Mwanza: Askari adaiwa kumvunja Raia Mguu na Kiuno kwa tuhuma za kuwa na mahusiano na Mkewe

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,023
1,609
Mkazi wa Mtaa wa Mlimani 'A' eneo la Kabuoro Kata ya Kirumba wilayani Ilemela mkoani Mwanza, Mohammed Khatibu (29) anadaiwa kuvunjwa miguu na Askari wa Polisi ambaye ni Mkuu wa Kituo kidogo cha Polisi Kiseke wilayani humo, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Paulo aliyekuwa anamtuhumu kuwa na mahusiano na mke wake.

Licha ya hila za askari polisi kutaka kumfichia siri mkuu wao, jitihada binafsi za Hidaya Somba zilisaidia kutambua alikofichwa mwanaye, Mohamed Khatibu (29) aliyekamatwa akiwa nyumbani kwao kwa tuhuma ambazo hazikubainishwa na alipofuatiliwa ikaelezwa hayupo mikononi mwa polisi.

Taarifa zilizothibitishwa na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya zinasema Khatibu alikamatwa Januari 3 na Mkuu wa Kituo kidogo cha Polisi Kiseke kilichopo wilayani Ilemela, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Paulo ambaye anadaiwa kumvunja miguu na kiuno akimtuhumu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mzazi mwenzake.

Katika ukamataji, askari huyo ambaye ametoroka na sasa anatafutwa, anadaiwa kushirikiana na rafiki yake, wakitumia gari binafsi waliloenda nalo nyumbani kwa Khatibu katika Mtaa wa Mlimani A na kumkamata bila kumweleza kosa lake wakisema wanampeleka Kituo cha Polisi Kirumba ambako ndugu walipofuatilia hawakumkuta, kwani alipelekwa Kiseke.

Kituoni hapo alipigwa akihojiwa kwa nini ana uhusiano na mke wa mkuu huyo wa kituo mpaka akavunjwa vikombe vya magoti na majeraha kwenye uti wa mgongo kama ilivyothibitishwa na vipimo alivyofanyiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando.

Mama Mzazi wa Khatibu amesema baada ya kumkosa mwanaye Kituo cha Kirumba, walipata fununu kuwa yupo Kituo cha Kiseke lakini nako waliambiwa hakuwepo. Hata hivyo kutokana na kuwa na uhakika kuwa mwanae yupo Kituoni hapo alijifanya anaenda chooni, akazunguka nyuma ya mahabusu na kuita jina kwa sauti, ambapo aliitikia akiwa mahabusu,”

Kamanda Msuya alisema japo mtuhumiwa namba moja katika tukio hilo ametoroka, uchunguzi unaendelea na hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wote watakaothibitika kushiriki uhalifu huo.

“Primary suspect (Paulo) kwenye tukio la mtu kushambuliwa ametoroka na tunaendelea kumtafuta, uchunguzi ukikamilika wahusika watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria sawa na watuhumiwa wengine,” alisema Msuya.


Chanzo: Mwananchi
 
Mkazi wa Mtaa wa Mlimani 'A' eneo la Kabuoro Kata ya Kirumba wilayani Ilemela mkoani Mwanza, Mohammed Khatibu (29) anadaiwa kuvunjwa miguu na Askari wa Polisi ambaye ni Mkuu wa Kituo kidogo cha Polisi Kiseke wilayani humo, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Paulo aliyekuwa anamtuhumu kuwa na mahusiano na mke wake.

Licha ya hila za askari polisi kutaka kumfichia siri mkuu wao, jitihada binafsi za Hidaya Somba zilisaidia kutambua alikofichwa mwanaye, Mohamed Khatibu (29) aliyekamatwa akiwa nyumbani kwao kwa tuhuma ambazo hazikubainishwa na alipofuatiliwa ikaelezwa hayupo mikononi mwa polisi.

