imbombo ngafu,maana yake kazi ngumu,imbombo nu bukifu,kazi na ujasiri,ulitaka kusemaje mkuu?Imbombo nkafu
imbombo ngafu,maana yake kazi ngumu,imbombo nu bukifu,kazi na ujasiri,ulitaka kusemaje mkuu?Imbombo nkafu
Mkuu unamsema Mark Mwandosya professa wa mambo yaumeme aliyegombana na Kikwete enzi hizo? Huyu aliyeliua shirika la simu Tanzania kwa rushwa ya kusomeshewa mwanae?Mwandosya ndiye mwenye jukumu la kununua viongozi wa Cdm Mby.Alimalizana mambo na Shitambala,tarehe 1-4,kwenye ofisi ya madini iliyopo jirani na airport mbeya,TUTAFIKA NAYE
Mkuu unamsema Mark Mwandosya professa wa mambo yaumeme aliyegombana na Kikwete enzi hizo? Huyu aliyeliua shirika la simu Tanzania kwa rushwa ya kusomeshewa mwanae?
Imbombo nkafu
Haswaaaaaaaaaaaa.huyo huyo Mark MwandosyaMkuu unamsema Mark Mwandosya professa wa mambo yaumeme aliyegombana na Kikwete enzi hizo? Huyu aliyeliua shirika la simu Tanzania kwa rushwa ya kusomeshewa mwanae?