Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Waziri wa Mifugo na uvuvi Mhe.Luhaga Mpina amewaamuru wamiliki wa viwanda vitano vya kuchakata minofu ya Samaki vilivyopo Mwanza kulipa faini ya shilingi milioni 180 ndani ya saa 24 baada ya kubainika kupokea na kuchakata Samaki wasioruhusiwa kwa mujibu wa sheria ya uvuvi
- ITV
- ITV