Hivi ni kwa nini haikupelekwa kirumba aufurahisha?wenje hakuzuiwa barabarani kama nilinyoona magufuli watu wafunga barabara ili aonge nao kazi ipo,
Sijui sababu sikwenda lakini mimi impact iliyonipata ni kuchelewa nilikokuwa nakwenda sababu eti huyu waziri yupo mjini.., kwakweli amenitia hasira sana..., kwanini afunge barabara kama huku sio kutumia madaraka vibaya ni nini ? Kwakweli kama ni hivi na asije tena .....Ukilinganisha na umati wa mbunge wa nyamagana alipokwenda kuchukua fomu ni yupi aliuwa na watu wengi?
Na kweli kulizizima ngoja siku ukawa wakitua mtaona kutakavyo lindima