Mwandishi kama Huyu anaajiriwa na chombo gani cha habari?Ni Aibu na Hopeless Kabisa

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,651
14,333
Nlikuwa naangalia footage moja ikizungumzia waandishi wa habari walioenda TCR kuonana na Ndugu Nape Waziri kwa ajili ya lile sakata la watu kuvamia studio ya clouds wakiwa na silaha kali na kupora footage moja iliyokuwa inapaswa irushwe kwenye kipindi lakini haikurushwa kutokana na sababu za kimaantiki.

nikawa naangalia hii video nikiwa namsikiliza ndugu mmoja akielezea kuwa hakutakuwa na mkutano huo n.k wakati huo mwandishi aliyekuwa akichukua video akawa anawaonesha waandishi walioko mle ndani na mara nikaona kituko hiki. yaani haka sijui kamwandishi kawapi kanaona camera inakuja kwake kanaweaka pose za midomo na vidole namna hii kama kabisa layman au tuvijana twa mitaani.

nikasikitika sana na huyu naye ni mwandishi? mwandishi wa namna gani ana behave hivi? hivi hawa waandishi huwa wanapimwa kiwango chao cha maturity? enzi zile sisi waandishi walikuwa ni watu wazima wenye kujielewa hata ukikaa ukasikiliza wanauliza maswali utaona kabisa wana akili na wanasoma au wana uelewa wa mambo flan. lakini si kwa miaka hii. imekuwa ni aibu kubwa sana. huyu mwandishi anayeweka pose kama hizi aonapo video uwezo wake wa kiakili utakuaje? hawa si ndo huwa wananunulika na watu kwa ajili ya kuwaandika na kuwakuza kwenye vyombo vya habari?

wenye vyombo vya habari hili ni jambo la aibu. wafunzeni vijana wenu namna ya kubehave waonapo camera.


vlcsnap-2017-03-21-15h23m44s250.png
vlcsnap-2017-03-21-15h23m50s563.png
vlcsnap-2017-03-21-15h24m30s035.png
 
Nlikuwa naangalia footage moja ikizungumzia waandishi wa habari walioenda TCR kuonana na Ndugu Nape Waziri kwa ajili ya lile sakata la watu kuvamia studio ya clouds wakiwa na silaha kali na kupora footage moja iliyokuwa inapaswa irushwe kwenye kipindi lakini haikurushwa kutokana na sababu za kimaantiki.

nikawa naangalia hii video nikiwa namsikiliza ndugu mmoja akielezea kuwa hakutakuwa na mkutano huo n.k wakati huo mwandishi aliyekuwa akichukua video akawa anawaonesha waandishi walioko mle ndani na mara nikaona kituko hiki. yaani haka sijui kamwandishi kawapi kanaona camera inakuja kwake kanaweaka pose za midomo na vidole namna hii kama kabisa layman au tuvijana twa mitaani.

nikasikitika sana na huyu naye ni mwandishi? mwandishi wa namna gani ana behave hivi? hivi hawa waandishi huwa wanapimwa kiwango chao cha maturity? enzi zile sisi waandishi walikuwa ni watu wazima wenye kujielewa hata ukikaa ukasikiliza wanauliza maswali utaona kabisa wana akili na wanasoma au wana uelewa wa mambo flan. lakini si kwa miaka hii. imekuwa ni aibu kubwa sana. huyu mwandishi anayeweka pose kama hizi aonapo video uwezo wake wa kiakili utakuaje? hawa si ndo huwa wananunulika na watu kwa ajili ya kuwaandika na kuwakuza kwenye vyombo vya habari?

wenye vyombo vya habari hili ni jambo la aibu. wafunzeni vijana wenu namna ya kubehave waonapo camera.


View attachment 484320 View attachment 484321 View attachment 484322
si alama ya peace hiyo au boss we ndo wale list ya majority ya watanzania wenye msongo wa mawazo..
 
