Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Tupia na picha mkuu watu wagonge mhuri.
Nimetumiwa hii picha na nimeambiwa ilikuwa inabidi asimame barabarani ili kuongea maneno mawili matatu na wananchi waliokuwa wanalizuia gari lake.
Tupia na picha mkuu watu wagonge mhuri.
Mwanza leo imetikisika mapokezi ya Magufuli, wenyeji wanasema haijawahi kutokea tangu ujio wa marehemu Baba wa Taifa Julius Nyerere.
Mbona nipo hapa mwanza nimeona bodaboda nyingi tu na enzi za nyerere hazikuwepo
Kweli!?Magufuli yupo Taifa humo mwanza labda mzimu wake
Mbona kuna taarifa kuwa mkutano umeahirishwa? Anyway tuwekee picha tuone[/QUOTE Tofautisha mapokezi na mkutano.
Hakwenda tena kuishangilia Yanga na Gor Mahia uwanja wa taifa? Kulikoni?