afu nimekuota leo daaa
Mke ametoka katika ubavu wa mme, hakutoka kwenye unyayo ili adharauliwe na kukandamizwa.
Wala hakutoka katika kichwa ili mwanaume ajisifu eti yeye ana akili sana bali ametoka ubavuni ili akumbatiwe na alindwe.
Ubavu wa kushoto uliokaribu na moyo ili
Apendwe
Aheshimiwe na
Athaminiwe,
Lakini kwa kuwa ubavu umepinda, mke nae amepinda.
Asinyooshwe kwa nguvu atavunjika bali anyooshwe taratibu nae atanyooka.
Hayo tu katika asubuhi ya leo, muwe na siku njema pia amani ya Mungu iwe nanyi.
Umeniota nakufanyaje?
unaniwangia yani umenilimisha shamba kubwa
Ha ha Malaika wa shetani.. Bila shaka watakuwa weusi tu..
^^