Nlikuwa naangalia footage moja ikizungumzia waandishi wa habari walioenda TCR kuonana na Ndugu Nape Waziri kwa ajili ya lile sakata la watu kuvamia studio ya clouds wakiwa na silaha kali na kupora footage moja iliyokuwa inapaswa irushwe kwenye kipindi lakini haikurushwa kutokana na sababu za kimaantiki.

nikawa naangalia hii video nikiwa namsikiliza ndugu mmoja akielezea kuwa hakutakuwa na mkutano huo n.k wakati huo mwandishi aliyekuwa akichukua video akawa anawaonesha waandishi walioko mle ndani na mara nikaona kituko hiki. yaani haka sijui kamwandishi kawapi kanaona camera inakuja kwake kanaweaka pose za midomo na vidole namna hii kama kabisa layman au tuvijana twa mitaani.

nikasikitika sana na huyu naye ni mwandishi? mwandishi wa namna gani ana behave hivi? hivi hawa waandishi huwa wanapimwa kiwango chao cha maturity? enzi zile sisi waandishi walikuwa ni watu wazima wenye kujielewa hata ukikaa ukasikiliza wanauliza maswali utaona kabisa wana akili na wanasoma au wana uelewa wa mambo flan. lakini si kwa miaka hii. imekuwa ni aibu kubwa sana. huyu mwandishi anayeweka pose kama hizi aonapo video uwezo wake wa kiakili utakuaje? hawa si ndo huwa wananunulika na watu kwa ajili ya kuwaandika na kuwakuza kwenye vyombo vya habari?

wenye vyombo vya habari hili ni jambo la aibu. wafunzeni vijana wenu namna ya kubehave waonapo camera.


View attachment 484320 View attachment 484321 View attachment 484322

Mbona anafanana sana na yule aliyepostiwa mahali fulani kuwa ni photographer wa mtoto wa mkululululuuuuuu.....
 
Nlikuwa naangalia footage moja ikizungumzia waandishi wa habari walioenda TCR kuonana na Ndugu Nape Waziri kwa ajili ya lile sakata la watu kuvamia studio ya clouds wakiwa na silaha kali na kupora footage moja iliyokuwa inapaswa irushwe kwenye kipindi lakini haikurushwa kutokana na sababu za kimaantiki.

nikawa naangalia hii video nikiwa namsikiliza ndugu mmoja akielezea kuwa hakutakuwa na mkutano huo n.k wakati huo mwandishi aliyekuwa akichukua video akawa anawaonesha waandishi walioko mle ndani na mara nikaona kituko hiki. yaani haka sijui kamwandishi kawapi kanaona camera inakuja kwake kanaweaka pose za midomo na vidole namna hii kama kabisa layman au tuvijana twa mitaani.

nikasikitika sana na huyu naye ni mwandishi? mwandishi wa namna gani ana behave hivi? hivi hawa waandishi huwa wanapimwa kiwango chao cha maturity? enzi zile sisi waandishi walikuwa ni watu wazima wenye kujielewa hata ukikaa ukasikiliza wanauliza maswali utaona kabisa wana akili na wanasoma au wana uelewa wa mambo flan. lakini si kwa miaka hii. imekuwa ni aibu kubwa sana. huyu mwandishi anayeweka pose kama hizi aonapo video uwezo wake wa kiakili utakuaje? hawa si ndo huwa wananunulika na watu kwa ajili ya kuwaandika na kuwakuza kwenye vyombo vya habari?

wenye vyombo vya habari hili ni jambo la aibu. wafunzeni vijana wenu namna ya kubehave waonapo camera.


View attachment 484320 View attachment 484321 View attachment 484322
Huyo katumwa na malipo take viroba
 
Smartphone zimewaharibu sana vijana wetu.

Kuna umri ukifika kuna mambo ukiyafanya iwe kwenye furaha sana au huzuni sana huonekana ni mpumbavu.

Kikubwa Vijana fanyeni yale yanayoendana na umri wako.

Huyo Mwandishi bado ni Mvulana.

Boys have Swag

Men have Style.

Gentlemen have Class.
 
Smartphone zimewaharibu sana vijana wetu.

Kuna umri ukifika kuna mambo ukiyafanya iwe kwenye furaha sana au huzuni sana huonekana ni mpumbavu.

Kikubwa Vijana fanyeni yale yanayoendana na umri wako.

Huyo Mwandishi bado ni Mvulana.

Boys have Swag

Men have Style.

Gentlemen have Class.
kwani kaharibu wapi labda tufafanulie
 
Back
Top Bottom