Taarifa zilizothibitishwa na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya zinasema Khatibu alikamatwa Januari 3 na Mkuu wa Kituo kidogo cha Polisi Kiseke kilichopo wilayani Ilemela, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Paulo ambaye anadaiwa kumvunja miguu na kiuno akimtuhumu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mzazi mwenzake.

Katika ukamataji, askari huyo ambaye ametoroka na sasa anatafutwa, anadaiwa kushirikiana na rafiki yake, wakitumia gari binafsi waliloenda nalo nyumbani kwa Khatibu katika Mtaa wa Mlimani A na kumkamata bila kumweleza kosa lake wakisema wanampeleka Kituo cha Polisi Kirumba ambako ndugu walipofuatilia hawakumkuta, kwani alipelekwa Kiseke.

Kituoni hapo alipigwa akihojiwa kwa nini ana uhusiano na mke wa mkuu huyo wa kituo mpaka akavunjwa vikombe vya magoti na majeraha kwenye uti wa mgongo kama ilivyothibitishwa na vipimo alivyofanyiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando.

Kamanda Msuya alisema japo mtuhumiwa namba moja katika tukio hilo ametoroka, uchunguzi unaendelea na hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wote watakaothibitika kushiriki uhalifu huo.

“Primary suspect (Paulo) kwenye tukio la mtu kushambuliwa ametoroka na tunaendelea kumtafuta, uchunguzi ukikamilika wahusika watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria sawa na watuhumiwa wengine,” alisema Msuya.


Chanzo: Mwananchi
Na wapigwe tu wakiwa wakaidi, tena ikibidi watenguliwe hadi mbavu.

Si ndiyo hao akina Liverpool wanaohamasisha "Kataa NDOA"?

Kwanini wawashwe washwe na mali za Watu?
 
Mkazi wa Mtaa wa Mlimani 'A' eneo la Kabuoro Kata ya Kirumba wilayani Ilemela mkoani Mwanza, Mohammed Khatibu (29) anadaiwa kuvunjwa miguu na Askari wa Polisi ambaye ni Mkuu wa Kituo kidogo cha Polisi Kiseke wilayani humo, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Paulo aliyekuwa anamtuhumu kuwa na mahusiano na mke wake.

Licha ya hila za askari polisi kutaka kumfichia siri mkuu wao, jitihada binafsi za Hidaya Somba zilisaidia kutambua alikofichwa mwanaye, Mohamed Khatibu (29) aliyekamatwa akiwa nyumbani kwao kwa tuhuma ambazo hazikubainishwa na alipofuatiliwa ikaelezwa hayupo mikononi mwa polisi.

Taarifa zilizothibitishwa na Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya zinasema Khatibu alikamatwa Januari 3 na Mkuu wa Kituo kidogo cha Polisi Kiseke kilichopo wilayani Ilemela, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Paulo ambaye anadaiwa kumvunja miguu na kiuno akimtuhumu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mzazi mwenzake.

Katika ukamataji, askari huyo ambaye ametoroka na sasa anatafutwa, anadaiwa kushirikiana na rafiki yake, wakitumia gari binafsi waliloenda nalo nyumbani kwa Khatibu katika Mtaa wa Mlimani A na kumkamata bila kumweleza kosa lake wakisema wanampeleka Kituo cha Polisi Kirumba ambako ndugu walipofuatilia hawakumkuta, kwani alipelekwa Kiseke.

Kituoni hapo alipigwa akihojiwa kwa nini ana uhusiano na mke wa mkuu huyo wa kituo mpaka akavunjwa vikombe vya magoti na majeraha kwenye uti wa mgongo kama ilivyothibitishwa na vipimo alivyofanyiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando.

Kamanda Msuya alisema japo mtuhumiwa namba moja katika tukio hilo ametoroka, uchunguzi unaendelea na hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya wote watakaothibitika kushiriki uhalifu huo.

“Primary suspect (Paulo) kwenye tukio la mtu kushambuliwa ametoroka na tunaendelea kumtafuta, uchunguzi ukikamilika wahusika watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria sawa na watuhumiwa wengine,” alisema Msuya.


