IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,748
- 7,111
Delete.
Ntaroga mtu
Kwahiyo we kinakuuma nini?
Maghufuli sio msukuma ni mzinza ila ni kabila Dogo sana sema kalelewa na baba wa kufikia msukuma
Nilikua Nairobi 2008 siku ambayo wamarekani walipiga kura kumpata raisi wao mpya, baada ya matokeo kutoka Kenya nzima ilizizima watu hawakwenda makazini kisa kushangilia ushindi wa Obama eti ni mkenya mwenzao na atawasaidia kuwaletea maendeleo na kuwatolea umaskini, leo hii Kenya ya 2008 wananchi wao wanaikumbuka nilikua huko mwezi ulopita hamna maendeleo wala nini zaidi ni kuishi kwa hofu kwa kuogopa alshabaab.
Nije kwenye point yangu ya msingi nashindwa kuwaelewa wasukuma Tangu Magufuli ateuliwe kuwa mgombea wa CCM basi wamesahau kila kitu pale Mwanza walishaapa kuwa hawaitaki CCM ila kisa tu msukuma kateuliwa basi wamefuta tabu zote walizozipata kwa miaka 10 kwa sababu ya mtu mmoja.
Ni wazi kwamba kama CCM wangemteua mtu yyte tofauti na msukuma basi leo hii kanda ya hizi kelele wanazopiga zisingekuwepo.
Hint point: Mna miaka mingine kumi ya kusota CCM kocha mpya wachezaji wale wale.
Hivi ni mzinza au msubi!?
Hivi ni mzinza au msubi!?