kauli kama hizi '' tutarajie mengi mwaka 2015.....tutasikia mengi mwaka huu.... na zingine ni kauli za kijinga na uoga....sasa tufike mahali tusema inatosha....ccm waache upuuzi wao2talajie mengi mwaka 2015! Tanzania inakwenda kubaya! Poleni sana Machemuli na Kiwia
ccm wapumbavu na washenzi wakubwa....kwa nni wanafanya unyama huu?? kule arumeru mpaka sasa ndugu omary maarufu kama matelephone mpaka sasa hajulikani alipo...ccmwakiongozwa na beno malisa wamemteka...huu ushenzi sasa ufike mwisho
Poleni makamanda wetu hizo ndio baadhi ya gharama za kuongoza mapambano ya ukombozi!
Hakika vitisho, nguvu na hata mauaji yanayofanywa na ccm hayatazima moto wa mabadiliko unawaka nchi nzima sasa!! Msife moyo tupo nanyi pamoja wakati huu mgumu! Silikilizia muziki wa hapa Arumeru watakapojaribu kchakachua kura zetu! Huenda usa river ikageuka taharir square na safari ikaanzia hapa kwenda magogoni!!
Halafu watu wakisema ccm itamfia mkweree mikononi mnasema wachochezi!Amani imetoweka nchi hii!