My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Kila nikikumbuka makala zako kwenye Gazeti la Raia Mwema za kumpigia kampeni "Mr just praise me " na kumponda kwa nguvu zako zote "Mr white hair ",huwa naishia kujisemea moyoni mwangu kuwa, "ama kweli hatujui kesho yetu, na kesho ni ya Mungu ".
Na pia ktk jambo lolote ni vyema mwanadamu ukawa na akiba ya maneno.
Wewe Baba yangu mzee Mbwambo hukuwahi hata kubakiza chembe ya akiba, uliamini ulichokiandika kwamba kilikuwa ni sahihi kabisa 100%.
Mimi niliumia Sana, hasa nikizingatia kuwa wewe ni msomi na intellectual mwenye weledi wa kuchambua mambo kwa kina huku ukiweka akiba pia ya baadaye.
Kinachoendelea leo sijui utasema nini, ila ninachokushari Kama una hofu ya Mungu, jitokeze utuombe msamaha wasomaji wako kwa jinsi ulivyokuwa unakera, nilifurahi mno Raia Mwema, ilipopelekwa kulazwa ICU, ila naiombea ipone haraka.
Na pia ktk jambo lolote ni vyema mwanadamu ukawa na akiba ya maneno.
Wewe Baba yangu mzee Mbwambo hukuwahi hata kubakiza chembe ya akiba, uliamini ulichokiandika kwamba kilikuwa ni sahihi kabisa 100%.
Mimi niliumia Sana, hasa nikizingatia kuwa wewe ni msomi na intellectual mwenye weledi wa kuchambua mambo kwa kina huku ukiweka akiba pia ya baadaye.
Kinachoendelea leo sijui utasema nini, ila ninachokushari Kama una hofu ya Mungu, jitokeze utuombe msamaha wasomaji wako kwa jinsi ulivyokuwa unakera, nilifurahi mno Raia Mwema, ilipopelekwa kulazwa ICU, ila naiombea ipone haraka.