Mwanza yazizima mapokezi ya Magufuli

Mwanza yazizima mapokezi ya Magufuli

Mbona kuna taarifa kuwa mkutano umeahirishwa? Anyway tuwekee picha tuone
 
Mwanza leo imetikisika mapokezi ya Magufuli, wenyeji wanasema haijawahi kutokea tangu ujio wa marehemu Baba wa Taifa Julius Nyerere.

wewe si mwenyeji mpaka usubiri wenyeji waseme?
 
Ninavyojua Mkutano leo ulehairishwa hata nileongea na watu waliopo Mwanza na kuthibitisha hilo sasa hayo mapokezi ya watu wengi yametoka wapi?
 
ccm mwaka huu! Sina uhakika kama wanatumia mtaji mkubwa wa uwongo kiasi hiki!
 
magufuli anawahi uwanja wa taifa kusaka kura
 
Magufuli yuko Mwanza baada ya kusaini kitabu ktk ofisi ya ccm Mkoa na kuzungumza na baadhi ya wakazi wa Mza ameelekea malaika beach resort.
 
Mwanza leo imetikisika mapokezi ya Magufuli, wenyeji wanasema haijawahi kutokea tangu ujio wa marehemu Baba wa Taifa Julius Nyerere.
Hakwenda tena kuishangilia Yanga na Gor Mahia uwanja wa taifa? Kulikoni?
 
Back
Top Bottom