Mwenye mtoto kashapatikana..Kama uko mwanza na umepotelewa na mtoto aliyeondoka na house girl wahi kituo cha polisi cha Nyegezi mwanza muda huu .
Huyu house girl alikuwa anaondoka na mtoto kuelekea Mbeya kabla hajamakatwa na watu waliomshuku
USSR View attachment 2504096
Kaamua ajipe likizo 😅😅😅Inawezekana wazazi wapo busy yeye ndio analea mtoto mchana na usiku basi akaamua aende nae kwao likizo ya mda mfupi.
Leeni watoto wenu wenyewe sio kutafuta watoto wa watu wawalelee nyie hamna muda na watoto wenu.
Wasukuma bana eti "hausi gelo".
Kweli mkuuInawezekana wazazi wapo busy yeye ndio analea mtoto mchana na usiku basi akaamua aende nae kwao likizo ya mda mfupi.
Leeni watoto wenu wenyewe sio kutafuta watoto wa watu wawalelee nyie hamna muda na watoto wenu.
Ipo kwa DaimondiGenyezii ndo wap
raraa reree mwenyewe nimekupata leo 💯💯💯💯Haus gelo hili neno bado lipo duh
Umenipata kivp bruhraraa reree mwenyewe nimekupata leo 💯💯💯💯
Mzee wa malikeHaus gelo hili neno bado lipo duh
kwenye comments anga za likes unatisha uko vizuri sanaUmenipata kivp bruh