mwashambee
Member
- Jul 11, 2015
- 90
- 18
Mda gan wakati tulikuwa naye taifa
kama mnamkumbuka Al-Sahaf mwanzisha mada ni miongoni mwao. kumuomba picha ni kumtaka akimbie. hapo lazima pikipiki wamewekewa mafuta full tank.Pichaaaaaaa
Mda gan wakati tulikuwa naye taifa
Hivi ndege aliyotumia kwenda Mwanza ni ya serikali au ni ya CCM?
![]()
Nimetumiwa hii picha na nimeambiwa ilikuwa inabidi asimame barabarani ili kuongea maneno mawili matatu na wananchi waliokuwa wanalizuia gari lake.
Sidhani kama ni ushabiki wa kitimu, maana yeye ni mwanasiasa na anatafuta kura. Nafikiri akili imewarudia kuona kuwa wanaiingiza TFF kwenye matatizo ya kisiasa! Waliofanya maamuzi hiuo awali hawakutumia busaraNi Simba damu huyu, hawezi enda poteza mida kwa yanga!
Ukilinganisha na umati wa mbunge wa nyamagana alipokwenda kuchukua fomu ni yupi aliuwa na watu wengi?Hata Diamond alipata watu zaidi
Kilichotokea ni Kero tu kwa wananchi kwa huyu waziri wa kawaida kufunga barabara na kuwekewa ulinzi wa hatari hence watu kuchelewa kwenye hamsini zao..
Bora afanye haraka aondoke hizi kero kwa wananchi zinawapunguzia kipato na kuwapotezea muda...., Sijui anasimamisha magari na kufunga barabara yeye kama nani ?
Kwa nini hawa wapinzani hawataki kuelewa kama hili jembe ndo rais wao?
Ukilinganisha na umati wa mbunge wa nyamagana alipokwenda kuchukua fomu ni yupi aliuwa na watu wengi?