Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,195
- 1,417
Mwanzo nilikuwa sijakuelewa ila sasa,namshukuru Mungu nimekuelewa
ProudMama
Endelea KUNIELEWA hata baada ya Oct 25 pale tutakapojua Mungu amepigana upande upi. Hakuna kitu kibaya Kama kiongozi wa dini au mtu anayesema ameokoka halafu anafanya yaliyo kinyume na neno la Mungu.
Baada ya Oct 25 tutajua Mungu yupo upande upi. Bora viongozi wa dini waliosisitiza maombi bila kuegemea upande wowote.
Queen Esther