Asante mkuu kwa taarifa.Tafadhali tujuze kila kinachoendelea.Vipi umati wa watu ukoje?
Asante mkuu kwa taarifa.Tafadhali tujuze kila kinachoendelea.Vipi umati wa watu ukoje?
huyu atavuna aibu ya mwaka. watu washabadilika baada ya kugundua kwamba hiki ni chama cha watu wenye vurugu
huyu atavuna aibu ya mwaka. watu washabadilika baada ya kugundua kwamba hiki ni chama cha watu wenye vurugu
Unaombea kuvuna aibu kama iliyomkuta jana Fisadi Kikwete? Basi nakuomba uombe sana na wala sijui sala yako kama Mungu ataisikiliza, Nakupa Pole.
Kitu nilichokigundua humu jamvini 99% wanaoipinga Chadema ni CUF na wala si CCM. Sijui ndo kusema wanataka waonekane wanauchungu sana na Mume wao au vipi!Huyu mze sifa zitamponza. Matatizo ya jimbo lake anayatatua muda gani?..
2015 sio mbali.
Tuta kumwagia kila kitu hapa jamvini jeni utajaza mwenyewe na masaburi yako
Kitu nilichokigundua humu jamvini 99% wanaoipinga Chadema ni CUF na wala si CCM. Sijui ndo kusema wanataka waonekane wanauchungu sana na Mume wao au vipi!
Kuna kamata kamata kali sana ya pkiki tangu leo asubuhi inafanywa na tra pamoja na polisi hope ni mbinu nyingine ya magamba kuzoofisha mkutano wa kamanda lisu ili kusitiri aibu aliyoipata nape na kina mwigulu wake ila hajaathiri kitu vijana wan morali ya kufa mtu ila nape kisha kimbia jiji long time yuko pande za buselesele na yarugusu mkoani geita, na kule hali nitete kapokewa na mabango yanayomtaka magamba wa mrejeshe mwenyekiti wa halmashsuri ya geita aliyetimuliwa na madiwani wa ma gamba kisa yuko ant ufisadi nyarugusu napo watu wameshusha bendera ya ccm na kuichoma moto then wakapandisha ya chadema, kisa wamechoka na magamba
Huyu mze sifa zitamponza. Matatizo ya jimbo lake anayatatua muda gani?..
2015 sio mbali.
Nipo mwanza..but nipo kiproffessional zaidi. Ngoja nimalizane na hapa PPF then niende kusikiliza hizo pumba za huyu jamaa. Sijui ataanzisha tena maandamano!!
huyu atavuna aibu ya mwaka. watu washabadilika baada ya kugundua kwamba hiki ni chama cha watu wenye vurugu