Mwanzo wa meditation

Naomba nijulishe juu ya swali hili.
Ukija kwenye swala mkuu itakubidi usali rakaa mbili mbili za tahajudi au istikhara au kiyamul layl zote zina utaratibu wake lakini kwa ushauri ushauri wangu ni heri usali kiyamu mbilimbili zikifika mara mbili unavuta nyiradi kisha unaendelea, hii ni bora zaidi kuliko meditation.

Rakims
 
 
Nimeona chenga kweli, meditation na Sara wapi na wapi, tunameditate kukwepa fikra, Sara ni fikra nuizi, mbona haviendi sawa?
Ni kweli mkuu haviendani, lakini watu huona meditation ni mlango wa kumsikiliza aliyewaumba sasa waislamu hufanya hivyo kutaka muongozo wa mola Wetu mkuu,

Rakims
 
Wakati mwingine inaweza tokea hata ukiwa umetoka usingizini lakini unakuwa bado hujashtuka kwa bed,unajikuta umehama kimawazo unakuwa kama unaota lakini kama hauko usingizini vile,unaenda katika sehemu ambayo hata hujawahi fika kimsingi,wala kupaona yaani ni sehemu kama taswira ya kuzimu vile au ulimwengu mwingine.hii kitu huwa inanitokea kwa vipindi sana
Au hii huwa ni nini!
 
Astral Projection/mental projection rejea kwenye thread yangu hii


Rakims
 
Mkuu nipo najifunza kupitia huu uzi!. Shukran kwa mwongozo! Hakika napenda sana kufanya meditation!
 
Hii elimu ilifikaga mwisho?

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…