Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Kata za nyamagana wanajenga kwa kubanana lakini ilemela wanajenga kwa nafasi na majumba ya uhakika nataka kesho nikapige picha majumba ya magorofa ya nyasaka, then nitaenda na ilemela na kiseke.Ishu sio kujenga sana ..ishu ni nyumba quality na miundombinu safi pamoja na huduma

ndio ni buswelu sijakosea? Maeneo yote hadi Capri point na bwiru