Mwanza: Wanaodaiwa kusafirisha dhahabu wapandishwa kizimbani, wasomewa makosa 7

Kazi IPO. But natamani kupata story upande wa pili wa watuhumiwa walikuwa wanatosha dhahabu. Isije ikawa kama habari za mwadui diamondi yaani alimasi zinakamatwa airport huku wanavibali vyote vya kuafirisha vilivyotolewa na serikali. Awamu hii ni ya kuitilia mashaka kilajambo inalofanya. Maana haiaminiki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia picha za hizo dhahabu, zina mihuri ya serikali, zikiashiria zimenunuliwa kihalali. Na hisi kosa lao ni kusafirisha bila ESCORT, yatakua yale yale ya Diamond Petra (Watu wanavibali halali ila wanataifishwa kwa nguvu).
mqdefault.jpg
 
bado hawajasema kosa ni nini

Kutakatisha fedha, transaction gani ilikuwa inatakatisha fedha?

Kusababishia serikali hasara, ni kipi hapo cha serikali kilichopotea?

Kuhujumu uchumi, lazima kuwe na underlying offense. Sheria ya makosa ya kiuchumi ( hakuna sheria ya uhujumu uchumi, by the way, ECONOMIC SABOTAGE ACT ya Moringe Sokoine ilishafutwa), anyhow, sheria mpya haina independent definition ya uhujumu uchumi ni nini, bali inaorodhesha msururu wa sheria nyingine ambazo ukizivunja unakuwa pia umefanya kosa la kiuchumi. Kwa mfano, ukila nyama ya nyati ume violate sheria ya wanyama pori na nyara za serikali na ni moja ya makosa ya kiuchumi. Sasa sheria gani ya msingi hapa ilivunjwa? RC Mongela katoa kituko, kasema kosa ni kutembea na hela na dhahabu bila ulinzi na makaratasi. Toka lini? Sheria ya wapi hiyo?

Kuomba rushwa, serikali inabidi imtumie mhindi yule yule na mwenzie kama shahidi wa serikali kwamba waliombwa rushwa, wakati mhindi mwenyewe ana kesi na ndio the main target, mshitakiwa wa kwanza. Sasa utamtumiaje fisadi papa akusaidie kuwatia hatiani vidagaa? Haipo hiyo dunia nzima.

Wakijua yote haya, na kwa vile Rais alishatoa hukumu jukwaani kwa kiki za kisiasa, na kwa kuwa mahakama zetu ni dhaifu, watakachofanya hapa "serikali ya wanyonge hasa masikini" ni kuwafunga polisi bila mashtaka miaka kumi uchunguzi ukiendelea, halafu mhindi na tajiri mwenzie wao watatoa faini milioni 200 ambayo ndio bei ya soko, wataachiwa asubuhi na mapema.

The going rate in Tanzanian judiciary at the moment to buy a criminal out of a 25 year prison sentence is about 100,000 US dollars or 200 million TZS.
 
Labda waliona mil 700 haigawanyiki kwa watu wanne wakaamua kuchukua 1b ila kila moja apate mil 250.
Sasa waliuza nini mkuu mpaka walazimishe B1? Utadhani yao vile walivokua wakidai. Itagawanyika rumande sasa.

Sio siri kwa usawa huu mtu hata ukipata Millioni 50 kwenye dili lolote, unatoka mbio nyingi sana na hata hugeuki nyuma.
 
Haya ni maneno ya Phillemon Mgaya ambaye ni IGP mstaafu wa Jeshi la Polisi alipohojiwa na gazeti la Raia Mwema.Nadhani tunahitaji kitu cha namna hii sasa,tena urgently,we are at a dead end with regards to our police force.

