Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,768
- 20,157
๐ ๐ ๐Hayo majina huwa wana matatizo ya afya ya akili.
๐ ๐ ๐Hayo majina huwa wana matatizo ya afya ya akili.
Hahahahahah hapo ndio sijamwela mkuu wa wilaya eti hamtaki kwenye wilaya yake Sasa nani atamtakaSasa kama yeye hamtaki kwenye wilaya yake nani anamtaka shetani huyo...!??
Labda nduguye jee,..๐๐๐๐๐Hahahahahah hapo ndio sijamwela mkuu wa wilaya eti hamtaki kwenye wilaya yake Sasa nani atamtaka
Mbona wanamgwaya au ana undugu na Lazaro mambosasa?
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
We bwegeHuna akili we nguchiro, kwenye hii ishu mwalimu kashikwa live anatafuna? Kama ameshikwa live ndio hayo unayosema yanahitajika. Hapa dk atathibitisha kama binti alishaingiliwa au la, sio kukuta manii
Umetumwa ?kinachokufanya unitukane ni nini?Sikujui hunijui Acha ushamba!Huna akili we nguchiro, kwenye hii ishu mwalimu kashikwa live anatafuna? Kama ameshikwa live ndio hayo unayosema yanahitajika. Hapa dk atathibitisha kama binti alishaingiliwa au la, sio kukuta manii
Hao wanafunzi miaka 7 yote wanafurahia huo ushenzi nao wachunguzwe, kwani anawabaka miaka yote hiyo?Mkuu wa wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Salum Kalii, ameagiza Mwalimu Martin Mambosasa, wa shule ya msingi Ilungu anayetuhumiwa kuwadhalilisha kingono na kuwafanyia michezo michafu wanafunzi hata wawili kwenye kitanda kimoja kwa muda wa miaka saba kuondolewa wilayani humo.
Agizo hilo amelitoa kwenye kongamano la kuweka mikakati ya kukabiliana na ongezeko la vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na watoto, mimba na ndoa za umri mdogo, utoro kwa wanafunzi ili kuongeza ufaulu na ndipo alipotoa maelekezo hayo.
"Kesi ambazo tulizibaini ikiwepo Mwalimu mmoja anayeitwa Mambosasa tulimkamata akiwa na mahusiano na wanafunzi zaidi ya watatu, na wakati mwingine alikuwa anawalaza kwenye kitanda kimoja wote wawili na kuwafanyia mambo ya ajabu sana, nimesema mimi simtaki kwenye wilaya yangu" amesema DC Kalii.
Muungwana
Anaweza akawa hayuko sahihi kisheria, lakini pengine yuko sahihi kibinadamu, ila sina uhakika. Tuchukulia mfano, nikikataa kukurudishia pesa yako uliyonikopesha bila maandishi na tukiwa wawili tu, ukienda mahakarmani kushtaki ili nikurudishie, the chances ni kwamba nitakushinda kisheria, ila kibinadamu mshindi ni wewe. Wakati mwingine tuwe tunazitetea sheria kwa kutanguliza ubinadamu kwanza. Ubinadamu utangulie kwanza halafu sheria ndiyo ifuateKwahiyo huyo DC anashindana na mahakama? Kwanini asikate rufaa, kuna jambo la binafsi linafukuta chini chini? Kumbe mamlaka hayo ya kufukuza mtu kwenye uso wa nchi anayoitawala kwa niaba ya rais, kayapata wapi? Huyo DC asaidiwe kazi!
Hujamkumbuka kamanda Mambosasa?Umenikumbusha nyanda wa Simba enzi hizo Athuman Mambosasa!