Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Mwanza. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Mwanza una jumla ya majimbo ya uchaguzi 9 ambayo ni:-
Ilemela: Ndg. Angelina Mabula ametangazwa mshindi (CCM)
Nyamagana: Stanslaus Mabula (CCM)
Kwimba: Mansoor Hirani wa CCM
Sumve: Richard Mganga Ndasa (CCM)
Misungwi: Charles Kitwanga wa CCM
Magu: Kiswaga Boniventura (CCM)
Sengerema: William Ngeleja (CCM)
Buchosa: John Tizeba (CCM)
Ukerewe: Nicodemus Maganga (Chadema) ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Nipo hapa jimbo la misungwi tayari nishapanga foleni na watu wanazidi kumiminika na wengine wanahakiki majina na kupanga mstari pia wasimamizi wameshafika tayari kwa zoezi.
more updates to come stay tuned
Nani kama Ben Saa8 hapa Tanzania kumwamuru mkuu wa majeda kujitokeza ndani ya cku 7 la cvyo....na akagwaya na kutii na kujitokeza kwa mkwala tu mzito wa maandishi.