Mwanza City: The Photo Gallery

Naomba orodha ya uwekezaji mwanza ambao una lmtija kwa mtu binafsi naomba wanaokaa mwanza wanipe majibu....... Natarajia kuwekeza mwanza hivi punde
Kama upo vizuri wekeza kwenye nguo za kike hasa suruali za kike za kulalia na kitaa...mwanza bado sana japo sa hv mwamko umeanza so ukiwah unadaka soko fresh kabla halijakaba....mgahawa wa fresh juice pia unamake money....!! Appartment zinahtajika sana kama mkwanja unao jitupie... Fursa zipo shazi Wengine wataongezea
 
aerial view. ni kipindi cha nyuma kidogo uwanja wa nyamagana ukiwa bado haujawekwa nyasi bandia.
 
Nimekusoma kaka..... Ngoja wengine waje watuongezee fursa nyingine mwanza inahitaji wawekezaji wengi ili kukuza pato la mkoa....

Nakimbilia huko hivi punde
 
Miongoni mwa Mikoa masikini Tanzania ni pamoja na:

Kagera

Singida

Mwanza

Rukwa

Hayo aliyasema Waziri mapema mwezi uliopita.

Kumbe Mwanza kumejengwa hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…