Mwanza City on a major Shopping project

Mwanza City on a major Shopping project

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,803

Trade |
Published On: Fri, Dec 30th, 2011


Mwanza-City.jpg


Mwanza City


The Mwanza City Council from March next year is expected to implement a giant multi-billion commercial complex project aimed at stimulating businesses and attracting more investors in the region.


Mwanza city Assistant Economist and Planning Officer, Joseph Kashushula told the ‘Daily News' on Friday that all the necessary preparations have been completed and that the commercial complex would be located at Ghana Area in Ilemela District.

He said the project is expected to stimulate businesses across the Lake Zone and the East African Community at large, "The project is expected to take three years and it is a joint venture between the Mwanza City authority and Local Authority pension Fund (LAPF)," said Kashushula.


Mwanza City Council project Manager, Eng Fuko Koyoye said the project upon its completion is unprecedented one, "It will include playing centres for children, a big parking space for 4,000 to 5,000 cars.


Other features include a special garbage collection facility, giraffe columns and space for financial institutions, just to mention a few," says the project manager.


Meanwhile, Mr Kashushula says implementation of the road project which will cost about 8bn/-, has already started and it is expected to increase the number of kilometres of tarmac road across the Mwanza city from the current 27.1 kms to at least 45.4 kms.


The project is being implemented under the Tanzania Strategic Cities Projects (TSCP) through the support of the World Bank and Royal Danish Embassy (DANIDA). He said the implementation will be in two phases.


The roads to be rehabilitated under phase one are, the Pasiansi to Buzuruga Road (7.4 Kms), Sanga to Kiloleli Road (2 kms), Karuta Road (0.5Km) and Libert Street Road (0.3Km).


Under phase two, the roads include:Mkuyuni to Butimba Road (2.5km), PepsiRoad (1.1Km) and Tunza- Airport- Road (4.5 km).


Experts say Mwanza City is a fast growing city in East Africa. Currently, it is estimated to have a a population of over one million people and its growth rate stands at 3.2 per cent per annum.


By MOSES MATTHEW, Tanzania Daily News


 
ok Mwanza yetu hiyo... ni mji wa kati East Afrika... kua kaka kua
 
hongera chadema kwa kuonyesha ubunifu.nadhani halmashauri nyingi zilizo chini ya magamba zitaiga mfano.
 
Hongereni wanamwanza. Hata mimi nina mpango wa kuhamia huko muda si mrefu.
 
Acha wakupambe mwanza yetu. Ila mkumbuke kuipanua barabara ya town to airport, kwani haitatosha, pinndi barabara iyo itakakapo malizika.
 
Ni muda mrefu sana tangu niondoke MWANZA, nimeskia kuna miradi mikubwa sana ya kibiashara inayoendelea kujengwa hapo mjini, ikiwa ni pamoja na MWANZA CITY COMPLEX, Kituo cha kibiashara cha B.O.T pale ilipokuwa CLINIC ya zamani, pamoja na uwanja wa ndege wa kimataifa wa MWANZA.

Nimekuwa na wasiwasi sana kuhusu barabara kuu itokayo city centre kuelekea AIRPORT kama itaweza ku accomodate magari yatakayokuwa yanatumia barabara iyo. Nahisi taabu kubwa waliyo nayo wakaazi wa DAR es SALAAM, sasa itakuwa MWANZA kwani sidhani kama CITY COUNCIL wamejipanga kikamilifu kuhusu ilo.

Mimi naona ni vyema barabara hiyo sasa ikapanuliwa kuwa njia nne, na si kusubiri mpaka ifikie hali kama ile ya DAR es SALAAM.

ACHA MAONI PLEASE !!!!!!!!!!!!!
 
Mbona kuna barabara ya nyasala nyakato na imekamilika kwanini watu wasitumie hiyo hasa wanaotoka maeneo ya buzuruga igoma maana wengi nahisi wanapitia town afu foreni mwanza si kivile bado magari hayajawa mengi sijawah kaa zaidi ya robo saa unless kuwe na ajali au msafara
 
Mbona kuna barabara ya nyasala nyakato na imekamilika kwanini watu wasitumie hiyo hasa wanaotoka maeneo ya buzuruga igoma maana wengi nahisi wanapitia town afu foreni mwanza si kivile bado magari hayajawa mengi sijawah kaa zaidi ya robo saa unless kuwe na ajali au msafara

Mkuu inaonesha weww unaishi mitaa ya Uhuru/Pamba road/Kenyatta road/Nyerere road.

Waulize akina Marire, Eiyer na wakazi wa Igoma huwa wanatumia muda gani kufika town!.... Foleni Mwanza imeanza kuwa kero hasa nyakati za asubuhi na jioni.

Nionavyo mie hiyo barabara ya Nyasaka - Nyakato ingewekewa route ya daladala make ingepunguza foleni kwani watumiaji wengi wa route ya Ilemela - Nyasaka - Nyakato mpaka Igoma ni abiria qa daladala.

Kingine kuna mradi niliona katika gazeti fulani kutakuwa na route ya majini kutoka Kirumba mpaka Luchelele... Sasa sijui mradi huo utaanza lini?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu inaonesha weww unaishi mitaa ya Uhuru/Pamba road/Kenyatta road/Nyerere road.

Waulize akina Marire, Eiyer na wakazi wa Igoma huwa wanatumia muda gani kufika town!.... Foleni Mwanza imeanza kuwa kero hasa nyakati za asubuhi na jioni.

Nionavyo mie hiyo barabara ya Nyasaka - Nyakato ingewekewa route ya daladala make ingepunguza foleni kwani watumiaji wengi wa route ya Ilemela - Nyasaka - Nyakato mpaka Igoma ni abiria qa daladala.

Kingine kuna mradi niliona katika gazeti fulani kutakuwa na route ya majini kutoka Kirumba mpaka Luchelele... Sasa sijui mradi huo utaanza lini?

Damn .........

Foleni siku hizi ipo sana na nyakati za nyuma ulikuwa unaweza kutumia dakika 20 kufika mjini,siku hizi unatumia hadi saa nzima na pengine zaidi

Sijui kwanini serikali haiwekei mkazo barabara hii ya Nyasaka iweze kuwa na rout za Hiace

Baada ya miaka kama mitatu hivi foleni itakuwa ni balaa!
 
Damn .........

Foleni siku hizi ipo sana na nyakati za nyuma ulikuwa unaweza kutumia dakika 20 kufika mjini,siku hizi unatumia hadi saa nzima na pengine zaidi

Sijui kwanini serikali haiwekei mkazo barabara hii ya Nyasaka iweze kuwa na rout za Hiace

Baada ya miaka kama mitatu hivi foleni itakuwa ni balaa!

Ngoja niseme na Sumatra kisha nitaleta mlishonyuma kuhusu hiyo route!!
 
ila mwanza patamu kudadeki...yani nikitusua lazima nika settle pande zile..
 
Back
Top Bottom