Chanzo: Mwananchi
Polisi wako juu ya sheria
 
Wanaume hawaogopi kabisa wake za watu.....yani sjui ni nini...na wake za watu nao wamecharukaaa yani hawana hapanaa.
Akome huyo mla vya watu
Ukute ni dhana tu kuwa mkewe analiwa ikizingatiwa huyo majeruhi inasadikika ni dereva bodaboda. Pengine kazi yake ilikuwa ni kumpeleka mke kwa mlaji wa kweli.

Na siku zote anaepaswa kupewa adhabu ni yule anaesaliti ndoa. Hapo alipaswa adeal na mkewe maana ndie aliamua kugawa utamu nje.

Mambo yangekuwa tofauti endapo ingekuwa mkewe amebakwa, lakini kwa ridhaa yake mwenyewe mkewe kaliwa kwa nini aadhibu wengine?
 
Mnaoshabikia huu ujinga hamjiulizi Bwana Afande anajisikiaje na kibarua kaweka hatarini.. akifukuzwa kazi aje kulinda mageti ya watu kisa mzaz mwenzie na wala hakuna ndoa wala nini...
Na hata angekuwa mke wake halali unaenda pigania malaya unapoteza kila kitu had maisha yako...

Ushauri wa vijana wajinga mwisho wa siku na mke humtamani...

Blacks always in stupid trouble.
 
Ukute ni dhana tu kuwa mkewe analiwa ikizingatiwa huyo majeruhi inasadikika ni dereva bodaboda. Pengine kazi yake ilikuwa ni kumpeleka mke kwa mlaji wa kweli.

Na siku zote anaepaswa kupewa adhabu ni yule anaesaliti ndoa. Hapo alipaswa adeal na mkewe maana ndie aliamua kugawa utamu nje.

Mambo yangekuwa tofauti endapo ingekuwa mkewe amebakwa, lakini kwa ridhaa yake mwenyewe mkewe kaliwa kwa nini aadhibu wengine?
Wee ngoja aliwe mkeo uone.....

Mtu ka anatembea na mke wa mtu limkute lolote tuu kmmk...
 
Ukute ni dhana tu kuwa mkewe analiwa ikizingatiwa huyo majeruhi inasadikika ni dereva bodaboda. Pengine kazi yake ilikuwa ni kumpeleka mke kwa mlaji wa kweli.

Na siku zote anaepaswa kupewa adhabu ni yule anaesaliti ndoa. Hapo alipaswa adeal na mkewe maana ndie aliamua kugawa utamu nje.

Mambo yangekuwa tofauti endapo ingekuwa mkewe amebakwa, lakini kwa ridhaa yake mwenyewe mkewe kaliwa kwa nini aadhibu wengine?
Usimtetee huyo jamaa!Hata kama ni boda boda,basi si angesema huwa anampeleka kwa nani ili awe salama?
Ni dharau kubwa sana kuchukua mke tena wa mkuu wa kituo cha polisi!


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Na wapigwe tu wakiwa wakaidi, tena ikibidi watenguliwe hadi mbavu.

Si ndiyo hao akina Liverpool wanaohamasisha "Kataa NDOA"?

Kwanini wawashwe washwe na mali za Watu?
Umemkamata mtu anatembea na mkeo umempiga umemuumiza. Halafu unakimbia. Unakimbia nini sasa wakati kosa lipo kwa huyo jamaa aliyetembea na mkeo?
Huu ujinga siwezi kufanya. Mwanamke halindwi, utaacha mambo yako mazuri kisa mwanamke. Kazi hana, unafikiri huyo mwanamke atamvumilia akiwa jobless? Hapo ndiyo amefungua milango ya mke wake kugongwa.
N.B
Watu waliojifanya wanawalinda wake zao waliishia jela, kupoteza kazi, kufa, kuwa vilema au hata kuishi kwenye msongo wa mawazo.
 
Back
Top Bottom