Fuatilia mada zangu hapa jf.Ww pia ni askari na ndo maana kuongea na ww tukaelewana ni ngumu ,ujue ya kuwa nyie askari japo siyo wote huwa mnaona ya kuwa nyie ni untouchable mpo huru kufanya chochote bila kuwajibishwa.
Kwahy ww huwezi kuona ouvu wa askari wenzako,hapo ni kesi ya nyani kumpelekea tumbili!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wajinga kama wewe ndio maana kizazi chenu ni FIESTA.Ila watanzania siku hizi huwezi wachezea yaani lifilamu stelingi kafa kabla halijaanza hata kwenye vyombo vya habari halikupata coverage Kubwa ha ha eti kuuwa soo ya CAG , hawakujua CAG ndio new celebriety wa Tanzania kwa sasa aibu zao
habari za siku nyingi lakini?.ulikuwa mchoro wake tu kuondoa mada ya cag
Mbona unawatetea sana ndugu? Kuna mjomba wako kwenye list? Kila muda unatungua thread kutetea na point zako hata hazieleweki!! Naona umebanwa mbupu vilivyo unahangaika mitandaoni kuonewa huruma.Mahakamani ni formality tu!
Kesi alishaiamua rais.
Huyu hakimu wa kupingana na jiwe atatokea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unawatetea sana ndugu? Kuna mjomba wako kwenye list? Kila muda unatungua thread kutetea na point zako hata hazieleweki!! Naona umebanwa mbupu vilivyo unahangaika mitandaoni kuonewa huruma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haki ipi unayoisimamia kama hutaki haki ya msingi ya rasilimali za taifa kupokwa na wahuni wachache!!? Hao polisi wanakesi ya rushwa (kuomba na kupokea) sasa haki ipi unayoitaka zaidi wa wao kupelekwa mahakamani?
Haki ipi unayoisimamia kama hutaki haki ya msingi ya rasilimali za taifa kupokwa na wahuni wachache!!? Hao polisi wanakesi ya rushwa (kuomba na kupokea) sasa haki ipi unayoitaka zaidi wa wao kupelekwa mahakamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu point hapa ni kuwa wapo askari ambao wakigumia deal wanachkua mpunga iwe mdogo au mkubwa
Ila mkuu point hapa ni kuwa wapo askari ambao wakigumia deal wanachkua mpunga iwe mdogo au mkubwa
Ila kwa issue ya dhahabu bado hatujajua ukweli ni upi!
Ila kwa askari kuchukua mpunga kwao ni kawaida maana hakuna watu wanaotakaga maisha mazuri kama maskari
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskari deal kama hzo hawaziachi ila kwa mwanza watakuwa walitaka kuzungukana mmja ndy akamua kuunguzaHata ingekua wewe unaishi kwenye nyumba za mabati za msongamano na kazi ni ya jaramba kama unavyoifahamu na mshahara ukiingia nao baa asubuhi haufiki saa nne.... kwanini usivute mpunga??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni matokeo ya ubovu unaotumika kuwapata waajiliwa. Wengi walishavuta na kukolea bangi kabla ya ajira. Ghafla watu hao unawaamini, unawapa siraha na wanashuhudia heshima ambayo hawakuitegemea, yaani kuogopwa.Mkuu ww ni mkazi wa Mwanza au ulishawahi kufika mwanza?
Baadhi ya askari police mwanza wanafanya kazi zao kama walivyo vibaka,wakikukamata ni mwendo wa jeki huku una pigwa sachi ya maana ukicheza wanaondoka hadi ma suruali unabaki na boksa.
Mengine ngoja tuiachie mahakama ila itabidi nikacheki sura zao maana kuna mmoja huyo akiondoka na wallet yangu bila kujari kuwa wallet inabeba vingi ikiwemo vitambulisho.
JPM hakika ww ni mtenda haki bila kujari cheo cha mtu,asante raisi wangu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuwatosa hao lupango unaamini kwamba maisha ya Askari yatakuwa yameboreshwa kikipato na tutaepukana na ukabaji wao? Asipokupiga sachi wa depo kwenye eneo la tukio,zingine utakutana nae barabarani na kigari chako anakupa za uso, many Tz cops Ni wezi sababu ya uduni wa maisha.Hao askari ngoja wakione cha mtema kuni,baadhi ya askari mwanza ni majambazi ukitaka kuona hilo ww kamatwa hata umechekewa kdg usiku uone wanavyo sachi mifuko yote na kuondoka na kila kitu..
Safi sana mheshimiwa raisi wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania,hakika ww ni raisi wa wanyonge!
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskari deal kama hzo hawaziachi ila kwa mwanza watakuwa walitaka kuzungukana mmja ndy akamua kuunguza
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi kama 4Mkuu nikutoe wasiwasi!!
Hao wafanyabiashara nawajua kitambo sana.
Nadhani wana uzoefu wa biashara ya dhahabu wa takribani miaka 20.
Ofisi na makazi yao yako Geita.
Kwa ufahamu wako, Geita imepakana na nchi ipi jirani?
Sent using Jamii Forums mobile app