jaffari odhiambo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 526
- 13
Ajali jamani Bunda napo leo pikipiki yavaa Bajaji eneo la Reza karibu na Posta ila Dereva TOYO sio bodaboda na ameumia na kukimbizwa hospitali ya DDH Bunda.
kweli kwenye habari ya kusikitisha kama hii picha ndio kitu cha msingi ?, sio kwamba huyo mtu badala ya kwanza kujitahidi kupiga picha kuhakikisha kwamba watu wamepata misaada ya kutosha au kutoa habari kwa watu ili wenye uwezo wa kutoa misaada watoe ?Picha ndio kitu cha msingi.
Hii miezi ya Mwisho wa mwaka ,
Hedaru 10
Rufiji 21
Mwanza 2
Hii miezi ya Mwisho wa mwaka ,
Hedaru 10
Rufiji 21
Mwanza 2
Uzembe tu wa madereva na magari kutofanyiwa service ya kutosha hizo imani zenu kila saa mnawaza kafara kafara tu.Jamani Mohamed Trans ni juzi tu wamepata ajali musoma, leo tena ukiluguru!, mbona sumatra hawawagusi? Mie mohamed trans naogopa kuipanda kabisa.
Uzembe tu wa madereva na magari kutofanyiwa service ya kutosha hizo imani zenu kila saa mnawaza kafara kafara tu.
Mtazidi kufa