Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Mkuu upo serious kweli? Soko gani Tanzania linaparking underground ya magari 192, soko gani Tanzania lina sehemu za michezo ya watoto ikiwepo swimming pool na michezo ya magari n.k, soko gani Tanzania lina machinga complex ndani ya soko🚶🚶🚶hivi wakuu soko kuu linalojengwa na lile la mwanjelwa mbeya lipi litakuwa kubwa

si atakula hasara .. maeneo ambayo unaweza Jenga mall ikawa na business ni buzuruga, nyakato, nyegezi na pasiansi

