Mwanza yazizima mapokezi ya Magufuli

Mwanza yazizima mapokezi ya Magufuli

Tupia na picha mkuu watu wagonge mhuri.
CKNJBh5VAAE5L7w.jpg:large

Nimetumiwa hii picha na nimeambiwa ilikuwa inabidi asimame barabarani ili kuongea maneno mawili matatu na wananchi waliokuwa wanalizuia gari lake.
 
Hakuna aliyelizuia gari la magufuli Bali ilibidi ahutubie barabarani baada ya kufutwa kwa mkutano wake wa had hara uliokuwa ufanyike furahisha baada ya kuwepo kelele kuwa anaitumia mikutano hiyo kufanya kampeni kabla ya wakati.
 
hizo sasa kampeni. hebu ccm wasubiri wakati wa kampeni ufike. jamani kwa wenye weledi wa hii kitu watueleze sheria inasemaje juu ya kampeni?
we want fair ground.
 
timu ya magufuli Gor-mahia imeshinda 2-1 magufuli meno nje 34
 
Kampeni zinaanza tarehe iliyotangazwa na tume ya uchaguzi lakini CCM wamekosa maadili toka wazee hadi vijana hawafuati taratibu. jamaa toka atoke Dodoma kiherehere tu hajiamini kabisa
 
Cck wamawafungulia kesi mahakamani baada ya tume kumnyamazia, zito kaiandikia tume barua
 
Mwanza leo imetikisika mapokezi ya Magufuli, wenyeji wanasema haijawahi kutokea tangu ujio wa marehemu Baba wa Taifa Julius Nyerere.

Wenje juzi alikuwa na watu wengi zaidi ya hao..... ccm bana, mnachanganyikiwa.... Mtahaha sana mwaka huu
 
Picha inaongea zaidi kuliko hizi pororjo. Tuwekee picha
 
Magufuri mbona leo nimemuona anabembea pale coner la wanajesh kitangili mwanza
 
Siyo kweli kabisaaa, mie niko Mwanza. Cha mno sana walifunga barabara yetu ya Makongoro!!! Alikuwa na ratiba ya kusimama kidogo Pasiansi, na baadae aendelee na safari yake kuelekea Geita akishamaliza kutembelea ofisi za mkoa kichama.
 
Kazidiwa na maandamano ya mbuge Highnnes jana,kulikuwa na msururu mkubwa wa magari ya serikali bodaboda wamelipwa 10,000/- na roli moja kutoka magu lilikuwa na wana ccm ila kwa hali hii ccm kazi wanayo.
 
Magufuli yupo Taifa humo mwanza labda mzimu wake
Kweli!?
Kama kaenda taifa na kaanza na kushindwa basi sio dalili njema kwake na mchakato mzima.
Siku hizi kuna mbwembwe za 'mkutano kubwa haijawahi tokea' huku tukisahau maneno ya Mzee Kingu pale Amri Abeid-A town. Tujikumbushe kuwa watu wengi sio dili maana Mwalimu alikuwa anakusanya watu wasiofika hata 50 pale Msasani na aliyoyaongea ndio yanafanya taifa liwepo hadi sasa. Magufuli tayari kakusanya watu wengi Mbagala Zhakem kaishia kuwambia kuwa atadhibiti utendaji serikalini huku wizarani kwake/tanroads CAG akionyesha billion 800 zimeliwa mwaka uliopita!

 
Back
Top Bottom