Mwarabu fighter

Mwarabu fighter

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
4,824
Reaction score
5,605
7f204668d2c164f5812b5dddf588ee9d.jpg
0d9c4893d828943d6d0278d10e0d338f.jpg
405f371edea24c6b53d4b81755414cf5.jpg
1c5c121a7d9798054ddf6fb82a2c3eb6.jpg
d5692838bc4c40a5f411e98f375997c8.jpg
dcf4aaaf1452725840167886e2e4994a.jpg

Jamaa pamoja na kwamba ni mlinzi ila inakula bata na misele mingi hajutii kufanya kazi na diamond
 
Jamaa na limwili lote hilo linamlinda kabwana mdogo hako halioni hata aibu??
Kweli pesa inaweza Fanya kila kitu.
 
Sasa mlinzi anapewaje mfuko abebe,ulinzi amemuachia nani????
 
Watu kama hawa watoto wa uswahilini huwa wanajipigia kama nyegere kumla koboko wakati unajiandaa kupigana unajikuta umeshazingirwa na kijiji lazima usande tu
 
Yaonekana humjui Mwarabu Mirundi, Fighter zaidi ya kuwa mlinzi wa Diamond ni mchezaji wa mchezo wa Zurkhaneh upande wa Khosti Pahalvan ambapo amepata medali nyingi tu mfano 2011 All African game Mozambique medali ya Shaba na Silver,Ethiopia medali ya Shaba 2015, Tajikistan alifanikiwa kuingia robo fainali ingawa hakushinda medali. Yeye pia mwanachama wa Zurkhaneh Tanzania na anasafiri pia na timu ya taifa ya mchezo huo ukitaka jua mengine ya kimichezo fika BMT, au Zurkhaneh office. Kwa kweli anutumia mwili na ujuzi wake kwa manufaa yake na taifa pia usidharau kazi yake kwani kazi nzuri ya mwenzako...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom