Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,193
Habari wadau,
Napenda kuwapongeza Clouds TV - State of Arts - Kwisa kwa kuanzisha kipindi chenye mikasa ya kutisha ambayo ni ya kweli iliyowatokea watu.
Episode ya kwanza ilikuwa jamaa(bodaboda) aliyetobolewa macho na mshikaji wake kwasababu zisizojulikana na Episode ya pili ni mkasa wa jamaa aliyenusulika kwenye ajali ya moto(Msamvu - kwenye lori la mafuta).
Aisee hicho kipindi sio cha kukosa kama una moyo mdogo unaweza ukashindwa kuvumilia na kuanza kuangua kilio maana ni mikasa ambayo inasikitisha ukiisikiliza.
Ni kila jumanne saa 3 usiku.
Napenda kuwapongeza Clouds TV - State of Arts - Kwisa kwa kuanzisha kipindi chenye mikasa ya kutisha ambayo ni ya kweli iliyowatokea watu.
Episode ya kwanza ilikuwa jamaa(bodaboda) aliyetobolewa macho na mshikaji wake kwasababu zisizojulikana na Episode ya pili ni mkasa wa jamaa aliyenusulika kwenye ajali ya moto(Msamvu - kwenye lori la mafuta).
Aisee hicho kipindi sio cha kukosa kama una moyo mdogo unaweza ukashindwa kuvumilia na kuanza kuangua kilio maana ni mikasa ambayo inasikitisha ukiisikiliza.
Ni kila jumanne saa 3 usiku.