PreGE2025 Mwasisi CHAUMMA, Eugene Kabendera ajiunga CHADEMA

PreGE2025 Mwasisi CHAUMMA, Eugene Kabendera ajiunga CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Hahahaha! Mimi mwenyewe najiuliza. Huko nyuma nilikuwa najua mwanzilishi ni Rungwe na CHAUMMA ilikuwa ni mali yake kumbe wapo waanzilishi wengine.

Halafu huyu jamaa itakuwa wakati wananzisha CHAUMMA aliwa na umri wa miaka 30 hivi kwa mwonekano wake.
Huyo dogo hata 35 hajafika bado mbichi kabisa
 
Kwani hawa wapuuzi Wanakuwa wanaangalia itikadi za Chama au wanahama kama makahaba.?
 
Back
Top Bottom