu ambaye wakati wake alipokuwa Chadema alikuja na hoja za kutaka urais jambo ambalo Dk.Slaa lilimpa tabu sana amejiunga na CCM akitokea NCCR Mageuzi ambapo alikuwa na nyadhifa mbali mbali.

Huyo achana naye maana kila alikopita alikuwa ni mzigo/gamba!, likini pia huko alikoenda ndio kunako mfaa maana ndege wanaofanana huruka kundi moja(la magamba type).
 
Mwasisi wa CCM na aliyekuwa waziri mkuu na mwanasheria mkuu JAJI SINDE WARIOBA amejiunga na UKAWA aidha kuna kila dalili pia za Mzee Butiku kumwaga manyanga ktk chama mafisadi ccm na kujiiunga na UKAWA ambalo ndio tumaini kwa sasa.

Warioba amevutiwa na sera ya gongo ya babu Slaa
 
alisema anaachana na siasa, hama kweli ukitegemea siasa maishani huwezi acha, mleta mada unasema alikuwa tishio la urais kwa Dr? napata hofu na ubongo wako, huyu hata mimi nikiamua kuingiza kwenye siasa namshinda. ila umri mdogo ameshapita vyama vitatu, tunasubiri afungue uzi hapa, au ndio kaona aibu baada ya kurudia matapishi yake.
 
Mwasisi wa CHASO ajiunga na CCM kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana tarehe 27 Septemba 2014 kwenye uwanja wa mikutano wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola,lushoto mkoani Tanga.

Deogratius Kisandu ambaye wakati wake alipokuwa Chadema alikuja na hoja za kutaka urais jambo ambalo Dk.Slaa lilimpa tabu sana amejiunga na CCM akitokea NCCR Mageuzi ambapo alikuwa na nyadhifa mbali mbali.
attachment.php


Hueleweki! uraisi wa huyu popo ungempaje tabu Dr. slaa?
 
UKAWA ni chama?

Mwasisi wa CCM na
aliyekuwa waziri mkuu na mwanasheria mkuu JAJI SINDE WARIOBA amejiunga
na UKAWA aidha kuna kila dalili pia za Mzee Butiku kumwaga manyanga ktk
chama mafisadi ccm na kujiiunga na UKAWA ambalo ndio tumaini kwa
sasa.
 
by security guard;
Mwasisi wa CHASO ajiunga na CCM kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana tarehe 27 Septemba 2014 kwenye uwanja wa mikutano wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola,lushoto mkoani Tanga.

Deogratius Kisandu ambaye wakati wake alipokuwa Chadema alikuja na hoja za kutaka urais jambo ambalo Dk.Slaa lilimpa tabu sana amejiunga na CCM akitokea NCCR Mageuzi ambapo alikuwa na nyadhifa mbali mbali.


security guard kulikuwa hamna haja ya kutumia njia ndefu kumtambulisha mpuuzi anayeitwa kisandu kuwa muanzilishi wa chaso ili hali unajua kabsaa kuwa alishajitoa chadema siku nyingi? au bila kuhusisha chadema bado hujapata kiki?

Nimekuudharau sana,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom