thread ndio inahusu ivo ivo mkuuuMods, ingekuwa vizuri kama mngeu-pin huu uzi kama mlivyofanya kwa Dar es Salaam City in Photos ili sisi tulio mbali na Mwanza tuone yaliyoko huko...
Basi Moderators waache ubaguzi... Nime-enjoy sana kuiona Mwanza kwenye picha, japo nimeshafika mara kadhaa kikazi...thread ndio inahusu ivo ivo mkuuu
karibu sana mkuuBasi Moderators waache ubaguzi... Nime-enjoy sana kuiona Mwanza kwenye picha, japo nimeshafika maraka kadhaa kikazi...
karibu sana mkuu
Inajengwa eneo gani hii?...BOT executive hostel(under construction)![]()
![]()
![]()
mwanza club_Capri point karibu Victoria hotelInajengwa eneo gani hii?...
mwanza club_Capri point karibu Victoria hotel
hapana mkuu hivyo ni vitu viwili tofautMkuu Nadhani ramani ilibadilishwa kilichopo sasa hivi ni hiki
![]()
Katibu na kwangu. Heheh. Mwanza MwanzaView attachment 542831
Nyakato Power Plant 60MW huzalishwa hapa.
kibokoView attachment 542671
NCU building.