*Mgaya: "Tabora nilikaa miaka mitano kuanzia 1971 hadi 1975 nikiwa RC. Katikati ya 1975 nilikuwa IGP. Baada ya kuteuliwa IGP Mwalimu aliniagiza kwamba Jeshi la Polisi lazima lisafishwe. Kusafishwa maana yake kutoa maofisa au maaskari kwa ujumla ambao hawafai. Hawafanyi kazi sawa sawa.Kwa hiyo aliniambia nisaidiane na Joseph Butiku, Private Secretary wa Mwalimu pamoja na Hassy Kitine, huyu alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa. Kwa hiyo tukatazama mafaili yote ya jeshi zima, watu tulioridhika hawafai kubaki jeshini tukawatoa na kazi hiyo ilihusisha askari wa kawaida mpaka maofisa."

*Raia Mwema: "Unadhani hata sasa Jeshi la Polisi linahitaji kusafishwa?"

*Mgaya: "Kwa maoni yangu nadhani hilo lingefanyika kwa sasa. Niseme tu wakati wangu kama rushwa ilikuwapo kwenye Jeshi la Polisi, ilikuwa ni ya watu wa kuhesabu, mmoja …wawili…watatu, sitaki kuliponda Jeshi la Polisi, lakini sasa hivi wapo wengi wanachukua rushwa."
 
Hao police nao wamejitakia wenyewe rushwa huwa haichukui zaidi ya dk 15 ni lazima muwe mmeshakubakiana kama mzigo unatoka ama dili halipo; Mizigo kama hiyo huwa hainaga majadiliano mrefuuuu ni lazima mdakwe... wote... ha ha ha

labda tamaa inanisumbua..

''najiuliza kwa nini hao mapongo hawakujiongeza kuchukua hizo m700 na kuridhika.!?

au basi wangebakiza dhahabu kg 100 hivi hadi hiyo m300 itimie au iletwe.?

sema wamezoea kila kitu kutumia ma guvu, na akili kidogo tena kwa mbaliii kama pilipili.!?

shwaini kabisa...
dhahabu ndio yenye thamani,pesa makaratasi..

i wish i could be PC


Sent using Jamii Forums mobile app
 
labda tamaa inanisumbua..

''najiuliza kwa nini hao mapongo hawakujiongeza kuchukua hizo m700 na kuridhika.!?

au basi wangebakiza dhahabu kg 100 hivi hadi hiyo m300 itimie au iletwe.?

sema wamezoea kila kitu kutumia ma guvu, na akili kidogo tena kwa mbaliii kama pilipili.!?

shwaini kabisa...
dhahabu ndio yenye thamani,pesa makaratasi..

i wish i could be PC


Sent using Jamii Forums mobile app
Isingesaidia sasa hivi inabidi kuwa msafi tu kwani miongoni mwao walikuwepo wale jamaa wa maslahi ya nchi na kila mahala wamepandikizwa mnapanga pamoja na mgao wanachukua subiri matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mwana CCM asiyepokea rushwa!

Au kwa vile wale askari walijichanganya ndiyo maana mmeamua kuwapatiliza?

Jiwe mwenyewe kawashauri wapokee japo buku 5 za kubrashi viatu,we unajifanya mzalendo?
Ina maana we ni mzalendo kuliko jiwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
I don't care who Jiwe is!! And I'm not talking about CCM!! Wewe na CCM wenzako kamalizaneni kwenye nyasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiangalia picha za hizo dhahabu, zina mihuri ya serikali, zikiashiria zimenunuliwa kihalali. Na hisi kosa lao ni kusafirisha bila ESCORT, yatakua yale yale ya Diamond Petra (Watu wanavibali halali ila wanataifishwa kwa nguvu).View attachment 992309
Biashara yote duniani ya madini usafirishaji IPO at your own risk. Ndiyo hivyo hata Acacia, GGm, hata petra diamondi. Sasa kama umetia mhuri unataka mini zaidi?. Wamekosea destination walioeleza au shida iko wapi? Biashara ya madini INA High risk sana ndiyo maana inakuwa sili maana hata asikali wenyewe hawaaminiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom