Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,635
- 20,977
Huwa napata hofu sana na jamii hizi,naona kama wengi wao katika malezi yao huwa wanalelewa katika kumuona mwafrika kama "Goloo" au mtumishi wao au kijakazi..hasa kwa wahindi na waarabu.
Je unauchukuliaje muungano huu?
Je unauchukuliaje muungano huu?