Mwangonda wa TISS ni Jasusi

Mwangonda wa TISS ni Jasusi

Damu ya watu kama hakutubu italilia mpaka kizazi cha nne
Imeandikwa " usihukumu"
Only God can judge him. Yaani inawezekana ulifanya nae kaz kama wee ni age yake ama ulisikia wasifu wake huko kitengoni na inawezekana kuna effect flani imekupata/inaendelea kukupata kutoka na yale aliyoyafanya ila kumbuka hayo yote ni nature ya kazi aliyokua akifanya ama majukumu aliyopewa. So kwa upande wako/wengi/ wachache unaweza kuona alifanya kwa ubaya lakin pia wapo waliofurahia wengi/wachache aliyoyafanya pia..
Huu ni wangu mtazamo
 
Ndiyo kawaida yao mkuu
SAD he was the father of contemporary intelligence in the country , as a proffession, nadhani kosa lake ni kuwa na chadema 2015 and am sure boss hakuweza kumsamehe kwa hilo na imemgharimu ....lakini basically uamuzi wake ulikuwa ndio reforms alizopigania za kuunda chombo kitakachoweza kufanya kazi kwa uhuru ndani ya mfumo wa vyama vingi .......ikiwa na maana kuwa kila afisa haruhusiwi kuwa mwanachama wa chama cha siasa ila haimzuiii kuwa na IMANI binafsi ya kisiasa ...na pengine kuwa na msimamo wazi pale anapokuwa ameshastaafu .
Msiba ni kama vile kazikwa na wafuasi wa chadema which haikuwa sawa
 
SAD he was the father of contemporary intelligence in the country , as a proffession, nadhani kosa lake ni kuwa na chadema 2015 and am sure boss hakuweza kumsamehe kwa hilo na imemgharimu ....lakini basically uamuzi wake ulikuwa ndio reforms alizopigania za kuunda chombo kitakachoweza kufanya kazi kwa uhuru ndani ya mfumo wa vyama vingi .......ikiwa na maana kuwa kila afisa haruhusiwi kuwa mwanachama wa chama cha siasa ila haimzuiii kuwa na IMANI binafsi ya kisiasa ...na pengine kuwa na msimamo wazi pale anapokuwa ameshastaafu .
Msiba ni kama vile kazikwa na wafuasi wa chadema which haikuwa sawa
Pamoja na hayo yote atabaki kua kiongozi mstaafu aliyewai kufanya mabadiliko ya taasisi kutoka sehem moja kwenda nyingine
 
*sehemu ya serikali tu, na kwamba nguvu kubwa ielekezwe katika kuangazia uwekezaji mpya toka Magharibi na Mashariki na kudhitibi soko huria.*
Hiki ndo lengo kuu la chombo hiki tulipaswa kuwekea malengo hapa.
 
Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.

Mithali 17:28

Hawa ndio analysers wa mambo yetu ya intelligency na watu tunasoma vitabu vyao . Shida kwelikweli
 
SAD he was the father of contemporary intelligence in the country , as a proffession, nadhani kosa lake ni kuwa na chadema 2015 and am sure boss hakuweza kumsamehe kwa hilo na imemgharimu ....lakini basically uamuzi wake ulikuwa ndio reforms alizopigania za kuunda chombo kitakachoweza kufanya kazi kwa uhuru ndani ya mfumo wa vyama vingi .......ikiwa na maana kuwa kila afisa haruhusiwi kuwa mwanachama wa chama cha siasa ila haimzuiii kuwa na IMANI binafsi ya kisiasa ...na pengine kuwa na msimamo wazi pale anapokuwa ameshastaafu .
Msiba ni kama vile kazikwa na wafuasi wa chadema which haikuwa sawa
Wafia kijani hawatakuelewa hapo
 
Back
Top Bottom